Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

[emoji2][emoji54][emoji23][emoji23][emoji15][emoji12][emoji12][emoji14][emoji14][emoji14]
Kama Israel atahusika kwa namna yoyote ile, hamna haja ya kumuomba Mungu. Msimamo wake unaeleweka.
Unakumbuka maneno yangu nikikwambia kama kisasi lazma kilipwe US Wamebakia wanabweka kama Umbwa


ISRAEL Nae Akijipendekeza Atapigika 2 Kama Haamini Ajaribu Aone Kitakachomkuta ........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haijalishi madhara ni makubwa ama madogo lakini Iran kashambulia kambi mbili kwa mpigo pasipo rada za Marekani kuyapangua makombora
Hakuna rada za marekani zilizotambua hapo ndo wajue sio wao pekee tu wana vifaa bora, umesikia kauli ya trump kua wana vifaaa bora ukitafasri utaona Iran imetumia vifaa bora mpaka kuweza kushambulia kambi 2,kama wakati wa nyuma Iran aliweza kusambaratisha ile dron ambayo haionekani kwenye rada watashindwa nn kupiga kambi za jeshi la marekani maana inaonekana sasa marekani anapata tabu kuongia Iran kufanya mashambulizi ndo maana alimuua jeneral akiwa Iraq

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran Fires 15 Ballistic Missiles at US Bases in Iraq, 11 Hit Targets - Reports
Iran launched a total of 15 ballistic missiles at US bases in Iraq, 11 of them hit the targets, ABC News reported on Wednesday citing a defence official.
===
(11/15)× 100=73%. Accuracy siyo mbaya. Kwa hiyo, Patrotic ina accuracy ya kulinda ngome kwa 27%. Jeshi la marekani liko hatarini. Maana tunaambiwa Makamanda wa US wako tayari 24/7.
===
There are "no US casualties" from Iran's missile strike, Fox News reported, citing a military official in Baghdad.
- - -
Fox news bwana !
Makombora 15 yaliyo hit 11? Mifumo ya ulinzi wa anga ya Marekani tuisemeaje sasa? Tuilete picha gani?

Houthi waliporusha makombora Saudi Arabia na Saudi mifumo ya ulinzi ya anga anayotumia ni ya Marekani. Kilichotokea Saudi Arabia kinafahamika!

Ngoja nisubiri kwanza, sitaki kuamini haraka haraka!
 
Point
Urusi, North korea au China...Ila Iran wanataka washambuliwe waiingize Israel vitani ili kuungwa mkona na waarabu pro-Shai.
Trump nae anashida ya maelewano na wapanga vita wake.. anata 'pigaua' bila kujali upande wa kisiasa kwake na uhusiano na mataifa ya Ulaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yote haya kayataka Mpuuzi Wakimarekani[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]Sad[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo na wewe umeamini Iran wametungua hiyo Boeing 737 old model kwa bahati mbaya?😎
.
Muwe mnatafuta habari wenyewe aisee atawalisha kinyesi sana huyo
 
Sina uhakika,maana usiku ndege za marekani zilinyanyuka kuelekea Iran,na Trump alikuwa ahutubie taifa lake usiku huohuo,ghafla Trump akaahirisha hotuba,
Nikasikia Kuna ndege ya marekani imetunguliwa karibu na bandar Abbas,
Mida ya saa Tisa za usiku,now sijui kuliendaje maana Trump mpaka Sasa Yuko kimya,wanadai no casualties Bado wanafanya assessment
Hizo ni fake news Mkuu...Hivi Iran itungue Ndege ya Marekani hasa kipindi hiki wasituonyeshe kwenye Press TV?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taifa la Marekani haliko upande wa Trump kwenye hii vita, ni Trump yeye kama yeye ndo anapigana. Na bila "kuuza sababu za vita" kwa wananchi wa marekani ukaeleweka basi utakuwa unafight a losing war.

Kwa upande wa Iran Taifa zima limeungana nyuma ya viongozi wao na liko tayari kwa chochote.

Kitendo cha Trump kutishia kupiga Cultural sites za Wairan kimewakera mno Wairan kwa hiyo wako tayari kwa lolote.

Kutokana na hilo, Sioni ni kwa namna gani Trump anaweza kujicommit kwenda vitani na Iran halafu akaungwa mkono na bunge la nchi hiyo lenye mademocrats wengi
Unachojua ni tofauti na uhalisia,USA &mabeberu wa ulaya wanaamini kuwa serikali ya Iran na ndiyo inayohusika na ugaidi dunia hvyo wanatamani hata Leo Irani ipigwe ila serikali za mabeberu walikuwa wanamsuka ili aingie kwenye radar na kweli Irani kaingia yaani hapa ndiyo kathibitisha kweli anafadhili kwa kujibu mapigo baada ya kuuwa uyu bwana kamanda ambaye wamarekani wanadai anausika na mauaji ya zaidi ya wamarekani 600( inaonekana serikali yao imewajenga HV RAIA wake)
Screenshot_2020-01-08-04-18-30.jpeg
Screenshot_2020-01-08-04-22-26.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_2020-01-08-04-22-26.jpeg
    Screenshot_2020-01-08-04-22-26.jpeg
    17.6 KB · Views: 1
  • Screenshot_2020-01-08-04-21-14.jpeg
    Screenshot_2020-01-08-04-21-14.jpeg
    16.2 KB · Views: 1
  • Screenshot_2020-01-08-04-20-45.jpeg
    Screenshot_2020-01-08-04-20-45.jpeg
    15 KB · Views: 1
  • Screenshot_2020-01-08-04-18-39.jpeg
    Screenshot_2020-01-08-04-18-39.jpeg
    17 KB · Views: 1
  • Screenshot_2020-01-08-04-20-27.jpeg
    Screenshot_2020-01-08-04-20-27.jpeg
    20.2 KB · Views: 1
Back
Top Bottom