Irene Uwoya afanya sherehe ya milioni 100 ya kipaimara cha mwanaye

Irene Uwoya afanya sherehe ya milioni 100 ya kipaimara cha mwanaye

Status
Not open for further replies.
Well they are not based 'to' gender rather based ON gender.

Si kila jambo la kuigwa ndugu. Lililo kawaida kwa wenzio usifanye liwe kawaida kwako hata kama halikubaliki.

Hiyo ni sketi haijalishi kama ni ya mnaijeria, mjerumeni au mchina na kibongo bongo haikubaliki kwa mwanaume, kama unabisha kuwa ni kawaida tupia picha yako na wewe ukiwa na sketi yako tuone - naandika hivi nikiamini wewe ni ME.
I thought, we were on a scholarly argument about gender.
 
Vazi la kinaigeria Ilo.hakuna gauni apo
Hivi kwanini mnaiga hao wapopo takataka kila siku kilakitu?
Wananuka kila kitu nyie ni miungu watu kwenu.
Watu wanajipepea sijui nini mbwembwe tu.
Nilikua na kifeni mkononi 90s najipuliza tu nikiona joto.
Ushamba gani huo.
Mijanamke iko inajipepea na lidubwasha gani sijui
Mtoto nae anajiona igwee,mama ndo kabisaa.
Hao watu wanawafaidisha nini?
Si hata wangeiga mila za ndikumana Burundi hapo au Rwanda.
Yapo tu km makuku ya kienyeji.
Mtapigwa sana miti na wapopo malaya nyie.
Wanawake zao hatuna time nao.
Michafu uuff natapika.Ok
 
Hivi kwanini mnaiga hao wapopo takataka kila siku kilakitu?
Wananuka kila kitu nyie ni miungu watu kwenu.
Watu wanajipepea sijui nini mbwembwe tu.
Nilikua na kifeni mkononi 90s najipuliza tu nikiona joto.
Ushamba gani huo.
Mijanamke iko inajipepea na lidubwasha gani sijui
Mtoto nae anajiona igwee,mama ndo kabisaa.
Hao watu wanawafaidisha nini?
Si hata wangeiga mila za ndikumana Burundi hapo au Rwanda.
Yapo tu km makuku ya kienyeji.
Mtapigwa sana miti na wapopo malaya nyie.
Wanawake zao hatuna time nao.
Michafu uuff natapika.Ok
Hauwezi kumpangia kila mtu namna ya kuishi,binafsi siwezi kuvaa na wal a siwezi kumjusema anaye vaa ,na ridhika na dona language,mengine kila mtu afanye kwa utashi wake ,kwa kua hainiongezi ugali
 
Ingia Google ,hiyo ni tamaduni yao kama ilivyo kwa wamasai
wanavaa hivi, sio hizo sketi
1650999464601.png
 
Mie naona kavaa msuli na si sketi.
 
Msichagulie watu maisha wanayotaka kuishi.....lets tolerate each other,dini, mavazi, sexuality n.k
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom