Plz wekeni link ya hiyo thread.
Thread ya Mzee Mwanakijiji ya kushauri CDM kuandaa maandamano dhidi ya polisi ni Muhimu sana
Katiba mpya iruhusu rais ashitakiwe baada ya kumaliza muda wake sababu yeye ndo amiri jeshi mkuu na ndiye anayewateua hawa watu wake
R.I.P bro. Mwangosi
Hiki chama cha wauaji kifutwe tu. Kila wanapokwenda wanauwa.
huyo aliekuwa anaepigwa kikatili sio mwandishi.coz mwandishi dakika 20 kabla ya kuuawa alikuwa kavaa jeans ya blue.huyu jamaa anaepigwa kikatili kavaa kadet ya kaki!
wa kuwajibika ni mbowe na slaa waliofata roho ya mwandishi iringa
Hiki chama cha wauaji kifutwe tu. Kila wanapokwenda wanauwa.
...Mie wala sitashangaa kwa CHADEMA kubambikiwa kesi za uongo sehemu mbali mbali nchini zinazohusiana na mauaji kisha Tume ya uchaguzi ya magamba itamke CHADEMA kinaonekana ni chama ambacho kinataka kuanzisha umwagaji damu nchini hivyo kimefutwa rasmi na hakiruhusiwi tena kujishughulisha na mambo ya siasa nchini....naamini kabisa hili likitokea sehemu nyingi nchini zitalipuka kwa ghasia kubwa sana na mauaji mengi yanaweza kutokea.
Mkuu hiyo ni kazi ya msajili wa vyama vya siasa nchini na wala si tume ya taifa ya uchaguzi.Msajili wa vyama vya siasa nae ni mteule wa raisi.Wote hawa ni watu ambao mtu huhitaji kuwa na degree kujua wako chama gani na wanafanya kazi zao kwa maslahi ya nani.
Katiba mpya ije ifute kabisa watu kama msajili wa vyama vya siasa kuteuliwa na raisi.
Hiki chama cha wauaji kifutwe tu. Kila wanapokwenda wanauwa.
huyo aliekuwa anaepigwa kikatili sio mwandishi.coz mwandishi dakika 20 kabla ya kuuawa alikuwa kavaa jeans ya blue.huyu jamaa anaepigwa kikatili kavaa kadet ya kaki!