Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Millione 100 ya ZimbabweAcha wivu unataka tukuambie alifanya sherehe ya laki 1
Wa kwanza nani?View attachment 2200350
Irene unyoya ndio celebrity wakike wa pili kwa utajiri Tanzania!
Binafsi hua nawaonea huruma zaidi watoto wanaolelewa kwenye aina hii ya maisha kwasababu kuna leo na kesho. Ikitokea kesho mama hayupo au hajiwezi, huyu mtoto atakuja kuishi maisha magumu sana hasa ukizingatia mama hana shughuli ya kueleweka inayomuingizia kipato wala msimamizi wa mali alizo nazo.Staa mwenye cash bila dili za matangazo jana alimfanyia mtoto wake wa pekee sherehe ya kipaimara iliyomgharimu zaidi ya million 100! Kwa kweli ilikuwa ni sherehe ya kifalme.View attachment 2199981
Ndiyo mkuu,shule ya msingi.Million 100 ni nyumba 5 vyumba viwili viwili vya kupangisha mkuuUnaonekana utakuwa mwalimu tena wa msingi!
Hili litoto ni zuri
acha wivu mke, subiri yako nitakufanyia ya 200millionMillione 100 ya Zimbabwe
Baraa tupu, kuna siku nilikutana nalo hotelin..tulikuwa floor moja vyumba jirani.. tukagusana nalo lilikuwa halitaki nipisha njiaa.. lilaaini kama sponge 😁😁Hili litoto ni zuri
Ungelichombeza mkuu mixer kuliomba namba ki-badboyBaraa tupu, kuna siku nilikutana nalo hotelin..tulikuwa floor moja vyumba jirani.. tukagusana nalo lilikuwa halitaki nipisha njiaa.. lilaaini kama sponge [emoji16][emoji16]
Baraa tupu, kuna siku nilikutana nalo hotelin..tulikuwa floor moja vyumba jirani.. tukagusana nalo lilikuwa halitaki nipisha njiaa.. lilaaini kama sponge [emoji16][emoji16]
We nakujua zipo 😍😘acha wivu mke, subiri yako nitakufanyia ya 200million
mke lini umeanza kuni dislike 😌😌We nakujua zipo 😍😘
Mbona nawe jana uli ni dislike ina maana uligusana na Irene😩😬😬😬mke lini umeanza kuni dislike 😌😌
Nilisikia ni mwathirika aiseeNaona ukimwi na unga vimeanza kummaliza ! Mamaee