Swali la kujiuliza mifumo ya anga ya Marekani ilikuwa wapi? Kushambulia kambi si kitu rahisi.Iran wasijione wapo vizuri kivile maana USA ikiamua naamini Iran wataisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi ni team Iran lakin mimi siyo mwisilamWewe ni falaa acha kuchota watu akili toka lini wewe ukaipenda iran?
Sent using Jamii Forums mobile app
Missiles huchimbua ardhi chini juuIzo kambi zote uko zina bunkers (mahandaki) chini ya ardhi ya wanajeshi kuingia endapo watashambuliwa na mabomu kama leo na yana radar kudetect makombora mapema ili alarm ipigwe watu waingie kwenye bunkers wasipate madhara, na ndio kilichotokea
Sent using Jamii Forums mobile app
Akimaliza kule atakuja na huku,hakuna atakaeachwa,hata sisi tunabana maslahi yao,watakuja na huku,tusubiri zamu yetu.Mmarekani nae nimeshamchoka kwa kuharibu. I hope one day powerful countries ziungane ili zimshikishe adabu
Hao hamna lolote hata iraq walikuwa na nguvu zaidi ya wao sasa hivi wako wapi,marekani ndo inakimbiza bado
Sent using Jamii Forums mobile app
Aljazeera yenyewe chanzo chao ni Iran State TvNi kwa mujibu wa Aljazira.
Cha kusikitisha zaidi mataifa yote mawili hayapigani kwenye ardhi za nchi zao, bali wanapigania Iraq ambapo tayari Iran inaamini kwamba ni Marekani ndogo baada ya Marekani kuihodhi Iraq kwa kisingizio cha kuijenga upya na kulinda amani.
Mwisho wa siku wa Iraq ndio hasa watakao athirika na hii vita ya mafahari wawili.
By the way, mbona Marekani iliwaondoa wanachi na majeshi yake yote huko Iraq..??
Sasa Iran anapo shambulia vituo vya Marekani ilhali tayari Marekani iliwaondosha watu wake, Je hapo Marekani ana athirika vipi..??
Sent using Jamii Forums mobile app
Umevurugwa na jiwe[emoji23]Wapigane,tena wapigane sana,tushangilie,tena tushangilie kwa sauti kubwa na kuongeza sauti,maana dunia haina watu tena,vimebaki viatu,tena viatu vya kuvali chooni,nasema chooni na siyo msalani.
Wapigane,haja ya mataifa makubwa ni kuangamiza dunia,maandiko ya vitabu yanatimia.
Atakaedhani kwamba ipo siku shetani atatubu dhambi zake,basi ameingia choo cha kike wakati yeye ni mwanaume.nasema tena ameingia choo cha jeshi ihali yeye ni raia.
Dunia haihitaji amani tena kwani thamani ya amani haionekani,wapigane.
Hakuna Madhara Unasema WeweHakuna madhara , Iran wamewah Sana kustrike back mda ambao kambi zote za marekan zpo under high alert , Bora hata wamtafute mtu mmoja mhimu wa Marekan wamuue kuliko kufanya ujinga wanaofanya ....
Senator Graham kampigia simu Trump na Trump kamwambia kuwa watashambulia Visima vya Mafuta ya Iran ili kukata mrijaKuna Tagerts.3 in short term [emoji117]
1-Yaliko tokea makombora!
2-Komandi za walinzi wa mapinduzi ya iran!
3-kambi za Jeshi za walinzi wa mapinduzi ya iran!
Kama ayatola kajidichimbia huko atoke mapema!
Sent using Jamii Forums mobile app
Upuuzi huu kapeleke dampo hapa sio mahala pakeHapana sio kama wiki kama wiki ya kawaida, huu ni muda wa kiunabii, ambao siku moja nisawa na Mwaka mmoja.
Hapa kuna majuma 70 ..... Yakagawanya ktk majuma 69 ya kwanza..na Juma LA mwisho linaloitmisha 70..
Ni somo refu Mkuu ...mpaka nitulie nikueleze kwa ufasaha.
Ila nimambo ambayo ukiyajua , ukasoma Biblia vzuri, huwez shangaa nakinachoendelea leo Duniani.
Poleni wamarekani wa Mashariki Ya Afrika...Kwa mujibu wa barua ya General ambayo baadaye waliikana inaonekan marekani ilikuwa imeshajiondoa kwenye makambi hayo na kujificha kusikojulikana, husishangae hakuna aliyekufa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Marekani anatakiwa a-ignore, hakuna haja ya kumipiga Iran, mwsihowe wata-trigger world war. Halafu nahisi kama huu mgogoro kama utadumu mpaka mwezi huu uishe, kuanzia Februaray 2020 akina sisi ambao kipato chetu kwa mwezi kiko under 1m, tutapaki gari, hata kama ni Toyota IST ambayo huwa haili mafuta mengi; lazima tutapaki!Trump hawezi kukuangusha. Trump is coming. It will be very hard and Fast and Strong.
Russia na China ni wanafiki sana Iran akianza kudundwa watakaa pembeni wangojee kulalamika kwenye vikao vyao ili dunia tuwaone ndio wazuri kumbe ni wale wale ila wanakuja kwa njia nyingineNaona sasa wameamua kutupeleka WW3, IRAN imelipiza kisasi kwa kuvurumusha makombora ya masafa mafupi nchini Iraq dhidi ya Jambi mbili za kijeshi za Marekan zinazohifadhi wanajeshi za NATO..
Kwa ufupi, US na NATO ndio walichokua wanataka.
Russia na China ,hawawez acha Uwekezaji wao nchin Iran uende mikonon mwa NATO...
Huyo muajemi ndio alimuokoa muyahudi babiloni.Sasa umefika wakati wakristo(USA&Uk) wawatwange hawa waajemi wanaovaa vilemba,ili tupandishe bendeera ya myahudi uajemi yote
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahahahah wabongo kwa uongo hatujambo.Trump mwenyewe kasema kuna wanajeshi wamekufa na wengine wapo hali mbaya sana, sasa nyinyi huku mnasema sijui Iran kapiga off target
Sent using Jamii Forums mobile app