EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Mbona kama inaonekana ni ishu ya kitamaduni? huenda ni mtoto wa chief huko kwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba mavazi kama hayo ya sketi wanayovaa machifu.Mbona kama inaonekana ni ishu ya kitamaduni? huenda ni mtoto wa chief huko kwao
Ok tuashum ni sketi kama unavyotaka kutuaminisha, hiyo halfa ambapo anaonekama kama mgeni muhimu kiasi cha kuwapigapiga kichwa na fagio, bado haikupi muono kwamba hiyo ni hafla na sio kichen pati?Naomba mavazi kama hayo ya sketi wanayovaa machifu,
sketi (sio msuli)
Nakupa taarifa ya ziada kwamba hio ilikuwa ni sherehe ya kipaimara, Kipaimara gani kipo hivi aiseeOk tuashum ni sketi kama unavyotaka kutuaminisha, hiyo halfa ambapo anaonekama kama mgeni muhimu kiasi cha kuwapigapiga kichwa na fagio, bado haikupi muono kwamba hiyo ni hafla na sio kichen pati?
Kipaimara unapewa kanisani,kuhusu sherehe kila mzazi anamfanyia kwa uwezo wake,wapo wengine wasiofanya sherehe ,ni maamuziNakupataarifa ya ziada kwamba hio ilikuwa ni sherehe ya kipaimara, Kipaimara gani kipo hivi aisee
Kipaimara ni jambo la dini kwaiyo ata ukifanya sherehe jitaidi isiende nje na misingi ya iman husika. Vipi haujui kuwa kwa mjibu wa imani yao imeandikwa mwanaume asivae mavazi yampasayo mwanamke?Kipaimara unapewa kanisani,kuhusu sherehe kila mzazi anamfanyia kwa uwezo wake,wapo wengine wasiofanya sherehe ,ni maamuzi
mkuu acha wivu, huoni mtoto anavyofaidi kampani ya mastaa hapoIla inaonekana bado kuna wabongo roho mbaya na ma bingwa WA kufatilia Mambo ya watu Tu .......umetamani kuwa mtoto WA uwoya??.......kwanini usikaushe mpaka ulete huu ugoro hapa
NakaziaWa kike au wa kiume? Mbn Kama ana wowowo?
Staa gani hapo na wewe......Kwanza how old are u?? Inaonekana unapenda hizi Mambo za kitoto kitoto.......je ushampost ndugu yako hapa jukwaani hata Tu siku yake ya kununua kiwanja?? Ukiona bado basi ujue wewe bado ujapazoea mjini.....hakuna staa hapo.....wote tunakutana kwenye vibanda umiza na kwenye pantoni mwendo WA daladala......haafu utasikia jinga Lina kwambia nimevaa Gucci ya milioni kumi na mbili .........nyambafumkuu acha wivu, huoni mtoto anavyofaidi kampani ya mastaa hapo