Okay byeHiyo ni history,sio ufunuo,habari iliandikwa baada ya matukio,ukiifuta history,kwanza babeli haikuwa falme ya mwanzo,pili babel sio ufalme pekee ulioanguka Hadi kwamba uhitaji unabii,mbona hakuna unabii wa British empire?,Songhai au Mali empire,
Angalia timeline ya Daniel kazaliwa lini,kafa lini na Nani mwandishi halisi was kitabu hicho
Iran kajuaje kuwa wanajeshi wa marekani wamekufa wakati yeye hayupo
Sent using Jamii Forums mobile app
The Mohajer was Iran's first drone to enter series production and was used during the Iran–Iraq War. The Mohajer-1 was known simply as "Mohajer" through the 80s and 90s, when it was re-designated "Mohajer-1" as other Mohajer variants had been developed.
[emoji38][emoji38][emoji38]Aishindwe Iran aje apambane na Russia wazee wa FOAB.
Atapigwa mtungo mpk puru ichanike.
dodge
Kushushwa kwa zile Drone Haukua Ushindi Wakumjua Adui hiii na zile Drone zilipelekwa sehem Nyeti Gan kwan [emoji16][emoji16][emoji16]Bwana Utam, UNAPO MJUA ADUI YAKO
UMESHINDA NUSU YA VITA!
ZILE DRONE ZA US ZILIZO SHUSHWA NA IRANI NI MOJAWAPO YA MBINU YA KUMJUA ADUI YAKO!
KOSA ALILO LIFANYA IRAN BAADA YA KUSHUSHA ZILE DRONE NI KUZIPELEKA KWENYE SEHEMU ZAKE NYETI KUZIFANYIA UCHUNGUZI!
KUMBE WAO NDIO WANACHUNGUZWA....
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani nchi zenye uwezo was kufyatua kombora mfano toka mbeya likatue kwenye nyumba specific kwa mtogole precisely ni chache kwelikweli.
Mkuu mbona unaimba taarabu kama mwanamke wa Tanga/Pwani/Zanzibar?Naona watu wengi washabiki wa Iran wanashabikia wasicho kijua .
Iran walikua wanasherekea mwaka mpya kwa kurusha tufani hewani,Ni sawa kabsa na kurusha mawe juu ya paa at least hata warushe mawe kwenye madirisha wanaweza vunja vioo.Na wanacho kifanya Iran ni kubweka tu.Eti wameua wanajeshi 80 wa Marekani ,habari za chekechea wanampa nani ?? Iran wakae chini wafyate mkia kuepusha mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
huko mpaka sasa ni mbili bila lakini tutegemee hat trick moja matata sanaNgapi ngapi huko?
Mkeka umechanikaNgapi ngapi huko?
Kwahiyo Iran atashinda?Mkuu mbona unaimba taarabu kama mwanamke wa Tanga/Pwani/Zanzibar?
Ngome za Trump zimepigwa, drone yao ya kisasa na ya gharama imeshushwa, kule saudia visima vimepigwa tena jirani kabisa mwa kambi za usa!
Sasa wewe kaa hapo endelea kuimba taarabu!
Hawezi kushinda ila itam cost sana MarekaniKwahiyo Iran atashinda?
US sa hivi hamtaki kabisa story za vita,hahah.