Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
HakikaaaaUlisikia vyema mkuu ndivyo US alivyo sema, tena akasema na akimuondoa kwa nguvu atamuwekea vikwazo vya kiuchumi,
US akiwa rafiki yake ujiandae tu ipo siku atakuduwaza.
Unahisi kama wangekanusha [emoji23][emoji23]Side ya America umeshaisikia wamesema nini?
Don't rush things subiri Trump aongee soon from now.
Ayatollah kashazungumza kasema ni wao walioshambulia
Mnoo japo kuna watu wana wa under Dog...22 ballistic missiles launched, 22 landed on target , 2 failed to detonate. Iran wamekomaa ki teknologia.
As good as gets.
Hilo ni jeshi la iran kwani hujasoma maelezo?Na hao ndio wanajeshi wa kutumainiwa wa US wanaotegemea kuishinda Iran?
Likipigwa kombora moja tu,lazima wajiharishie hao.
View attachment 1315739
dodge
All options on table including sending beautiful gift to Ayatolah.Jana wamewazoea tena kwa missles za kutosha,vipi mtachukua hatua gani?
dodge
US = Akikanyaga Mziki Wa Waajemi Tutasimuliana Mambo Mengine Baada Ya MweziMakombora 15 yaliyo hit 11? Mifumo ya ulinzi wa anga ya Marekani tuisemeaje sasa? Tuilete picha gani?
Houthi waliporusha makombora Saudi Arabia na Saudi mifumo ya ulinzi ya anga anayotumia ni ya Marekani. Kilichotokea Saudi Arabia kinafahamika!
Ngoja nisubiri kwanza, sitaki kuamini haraka haraka!
Nimeifatilia kmbe ilikua yenyewe bnafsiKwa hiyo na wewe umeamini Iran wametungua hiyo Boeing 737 old model kwa bahati mbaya?[emoji41]
.
Muwe mnatafuta habari wenyewe aisee atawalisha kinyesi sana huyo
Hilo ni jeshi la iran kwani hujasoma maelezo?
Jeshi la US hili hapa unataka nikuwekee la navy au la angani?View attachment 1315770
It's Scars
Team Trump, nipeni likes za kutosha hapa. Muajemi kapiga nyundo kituo cha Jeshi, Trump atarusha makombora 200 toka pande zote kuu 4 za dunia. Angalia vikosi vya US kuko Middle East
Nasikia wanajeshi wa USA wamechinjwa kama kuku vile na missile za wa Iran.
Unaikumbuka hii?
Sababu IRAN Alikua Anasababu Zakupigwa Na Western Toka Mwaka 1979 Ila Jamaa wanaruka rukaUnachojua ni tofauti na uhalisia,USA &mabeberu wa ulaya wanaamini kuwa serikali ya Iran na ndiyo inayohusika na ugaidi dunia hvyo wanatamani hata Leo Irani ipigwe ila serikali za mabeberu walikuwa wanamsuka ili aingie kwenye radar na kweli Irani kaingia yaani hapa ndiyo kathibitisha kweli anafadhili kwa kujibu mapigo baada ya kuuwa uyu bwana kamanda ambaye wamarekani wanadai anausika na mauaji ya zaidi ya wamarekani 600( inaonekana serikali yao imewajenga HV RAIA wake)View attachment 1315674View attachment 1315675
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona mumenza kutokea huko sasa. Kama usa ndio taifa kubwa unawezaje pata kiburi nje ya usa. Watu wanajiamini, huu upuuzi wamarekani wa kuuwa watu na kuiba mafuta kama wew unaupenda wa uran wanauchukia
Kambi Za US Zimekua Kama CHUJIO Lanazi Asee Zinapenyeka Kirahisi Mno Zaidi Ya Anga La Kenya [emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2]Iran bhana...nasikia wametangaza wameua 80 wakati huohuo Iraq inasema hakuna aliyekufa.
Ngoja tusubiri taarifa kamili
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila hawakua jivu wala mkaaWangeuwawa usa 80 soldiers muda huu Tehran ingekuwa majivu