Ndio nimeishia nyumba kwenye msingi mwaka wa tano huu..!
Huyu ndiyo aliolewa na dogo janja??Staa mwenye cash bila dili za matangazo jana alimfanyia mtoto wake wa pekee sherehe ya kipaimara iliyomgharimu zaidi ya million 100! Kwa kweli ilikuwa ni sherehe ya kifalme.View attachment 2199981
Passo ilitaka kuvuta semi lililokwama, sema akashtuka mapema maana angeacha bodyHuyu ndiyo aliolewa na dogo janja??
[emoji16]Gauni la shilingi milioni 15 lakini matako yako wazi? Mi naona kapigwa.
Hahahaha hahahaha [emoji23][emoji23][emoji23] daaahPasso ilitaka kuvuta semi lililokwama, sema akashtuka mapema maana angeacha body
Sasa dogo yupo wap?mzeya??Ndio huyo
Huoni siku zote amezungukwa na mashoga?uwa najiuliza hii pisi inapiga mishe gani mjini hapa