Irani ikishambulia ndani ya nchi ya Israel itakua mwisho wa serikali ya kiislam ya Iran

Nimekuandikia jina la hiyo drone in full isearch halafu utuletee jibu

RQ-4A Global Hawk BAMS-D
Hiki kitendo cha kupaa higher altitude kwa mimi nilidhani itakua ni stealth kwa mtazamo wangu.
Maana ni vema surveillance drone iwe hivyo ili kukamilisha uchunguzi pasi na kukatishwa.

Ila ahsante kwa kunirekebisha.
 
Ndo maana nimekwambia usidhani wote ni mbumbumbu haya sema Ile drone ilikuwa na stealth techology au la?
Mkuu mbona we unajibiwa lakini wewe haupendi kujibu??
Hiyo comment nimekujibu baada ya kusema khordak imeundwa 2019 akati khordak ya kwanza iliundwa 2014 khordak-3 kesha ikaundwa mpya 2019 ambayo ni khordak-15.
Ndio maana nilikuuliza unajua kuna version ngapi za khordak??
Je ulinijibu mkuu?
Ukaenda mbali zaidi kusema ilotumika kudungua haikua khordak bali ni s200 ya Russia.
Mie nimekusahihisha hizo hoja mbili.
Kwamba khordak ilotumika kudungua hiyo drone ni la toleo la 2014 na mfumo uliotumika ni huo haukutumika wa Russia wa s200.
 
Mjadala umeisha you made your point bro
 
MMESIKIA HII
 

Attachments

  • C5027DAB-871F-4915-BF89-52B6373AAC72.jpeg
    714.4 KB · Views: 3
Israel has notified the United States that if Iran makes the decision to Target the Territory of Israel, then they will be forced to Respond.
 
Wanaokua nje ya Iran sio ndani ya Iran.
90% ya makamanda waliouawa ni wa nje ya Tehran.
Ngumu sana umuue IRGC commander ndani ya Tehran.
ila wanasayansi wa nyukliq walikua wanauwawa ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…