TANZIA Iringa: Katibu wa CCM Kilolo avamiwa na kuuawa na Watu wasiojulikana

TANZIA Iringa: Katibu wa CCM Kilolo avamiwa na kuuawa na Watu wasiojulikana

Watu Wasiojulikana Wanadaiwa wamemvamia aliyekuwa Katibu wa Chama Cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa, Christina Kibiki na kumuua kwa kumpiga risasi.

Taarifa ambayo Matukio Daima Media tumeipata inadai kuwa watu hao Wasiojulikana wamefanya uvamizi huo usiku wa kuamkia leo Novemba 13, 2024 katika Kijiji cha Njia Panda ya Tosa, Wilaya ya Iringa Vijijini nje kidogo na Mji wa Iringa ambako alikuwa akiishi.

Kuwa baada ya kumshambulia kwa risasi alikimbizwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa ya Tosamaganga ambako amefariki Dunia.

Matukio Daima Media imezungumza kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kilolo, John Kiteve amesema tukio hilo limemgusa sana na amesikitishwa na tukio hilo.

Huku Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi hajapatikana ili kuthibitisha tukio hilo, bado Matukio Daima Media inaendelea kufuatilia zaidi.

Chanzo: Matukio Daima Media

==============================

JamiiForums imemtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi, simu imepokelewa na msaidizi wake ambaye baada ya kuelezwa kuhusu tukio hilo akasema “Kamanda yupo kikaoni, tukio hilo bado hajalizungumzia.”


Pia, Soma:
haya niwaulize makada mlio humu vp hiyo inafurahisha au ina huzunisha?
 
Soon lawama atatupiwa CDM . au plan yao ni kuleverage mambo ionekana kuenguliwa majina haina uzito kama kuuliwa .

Let us keep them talking the whole day wasiojulikana watajulikana
 
Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi ataongoza Viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali kwenye mazishi ya aliyekuwa Katibu wa CCM wilaya ya Kilolo

Mazishi hayo yatahudhuriwa na Wapenda Amani wa kitaifa na Kimataifa wakiwemo Mitume na Manabii pamoja na Mashehe na Maaskofu

Ahsanteni sana 🐼
R.I.P Mzee mohamed Kibao
 
Soon lawama atatupiwa CDM . au plan yao ni kuleverage mambo ionekana kuenguliwa majina haina uzito kama kuuliwa .

Let us keep them talking the whole day wasiojulikana watajulikana
Kama ile ya dr. Mvungi ati panga lina bendera ya chama
 
Watu Wasiojulikana Wanadaiwa wamemvamia aliyekuwa Katibu wa Chama Cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa, Christina Kibiki na kumuua kwa kumpiga risasi.

Taarifa ambayo Matukio Daima Media tumeipata inadai kuwa watu hao Wasiojulikana wamefanya uvamizi huo usiku wa kuamkia leo Novemba 13, 2024 katika Kitongoji cha Banawanu, Kijiji cha Ugwachanya, Kata ya Mseke Tarafa ya Mlolo nje kidogo na Mji wa Iringa ambako alikuwa akiishi.

Kuwa baada ya kumshambulia kwa risasi alikimbizwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa ya Tosamaganga ambako amefariki Dunia.

Matukio Daima Media imezungumza kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kilolo, John Kiteve amesema tukio hilo limemgusa sana na amesikitishwa na tukio hilo.

Huku Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi hajapatikana ili kuthibitisha tukio hilo, bado Matukio Daima Media inaendelea kufuatilia zaidi.

Chanzo: Matukio Daima Media

==============================

JamiiForums imemtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi, simu imepokelewa na msaidizi wake ambaye baada ya kuelezwa kuhusu tukio hilo akasema “Kamanda yupo kikaoni, tukio hilo bado hajalizungumzia.”


Pia, Soma:
Mbona wanawake wote ws CCM wanafanana sura na maumbile!
 
Watu Wasiojulikana Wanadaiwa wamemvamia aliyekuwa Katibu wa Chama Cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa, Christina Kibiki na kumuua kwa kumpiga risasi.

Taarifa ambayo Matukio Daima Media tumeipata inadai kuwa watu hao Wasiojulikana wamefanya uvamizi huo usiku wa kuamkia leo Novemba 13, 2024 katika Kitongoji cha Banawanu, Kijiji cha Ugwachanya, Kata ya Mseke Tarafa ya Mlolo nje kidogo na Mji wa Iringa ambako alikuwa akiishi.

Kuwa baada ya kumshambulia kwa risasi alikimbizwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa ya Tosamaganga ambako amefariki Dunia.

Matukio Daima Media imezungumza kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kilolo, John Kiteve amesema tukio hilo limemgusa sana na amesikitishwa na tukio hilo.

Huku Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi hajapatikana ili kuthibitisha tukio hilo, bado Matukio Daima Media inaendelea kufuatilia zaidi.

Chanzo: Matukio Daima Media

==============================

JamiiForums imemtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi, simu imepokelewa na msaidizi wake ambaye baada ya kuelezwa kuhusu tukio hilo akasema “Kamanda yupo kikaoni, tukio hilo bado hajalizungumzia.”


Pia, Soma:
CCM wanauana wenyewe
 
IMG-20241113-WA0074.jpg

====
Chama cha Mapinduzi, kimepokea kwa mstuko mkubwa taarifa za kifo
cha Katibu wa CCM Wilaya ya Kilolo Mkoa wa Iringa, Bi Christina Kibiki aliyeuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiyojulikana.

#PumzikaKwaAmani
IMG-20241113-WA0073.jpg
 
Back
Top Bottom