antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninyi ndio hamna akili na ulevi wenu wa Pombe mpaka mnasababisha ajali na kugonga magari ya watu.acheni ulevi.tena mshukuru viroba vilipigwa marufuku maana mpaka sasa mmekuwa mmeangamia wote kwa ulevi wenu wa kijingaHuna akili unawaamini hao majambazi wanaova uniform
Ndio maana midomo yao ni michafu sana iliyojaa matusi .maana inaonyesha muda wote akili zao zinakuwa zimevurugika kabisa kama huyu mlevi Vitusi Nkuna aliyegonga gari la watu kwa ulevi wake.halafu anasingizia kutaka kutekwa na watu wasiojulikanaViongozi wengi waandamizi chadema ngazi mbalimbali wakistaafu watakumbukwa zaidi kwa ulevi,
na nadhani tunu hiyo isiyo njema ndio hasa wanawarithisha vijana wao tunu hiyo isiyo njema kwa Taifa leo. Na ndiyo maana vijana wao ni legelege kweli..
Na kuna yule kijana wa kule mbeya yeye nadhani anapendelea zaidi ulevi wa kuvuta kuvuta🐒
Bwege wewe unatoa povu mishipa inakusimama ili wakuone upate uteuzi lakini wanakukaushia wala hustuki kwa vile huna akili bwege wewe.Ninyi ndio hamna akili na ulevi wenu wa Pombe mpaka mnasababisha ajali na kugonga magari ya watu.acheni ulevi.tena mshukuru viroba vilipigwa marufuku maana mpaka sasa mmekuwa mmeangamia wote kwa ulevi wenu wa kijinga
Acheni ulevi walevi wakubwa Ninyi msio na haya wala aibu. Mnalewa mpaka akili zinawatoka kichwani.mtakufa kwa ulevi mwaka huu.ndio maana hata wewe kichwa chako cha hovyo sana na unayeshinda unatukana Mimatusi hovyo hovyo kama kichaa au mwendawazimuBwege wewe unatoa povu mishipa inakusimama ili wakuone upate uteuzi lakini wanakukaushia wala hustuki kwa vile huna akili bwege wewe.
MjasiliamariNdugu zangu Watanzania,
Inaonyesha CHADEMA imejaa walevi wa pombe na wanaopenda sana ulevi na unywaji wa pombe kupita kiasi.inaonyesha wao na Pombe ni damu damu.nazani pia mnakumbuka mchungaji peter Msigwa aliwahi kumtuhumu naibu katibu mkuu Benson Kigaila kuwa alinyweshwa sana Pombe siku moja Kabla ya uchaguzi wa kanda ya Nyasa na kambi ya mpinzani wake.
Pia mnakumbuka kiongozi wao pia mkubwa Alilewa sana pombe akiwa Dodoma mpaka kudondoka na kuumia Mguu wake na kusingizia alivamiwa. Watanzania tusiruhusu hawa watu wakapewa madaraka maana watauza Nchi kwa kupewa Pombe .watasaini na kusainishwa Mikataba Mikubwa wakiwa wamelewa chakali mpaka Taifa lipate aibuView attachment 3112762View attachment 3112763
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huyo ni mjasiriapombe.Mjasiliamari
Mchaga halafu🤣 na ni Godliving vilevileHuyo ni mjasiriapombe.
Aisee, inasikitisha sanaWanapenda sana ulevi Ma CHADEMA
Pombe zitawamaliza hawa watu.Aisee, inasikitisha sana![]()
alipimwa akakutwa yupo chakari huyu Nkuna sio wa kumtetea si ndo yy alieiba uchaguz alafu kamat kuu ikatengua ushindi wakeWataweza kuthibitisha kama alikuwa amelewa?
Acheni ulevi wenu wa kijinga jinga hapa.Mtakufa kabla ya wakati wenu. Inakuwaje mnakunywa pombe mpaka akili zinawatoka? Shukuruni sana kupigwa marufuku viroba maana mngekuwa mmeisha na kuteketea wote kwa ulevi.Polisi wajinga sana.akikosea mtu wa chadema ndiyo wanajifanya kufanya kazi lakini akikosea wa ccm kama ilivyo chura kuwateka wtz wanajifanya kukaa kimya
Na mpaka leo tunasubiri ushahidi tulioambiwa kuwa upo wa kuwa alikuwa amelewa.Mbowe alianguka kwenye ngazi akiwa ameyatutika akasingizia kuwa wasiojulikana walikuwa wanataka kumfanyizia. Bahati nzuri waliokuwepo wakatibua dili la kuudanganya umma kwa kusema ukweli kwamba jamaa nyagi lilizidi.
Unafikiri huyo jamaa akiamka atamwambia nini Mkewe ama Mwajiri wake?Pombe zitawamaliza hawa watu.
Huyu jamaa janja janja sana.analewa na kugonga magari ya watu na kuanza kusema alitaka kutekwa.kwenye uchaguzi wenyewe alileta janja janja zake za kilevi.Huyu Nkuna ana matatizo japo simjui sana kwasababu hata uchaguz aliiba lkn kamat kuu ikatengua ushindi wake. Taswira ya Chama inaharibia na washenz kama Nkuna alafu hii public sympathy ya watu wa CDM itawafanya wafiche maovu yao mengi.
CHADEMA wajitathimini sana juu ya mwenendo wao kitabia.maana wanatabia na maadili mabaya sana.Unafikiri huyo jamaa akiamka atamwambia nini Mkewe ama Mwajiri wake?
Ametekwa?
Amekutana na watu wasiojulikana?
Hivi Walevi huwa wanawajua watu wote vilabuni?
Mbali na mienendo na maadili.CHADEMA wajitathimini sana juu ya mwenendo wao kitabia.maana wanatabia na maadili mabaya sana.