The Problem is Polisi walishafanya na wameendelea kufanya uonevu huu sehemu mbali mbali( vyuoni, mikutano ya siasa, maandamano ya wanaharakati mbalimbali)...tumekuwa tukisema na kufarijiana, how abt we suggest the way forward wakuu( IRRESPECTIVE of political, gender, religious differences)?? If so;
- Nashauri Tusikubali kuundwa kwa tume na Polisi
kujichunguza wao kama tulivyozoea .
-Askari / Kikosi kilichofanya hivyo na wawajibishwe.
- W/mambo ya ndani, Ulinzi , RPC +/- IGPa role to play in
this saga.
-Waandishi wa Habari na wamiliki ikawe mwanzo wa
kutambua chachu ya kazi yenu mkitambua wananchi
wanawategemea ninyi, na hasa wale wajao baada yenu
katika taaluma hiyo.
Tutoe maoni nini kifanyike, na tusiishie kuguswa, kusema na kusahau..Let His death not be in Vain..
Rest in Peace David Mwangosi.