Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Mmarekani peke yake hawezi kuishinda Iran na hilo analijua, akishahikikishiwa support na wapambe wake ndo anafanya vurugu.Bwana mdogo tu mapanki alimtoa jasho.
Kweli hakuna utajiri usio na udhalimu. Anajiita super power kwa mali za kidhalimu tu. Ili dunia ikae na amani Marekani ndo ilitakiwa ifutwe katika uso wa dunia ili hao vibaraka wake wanaoitwa Israel wafe njaa.
 
Mwanamume Supreme leader Khamenei anatoa bonge la hotuba huko live aljazeera.
Screenshot_2020-01-08-10-43-18-276_org.mozilla.firefox.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cha kusikitisha zaidi mataifa yote mawili hayapigani kwenye ardhi za nchi zao, bali wanapigania Iraq ambapo tayari Iran inaamini kwamba ni Marekani ndogo baada ya Marekani kuihodhi Iraq kwa kisingizio cha kuijenga upya na kulinda amani.
Mwisho wa siku wa Iraq ndio hasa watakao athirika na hii vita ya mafahari wawili.
By the way, mbona Marekani iliwaondoa wanachi na majeshi yake yote huko Iraq..??
Sasa Iran anapo shambulia vituo vya Marekani ilhali tayari Marekani iliwaondosha watu wake, Je hapo Marekani ana athirika vipi..??

Sent using Jamii Forums mobile app

Naona hii umechanganya kidogo, wamarekani hawajaondoka Iraq, ndio kwanza wameweka BASE zao kule, hata juzi wakati Bunge la Iraq limepitisha maazimio ya pamoja bila kujali tofauti zao, kuwa Marekani waondoe majeshi yake kwao,
Bado marekani kagoma,
Kwa kifupi Iraq anamtimua marekani na majeshi yake,
Marekani kumuua General Soleiman kumewaweka wairaq na wairan pamoja, wamekuwa kitu kimoja.
 
Wapigane,tena wapigane sana,tushangilie,tena tushangilie kwa sauti kubwa na kuongeza sauti,maana dunia haina watu tena,vimebaki viatu,tena viatu vya kuvali chooni,nasema chooni na siyo msalani.
Wapigane,haja ya mataifa makubwa ni kuangamiza dunia,maandiko ya vitabu yanatimia.
Atakaedhani kwamba ipo siku shetani atatubu dhambi zake,basi ameingia choo cha kike wakati yeye ni mwanaume.nasema tena ameingia choo cha jeshi ihali yeye ni raia.
Dunia haihitaji amani tena kwani thamani ya amani haionekani,wapigane.
Umevurugwa na jiwe[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]
Hakuna madhara , Iran wamewah Sana kustrike back mda ambao kambi zote za marekan zpo under high alert , Bora hata wamtafute mtu mmoja mhimu wa Marekan wamuue kuliko kufanya ujinga wanaofanya ....
Hakuna Madhara Unasema Wewe

Halafu Pia Kitendo Cha IRAN Kustrike US Base Hapo IRAQ Inaonesha US Base Ndani Yamashariki Ya Kati Ni Safeless Na Mitambo Yao Wanayoiaminisha DUNI Yakwamba Inazuia Makombora Ni Useless

Inamaana wanajeshi wa US Walishaondoka IRAQ MKUU Ama ?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Tagerts.3 in short term [emoji117]
1-Yaliko tokea makombora!

2-Komandi za walinzi wa mapinduzi ya iran!

3-kambi za Jeshi za walinzi wa mapinduzi ya iran!
Kama ayatola kajidichimbia huko atoke mapema!

Sent using Jamii Forums mobile app
Senator Graham kampigia simu Trump na Trump kamwambia kuwa watashambulia Visima vya Mafuta ya Iran ili kukata mrija

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana sio kama wiki kama wiki ya kawaida, huu ni muda wa kiunabii, ambao siku moja nisawa na Mwaka mmoja.

Hapa kuna majuma 70 ..... Yakagawanya ktk majuma 69 ya kwanza..na Juma LA mwisho linaloitmisha 70..

Ni somo refu Mkuu ...mpaka nitulie nikueleze kwa ufasaha.


Ila nimambo ambayo ukiyajua , ukasoma Biblia vzuri, huwez shangaa nakinachoendelea leo Duniani.
Upuuzi huu kapeleke dampo hapa sio mahala pake

It's Scars
 
Trump hawezi kukuangusha. Trump is coming. It will be very hard and Fast and Strong.
Marekani anatakiwa a-ignore, hakuna haja ya kumipiga Iran, mwsihowe wata-trigger world war. Halafu nahisi kama huu mgogoro kama utadumu mpaka mwezi huu uishe, kuanzia Februaray 2020 akina sisi ambao kipato chetu kwa mwezi kiko under 1m, tutapaki gari, hata kama ni Toyota IST ambayo huwa haili mafuta mengi; lazima tutapaki!
 
Naona sasa wameamua kutupeleka WW3, IRAN imelipiza kisasi kwa kuvurumusha makombora ya masafa mafupi nchini Iraq dhidi ya Jambi mbili za kijeshi za Marekan zinazohifadhi wanajeshi za NATO..


Kwa ufupi, US na NATO ndio walichokua wanataka.


Russia na China ,hawawez acha Uwekezaji wao nchin Iran uende mikonon mwa NATO...
Russia na China ni wanafiki sana Iran akianza kudundwa watakaa pembeni wangojee kulalamika kwenye vikao vyao ili dunia tuwaone ndio wazuri kumbe ni wale wale ila wanakuja kwa njia nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom