Na yawezekana kabisa lengo la kumshambulia mpaka kumuua ni kuharibu ushahidi wa picha alizokuwa amekwisha wapiga! Wasijue kuna mwingine anawapiga picha.
Kama waziri wa mambo ya ndani anapenda mustakabali wake wa kisiasa, AACHIE NGAZI MARA MOJA, Na kama RAIS anawapenda raia wake: AWAFUTE KAZI (kama hawatajuhuzuru wenyewe) wafuatao:
1. WAZIRI WA MAMBO YA NDANI,
2. IGP,
3. MWENYEKITI WA ULINZI NA USALAMA MKOA WA IRINGA,
5. RPC IRINGA.
Na kama Rais hatofanya hivyo basi na yeye apelekwe the hague! Haya si mambo ya kuvumilia hata kidogo! Vinginevyo tuseme hii ni nchi ya kidictecta, haina utawala bora wala haiheshimu haki za binadamu!