Iringa: Polisi yakana madai ya kada wa CHADEMA, Vitus Nkuna kushambuliwa na wasiojulikana barabarani, yasema alisababisha ajali kutokana na ulevi

Iringa: Polisi yakana madai ya kada wa CHADEMA, Vitus Nkuna kushambuliwa na wasiojulikana barabarani, yasema alisababisha ajali kutokana na ulevi

Hivi huko chadema kuna asiye mlevi?
Maana nikiangalia kamati kuu yao ni malevi yote Mbowe,Lisu,Lema,Mnyika,Sugu wote hao walevi wa kutupwa.
 
Jeshi la Polisi mkoani Iringa limemkamata kada wa Chadema, Vitus Nkuna kwa kusababisha ajali mnamo Septemba 30, 2024. Kamanda wa Polisi, SACP Allan Bukumbi, ameeleza kuwa Nkuna alikuwa anaendesha gari akiwa na kiwango kikubwa cha ulevi, hali iliyosababisha kugonga gari la kampuni ya KINGS.

Hata hivyo, kupitia ukurasa wake wa Twitter siku ya Jumatatu, Nkuna alidai kushambuliwa na watu wasiojulikana. "Nimeshambuliwa na watu wasiojulikana nikiwa barabarani hapa Iringa," aliandika.

Aliongeza kuwa baada ya kufika kituo cha polisi, viongozi wa Chadema walifika kumuunga mkono.

“Tunatoka Kituo Kikuu cha Polisi Iringa na naelekea kwangu. Kesho tutajua nani alikuwa wanataka kunikamata barabarani usiku huu kwa kunizuia mbele na nyuma. Tutaujuza umma kwa kila hatua”, alisisitiza Nkuna katika chapisho lingine.

Jeshi la Polisi limekanusha madai hayo, likieleza kuwa hakukuwa na shambulio, na tukio hilo lilitokana na ajali iliyosababishwa na Nkuna mwenyewe akiwa amelewa.
Jeshi la Polisi linafanya kazi kubwa yakuhakikisha linalinda usalama wa watu na mali zao, hali tuliyo nayo ya utulivu na Amani ni kazi kubwa inayo fanywa na POLISi ila kuna matukio kadha wa kadha yanayo ishushia POLISI heshima na kutoaminika kwa wananchi kwa sababu ya wanasiasa.

Niwaombe Jeshi la POLISI lijiingize ktk kufanya kazi kwa shinikizo za kisiasa au matakwa ya baadhi ya wanasiasa ili kurudisha heshima na Uaminifu waliujenga kwenye Taifa hili kwa Mda Mrefu.

Katiba ya nchi ndiyo inasababisha Jeshi letu la POLISI wakati mwingine kuweza kuendeshwa hata na mkuu wa wilaya au mkoa, wakati hawana weledi wowote wa ulinzi na usalama.

Tulisaidie jeshi letu lifanye kazi kwa weledi na ufanisi ili nchi yetu isiingie kwenye machafuko. Lisikubali kufanya kazi kwa mashinikizo na maagizo ya wanasiasa ila wafanye kazi kwa kuzingatia haki na utawala wa sheria.
 
Unaamini mlevi aliyesababisha ajali anaweza ku tweet usiku huo huo ?
Naam Basi N,

Naamini mlevi aliyesababisha ajali, iwe mchana au usiku anaweza kutwiti.

Nami nikuulize, Je, alkuwa amelewa au hakulewa?

Kumbuka sio ajabu kwa walevi kupigwa ama kuvamiwa na watu wasiojulikana, tena usiku. Ila kwa sababu ni kada wa CHADEMA, imekuwa nongwa??
 
Jeshi la Polisi linafanya kazi kubwa yakuhakikisha linalinda usalama wa watu na mali zao, hali tuliyo nayo ya utulivu na Amani ni kazi kubwa inayo fanywa na POLISi ila kuna matukio kadha wa kadha yanayo ishushia POLISI heshima na kutoaminika kwa wananchi kwa sababu ya wanasiasa, Niwaombe Jeshi la POLISI lisijiingize ktk kufanya kazi kwa shinikizo za kisiasa au matakwa ya baadhi ya wanasiasa ili kurudisha heshima na Uaminifu waliujenga kwenye Taifa hili kwa Mda Mrefu. Katiba ya nchi ndiyo inasababisha Jeshi letu la POLISI wakati mwingine kuweza kuendeshwa hata na mkuu wa wilaya au mkoa, wakati hawana weledi wowote wa ulinzi na usalama. Tulisaidie jeshi letu lifanye kazi kwa weledi na ufanisi ili nchi yetu isiingie kwenye machafuko. Lisikubali kufanya kazi kwa mashinikizo na maagizo ya wanasiasa ila wafanye kazi kwa kuzingatia haki na utawala wa sheria.
 
Mbona ni kawaida polisi kutumia sababu kama hizo pamoja na ugomvi wa kimapenzi wanapojaribu kufunika kombe kuwalinda wahalifu wenye mrengo wa uvccm.
 
Jeshi la Polisi linafanya kazi kubwa yakuhakikisha linalinda usalama wa watu na mali zao, hali tuliyo nayo ya utulivu na Amani ni kazi kubwa inayo fanywa na POLISi
Kweli kabisa, na wapewe maua yao.
ila kuna matukio kadha wa kadha yanayo ishushia POLISI heshima na kutoaminika kwa wananchi kwa sababu ya wanasiasa,
Na hilo ni kweli. Ila kuna kampeni ya makusudi ya kulichafua jeshi letu la polisi, kuna upotoshaji wa makusudi sio tu kutoka kwa baadhi ya Wanasiasa, bali pia magaidi ya mtandaoni.

Nimesoma sehemu, Marekani kama sikosei, wamewadaka vijana wengi kwa matukio kama mia saba! Kule Cyber Crime Laws zinafanya kazi.

Mifano ya matukio hayo ni kama Kudai kuna mabomu shuleni, ama kuna wabakaji wanaonekana mtaani, ama wameona watoto wakitekwa n.k

Yaani,wansambaza taarifa za uongo kama baadhi zinazosambazwa hapa JF na mitandao mingine ili kuleta taharuki katika Jamii.

Wengine kwa utani tu(for fun) na wengine kama hawa wanasiasa, kuishushia jeshi letu heshima. Tunajua na tunaona athari na madhara yake.
Niwaombe Jeshi la POLISI lijiingize ktk kufanya kazi kwa shinikizo za kisiasa au matakwa ya baadhi ya wanasiasa ili kurudisha heshima na Uaminifu waliujenga kwenye Taifa hili kwa Mda Mrefu. Katiba ya nchi ndiyo inasababisha Jeshi letu la POLISI wakati mwingine kuweza kuendeshwa hata na mkuu wa wilaya au mkoa, wakati hawana weledi wowote wa ulinzi na usalama. Tulisaidie jeshi letu lifanye kazi kwa weledi na ufanisi ili nchi yetu isiingie kwenye machafuko. Lisikubali kufanya kazi kwa mashinikizo na maagizo ya wanasiasa ila wafanye kazi kwa kuzingatia haki na utawala wa sheria.
☝🏿 Hakika.
 
CDM lazima muelewe sasa kwamba hampambani na CCM bali mnapambana na DOLA ya Tanzania.

Hii vita ni ngumu mno, ukiwa muoga huwezi kusogea mbele hata hatua moja.
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kendelea kutawala
 
Ndugu zangu Watanzania,

Inaonyesha CHADEMA imejaa walevi wa pombe na wanaopenda sana ulevi na unywaji wa pombe kupita kiasi.inaonyesha wao na Pombe ni damu damu.nazani pia mnakumbuka mchungaji peter Msigwa aliwahi kumtuhumu naibu katibu mkuu Benson Kigaila kuwa alinyweshwa sana Pombe siku moja Kabla ya uchaguzi wa kanda ya Nyasa na kambi ya mpinzani wake.

Pia mnakumbuka kiongozi wao pia mkubwa Alilewa sana pombe akiwa Dodoma mpaka kudondoka na kuumia Mguu wake na kusingizia alivamiwa. Watanzania tusiruhusu hawa watu wakapewa madaraka maana watauza Nchi kwa kupewa Pombe .watasaini na kusainishwa Mikataba Mikubwa wakiwa wamelewa chakali mpaka Taifa lipate aibu

Screenshot_20241002-074632_2.jpg
Screenshot_20241002-074640_1.jpg

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Inaonyesha CHADEMA imejaa walevi wa pombe na wanaopenda sana ulevi na unywaji wa pombe kupita kiasi.inaonyesha wao na Pombe ni damu damu.nazani pia mnakumbuka mchungaji peter Msigwa aliwahi kumtuhumu naibu katibu mkuu Benson Kigaila kuwa alinyweshwa sana Pombe siku moja Kabla ya uchaguzi wa kanda ya Nyasa na kambi ya mpinzani wake.

Pia mnakumbuka kiongozi wao pia mkubwa Alilewa sana pombe akiwa Dodoma mpaka kudondoka na kuumia Mguu wake na kusingizia alivamiwa. Watanzania tusiruhusu hawa watu wakapewa madaraka maana watauza Nchi kwa kupewa Pombe .watasaini Mikataba wakiwa wamelewa chakali mpaka Taifa lipate aibuView attachment 3112762View attachment 3112763

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Inahitaji akili ya maiti kuwaamini polisiccm
 
Wala usimpambe sana kwamba naye ni ulevi wa chadema, ni mtoto mpumbavu tu, anayeishi kwa utetezi kwamba chadema kila kitu chadema. Huyo alipe gari la watu. Mpuuzi kama amesababisha matatizo. Naa waache ujinga ujinga sijui katekwa mara kazingirwa ugonge gari ya watu na mipombe usizinguliwe kwasababu chadema. Mbwa huyo
 
Ndugu zangu Watanzania,

Inaonyesha CHADEMA imejaa walevi wa pombe na wanaopenda sana ulevi na unywaji wa pombe kupita kiasi.inaonyesha wao na Pombe ni damu damu.nazani pia mnakumbuka mchungaji peter Msigwa aliwahi kumtuhumu naibu katibu mkuu

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ilikuwa sahihi kuvipiga marufuku viroba!
 
Hawa watu wa chadema inavyoonekana ni mabingwa wa kubadilisha stori anaweza kukuchokoza kwa kukupiga kofi la skio we ukimpiga ngumi ya mdomo anaenda kupost ulitaka kumteka
 
Hawa watu wa chadema inavyoonekana ni mabingwa wa kubadilisha stori anaweza kukuchokoza kwa kukupiga kofi la skio we ukimpiga ngumi ya mdomo anaenda kumpost ulitaka kumteka
Hawajitambui kabisa hawa watu.analewa mipombe yake huko halafu analeta uzushi wake mitandaoni.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Inaonyesha CHADEMA imejaa walevi wa pombe na wanaopenda sana ulevi na unywaji wa pombe kupita kiasi.inaonyesha wao na Pombe ni damu damu.nazani pia mnakumbuka mchungaji peter Msigwa aliwahi kumtuhumu naibu katibu mkuu Benson Kigaila kuwa alinyweshwa sana Pombe siku moja Kabla ya uchaguzi wa kanda ya Nyasa na kambi ya mpinzani wake.

Pia mnakumbuka kiongozi wao pia mkubwa Alilewa sana pombe akiwa Dodoma mpaka kudondoka na kuumia Mguu wake na kusingizia alivamiwa. Watanzania tusiruhusu hawa watu wakapewa madaraka maana watauza Nchi kwa kupewa Pombe .watasaini Mikataba wakiwa wamelewa chakali mpaka Taifa lipate aibuView attachment 3112762View attachment 3112763

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Viongozi wengi waandamizi chadema ngazi mbalimbali wakistaafu watakumbukwa zaidi kwa ulevi,

na nadhani tunu hiyo isiyo njema ndio hasa wanawarithisha vijana wao tunu hiyo isiyo njema kwa Taifa leo. Na ndiyo maana vijana wao ni legelege kweli..

Na kuna yule kijana wa kule mbeya yeye nadhani anapendelea zaidi ulevi wa kuvuta kuvuta🐒
 
Back
Top Bottom