Iringa: Polisi yakana madai ya kada wa CHADEMA, Vitus Nkuna kushambuliwa na wasiojulikana barabarani, yasema alisababisha ajali kutokana na ulevi

Huna akili unawaamini hao majambazi wanaova uniform
Ninyi ndio hamna akili na ulevi wenu wa Pombe mpaka mnasababisha ajali na kugonga magari ya watu.acheni ulevi.tena mshukuru viroba vilipigwa marufuku maana mpaka sasa mmekuwa mmeangamia wote kwa ulevi wenu wa kijinga
 
Ndio maana midomo yao ni michafu sana iliyojaa matusi .maana inaonyesha muda wote akili zao zinakuwa zimevurugika kabisa kama huyu mlevi Vitusi Nkuna aliyegonga gari la watu kwa ulevi wake.halafu anasingizia kutaka kutekwa na watu wasiojulikana
 
Ninyi ndio hamna akili na ulevi wenu wa Pombe mpaka mnasababisha ajali na kugonga magari ya watu.acheni ulevi.tena mshukuru viroba vilipigwa marufuku maana mpaka sasa mmekuwa mmeangamia wote kwa ulevi wenu wa kijinga
Bwege wewe unatoa povu mishipa inakusimama ili wakuone upate uteuzi lakini wanakukaushia wala hustuki kwa vile huna akili bwege wewe.
 
Bwege wewe unatoa povu mishipa inakusimama ili wakuone upate uteuzi lakini wanakukaushia wala hustuki kwa vile huna akili bwege wewe.
Acheni ulevi walevi wakubwa Ninyi msio na haya wala aibu. Mnalewa mpaka akili zinawatoka kichwani.mtakufa kwa ulevi mwaka huu.ndio maana hata wewe kichwa chako cha hovyo sana na unayeshinda unatukana Mimatusi hovyo hovyo kama kichaa au mwendawazimu
 
Mjasiliamari
 
Huyu Nkuna ana matatizo japo simjui sana kwasababu hata uchaguz aliiba lkn kamat kuu ikatengua ushindi wake. Taswira ya Chama inaharibia na washenz kama Nkuna alafu hii public sympathy ya watu wa CDM itawafanya wafiche maovu yao mengi.
 
Polisi wajinga sana.akikosea mtu wa chadema ndiyo wanajifanya kufanya kazi lakini akikosea wa ccm kama ilivyo chura kuwateka wtz wanajifanya kukaa kimya
 
Polisi wajinga sana.akikosea mtu wa chadema ndiyo wanajifanya kufanya kazi lakini akikosea wa ccm kama ilivyo chura kuwateka wtz wanajifanya kukaa kimya
Acheni ulevi wenu wa kijinga jinga hapa.Mtakufa kabla ya wakati wenu. Inakuwaje mnakunywa pombe mpaka akili zinawatoka? Shukuruni sana kupigwa marufuku viroba maana mngekuwa mmeisha na kuteketea wote kwa ulevi.
 
Mbowe alianguka kwenye ngazi akiwa ameyatutika akasingizia kuwa wasiojulikana walikuwa wanataka kumfanyizia. Bahati nzuri waliokuwepo wakatibua dili la kuudanganya umma kwa kusema ukweli kwamba jamaa nyagi lilizidi.
Na mpaka leo tunasubiri ushahidi tulioambiwa kuwa upo wa kuwa alikuwa amelewa.

Amandla...
 
Huyu Nkuna ana matatizo japo simjui sana kwasababu hata uchaguz aliiba lkn kamat kuu ikatengua ushindi wake. Taswira ya Chama inaharibia na washenz kama Nkuna alafu hii public sympathy ya watu wa CDM itawafanya wafiche maovu yao mengi.
Huyu jamaa janja janja sana.analewa na kugonga magari ya watu na kuanza kusema alitaka kutekwa.kwenye uchaguzi wenyewe alileta janja janja zake za kilevi.
 
Unafikiri huyo jamaa akiamka atamwambia nini Mkewe ama Mwajiri wake?

Ametekwa?
Amekutana na watu wasiojulikana?

Hivi Walevi huwa wanawajua watu wote vilabuni?
CHADEMA wajitathimini sana juu ya mwenendo wao kitabia.maana wanatabia na maadili mabaya sana.
 
CHADEMA wajitathimini sana juu ya mwenendo wao kitabia.maana wanatabia na maadili mabaya sana.
Mbali na mienendo na maadili.

Huyu mtu kalewa kagonga gari, anatakanl kusema anajua kila mtu anayeendesha gari?

Ati watu wasiojulikana walimtwanga.

Anajua Road rage?

Yaani unigongee gari langu na ulevi wako halaf? na akaenda polisi baada ya hapo.

Hawa kila kitu wanataka kusema ni kwa sababu za siasa. Ati ni kada wa CHADEMA, so what? Mlevi ni Mlevi tu, haijalishi ametokea chama gani.

Anyways, najua kuna kampeni(ona nyuzi hapa JF) kabambe zinazowaandama polisi.

Wakome huo upumbavu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…