Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
Huwa nabadili mkuuKwanini umebadili ile Avatar yako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa nabadili mkuuKwanini umebadili ile Avatar yako?
LILIKUWA ZURI MKUU!!Hili litoto ni zuri
mke , wowo lake tu ndio niligusana nalo 😌😌😌Mbona nawe jana uli ni dislike ina maana uligusana na Irene😩😬😬😬
alafu kweli.. sema ndio hivyo Nuzulati kakamata kila kituUngelichombeza mkuu mixer kuliomba namba ki-badboy
Mmmh sawa kinyongemke , wowo lake tu ndio niligusana nalo 😌😌😌
Ndio maana nakupendaa.. huna ubishi mtoto mzuri ulie msikivu na usie na makuu 😘😘 nakupenda sanaMmmh sawa kinyonge
Mimi zaidi mtarajiwa🥰❤️Ndio maana nakupendaa.. huna ubishi mtoto mzuri ulie msikivu na usie na makuu 😘😘 nakupenda sana
Kama hiyo chupa ya pombe kali ni red label basi hiyo 100m ya Zimbabwe
View attachment 2200348
Make up yake iligarimu milioni 3 za kibongo!
Kwa uelewa tu, hivi Range Rover inaweza kufika bei ganiUwoya hawezi pitisha bakuli hizo range hpo unadhani ni shs ngap!
Kwani mkuu wewe hukaoni hako katoto pigo zake?Duh watu mna mawazo mabaya sana aisee. Anyway ni kweli kwamba anakamix sana na wanawake ila mkuu hudhani kwamba sio sawa mtoto mdogo kufikiria haya unayofikiri juu yake?
Mama yake ndizo pigo anazokapiga na malezi ila sidhani kama kamefika huko maana ukisema kanafanywa na watoto wenzake shule ina maana pia unasema kwamba kanaposoma kuna watoto wenye tabia za kishoga...Kwani mkuu wewe hukaoni hako katoto pigo zake?
Aisee!View attachment 2200350
Irene unyoya ndio celebrity wakike wa pili kwa utajiri Tanzania!
😂Tangu sura halisi ya zumaridi ionekane live, nimejifunza simkubali mwanamke mpaka nimuone bila make up
Vera ginger we ulisikia wapi!Alishasema anapenda wanaume wasovutia
H.baba alikula sana enzi hizooo