cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Gauni la shilingi milioni 15 lakini matako yako wazi? Mi naona kapigwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Gauni la shilingi milioni 15 lakini matako yako wazi? Mi naona kapigwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]subiri aanze kupitisha bakuli siku akiugua..
kwenye starehe wanatumbua wenyewe ikifika kwenye shida watanzania naomba mnichangie niende INDIA.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahHuoni siku zote amezungukwa na mashoga?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa malezi ya huyo mtoto
Naona anatengenezwa James delicious mwingine hapa mjini
RIP NDIKUMANA sidhan ungekubali haya yanayotokea Sasa
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareee sana.Kabisa, na usikute kanatafunwa na wenzake hata shule.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alishasema anapenda wanaume wasovutia
H.baba alikula sana enzi hizooo
Sasa si afadhari shilole anatafuta mkate kwa jasho lao, hawa wengine kutwa wao kudanga na kuwauza watoto wa kiume wa watu, kwa jamaa wa kiarabu, kiitaliano na kifaransa, ndo ujanja?Wanasema wameanzisha kundi lao wanajiita drama queen yupo uwoya, wolper, sepetu, kajala, lulu, na aunty ezekiel, nimeona wamewabwaga wengine kama shilole naona kachukia huyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23] na shamsa naona amejibembeleza kwa kumsifia uwoya kwenye comment ila ajajibiwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] , shilole ndio kanunaa huyo
Ni kweliWanawake uwa wanazaliwa na mitaji usijiulize sana.
Unaweza ukawa na demu nyote mmepigika mtaani ila maisha yake yakabadilika wiki inayofuata akawa sio level yako kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Khaaaaah.Wa kike au wa kiume? Mbn Kama ana wowowo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu uwiiiiih.Na sherehe za zamani kabwili alikuwa ndio rafiki mkuu wa huyo dogo.kumbe ilikuwa swala la muda tu.
Bado ni swala la muda tu.
Hii nayo ya lini?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na kupuyanga kweli kweli.Hii nayo ya lini?
Kumbe humu huwa tunapuyanga sana[emoji1]
Hawakawii kuomba kuchangiwaStaa mwenye cash bila dili za matangazo jana alimfanyia mtoto wake wa pekee sherehe ya kipaimara iliyomgharimu zaidi ya million 100! Kwa kweli ilikuwa ni sherehe ya kifalme.View attachment 2199981
Huku ndiko uwanja wako wa kujidai na kule MMU ila sio kwenye Dark daysSasa si afadhari shilole anatafuta mkate kwa jasho lao, hawa wengine kutwa wao kudanga na kuwauza watoto wa kiume wa watu, kwa jamaa wa kiarabu, kiitaliano na kifaransa, ndo ujanja?
Msieeeew zao. Woiiiiiiih, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]