pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Chama cha walevi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haujaona taarifa ya polisi? Yaan usababishe ajali ety tusubiri ukapimwe mahakamani si pombe itakua imekuisha yaan wanapimwa madereva kila sku alafu ww unasema msubir mahakamani, sheria ya wapi hio? Hizo hoja zako zote zinajibiwa kwa kuleta ushahid wa kipimo na ni kwel jamaa alilewa na ni mhuni huyo Nkuna.Una ushahidi alipimwa na nani na hicho kipimo kimethibitishwa na nani? ubora na usalama wake ukoje? kina hifadhiwa na nani? kibali cha kupima kilitolewa na mahakama ipi?
Sisi tumeshawzoea- Mbowe alianguka kwenye gazi kwa ulevi na uzinzi akasema ameshambuliwa na watu wasiojulikana; Huyu naye yale yale- CHADEMA NI CHMA CHA WAZUSHI KAMA HAMASAkila mvua wewe na mumeo mtapata hasara gani?
CHADEMA = NA HAMASHaujaona taarifa ya polisi? Yaan usababishe ajali ety tusubiri ukapimwe mahakamani si pombe itakua imekuisha yaan wanapimwa madereva kila sku alafu ww unasema msubir mahakamani, sheria ya wapi hio? Hizo hoja zako zote zinajibiwa kwa kuleta ushahid wa kipimo na ni kwel jamaa alilewa na ni mhuni huyo Nkuna.
NB, Hatuwez kutengeneza nchi kwa mtu wa itikad fulani kua hakosei au akiguswa ni polisi tu kweny nyeupe tuseme na nyeus tuseme. Usiwe mpumbavu na kujifunga na Uchadema. Kua mtu huru kiongoz itakusaidia.
WAHUNI NI WENGI SANA NDAN YA CDM KAMA CCM TU TENA CDM WAMEZIDI.
Nadhani baada ya kujifungua akili ako itakaa sawa kwa sasa acha nikusameheSisi tumeshawzoea- Mbowe alianguka kwenye gazi kwa ulevi na uzinzi akasema ameshambuliwa na watu wasiojulikana; Huyu naye yale yale- CHADEMA NI CHMA CHA WAZUSHI KAMA HAMAS
Sisi tulimshauri aende mahakamani akawafungulie kesi waliosema alikuwa amelewa ili wakatoe ushahidi wao huko, jamaa akachicken akaona akubali tu yaishe!Na mpaka leo tunasubiri ushahidi tulioambiwa kuwa upo wa kuwa alikuwa amelewa.
Amandla...
Hilo nalo ni tatizo lake. Anataka mno kuonekana Statesman.Sisi tulimshauri aende mahakamani akawafungulie kesi waliosema alikuwa amelewa ili wakatoe ushahidi wao huko, jamaa akachicken akaona akubali tu yaishe!