Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hongera MAMA kwa maoni haya
Hiki chama cha wauaji kifutwe tu. Kila wanapokwenda wanauwa.
Wanaoingia madarakani kwa kutumia magazetiwatatumia mtutu kusalia madarakani alisema mh sumaye na leo yanatokea.tusubiri
Na yawezekana kabisa lengo la kumshambulia mpaka kumuua ni kuharibu ushahidi wa picha alizokuwa amekwisha wapiga! Wasijue kuna mwingine anawapiga picha.
Kama waziri wa mambo ya ndani anapenda mustakabali wake wa kisiasa, AACHIE NGAZI MARA MOJA, Na kama RAIS anawapenda raia wake: AWAFUTE KAZI (kama hawatajuhuzuru wenyewe) wafuatao:
1. WAZIRI WA MAMBO YA NDANI,
2. IGP,
3. MWENYEKITI WA ULINZI NA USALAMA MKOA WA IRINGA,
5. RPC IRINGA.
Na kama Rais hatofanya hivyo basi na yeye apelekwe the hague! Haya si mambo ya kuvumilia hata kidogo! Vinginevyo tuseme hii ni nchi ya kidictecta, haina utawala bora wala haiheshimu haki za binadamu!
Acha utoto,KAMA VP KAKOJOE UKALALENa yeye alikua anafanya nn huko?
Ulaaniwe na UZAO WAKO WOTE ulaaniweHiki chama cha wauaji kifutwe tu. Kila wanapokwenda wanauwa.