Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Wakiua raia lazima watu watalalamika ulimsikia nani wanalalamika baada ya Mazayuni kumuua Nasrallah HassanWatu wasiyopenda amani wanapenda sasa kuleta uchochezi...
IDF ikiendelea kuwepo Lebanon kunakuwa na nongwa " oooo IDF inaua watoto na wamama" wakitaka kuondoka " IDF kakimbia uwanja wa vita"
Upuuzi huu, upuuzi hu...
Inaonesha uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana bwana mdogo....Sasa UN kutokusikilizwa ndo unaona ujanja mkuu....vita inapiganwa kwa namna nyingi sana....zile resolutions zinazopitishwa kule UN ni akiba itakayokuja kuwaumiza hao taifa la Mungu mbeleni.....ukiwa na vitaifa vichache vya Ulaya pamoja na mkubwa mmoja wanakukingia kifua tena ni serikali zao sio wananchi wao in a long run itakula kwako tu....uchumi wako vita ikishaisha utashirikiana na hzo nchi chache zinazokuunga mkono....ukienda kwingine duniani watu watakukataa.....halafu duniani huko maisha ya raia wako yatakuwa matatani maana watu washawaju nyny ni nuksi....interms of propaganda mmeshashindwa maana hata hzo main stream media watu washazishtukia zinawalisha uongo.....in short image ya Hilo taifa imeshachafuka sana.....na bdo kwny battle ground mtaendelea kugongwa na kurudishwa kwny masanduku mpk akili ziwakae sawa....Huo ni mtazamo wako tu na katika hali ya kujipa moyo.
Hapo Middle East Muyahudi hamumuwezi anatembeza kichapo anavotaka na anavopenda. Hata UN mwenyewe hasikilizwi
Unatumia mihemko husomi kwa uelewa.Nyingine hiyo hapo kama lugha haipandi sema usaidiwe.View attachment 3149047
Hapo Gaza hawapo Kwa ground,nani kakwambia hawapo ground sema vita ngumu wanapigana na watu wanaotumia watu kama ngao (human shield)Zayuni muoga zaidi na ndio maana anaripua akiwa juu juu tena anaua watoto kina mama na wazee kama anaweza atie boot kwa ground
Kufa vitani kawaida hata wasomali wali wahi ua askari wa marekani, naona udini umekulemaza nduguHuna unalojua wewe.
Angekua hizbollah hana nguvu asingeua askari wengi wa Israel.
Punguza kuropoka.
Unaelewa maana kua kwa ground kijana wanatumia ndege za kazi gani hili la human shield mmelikazania kweli kweli ila halina ukweli wowote inamaana mabomu yakipigwa yanachugua kuua raia ila yanawaacha hamas wanaendelea kuwafyeka wazayuni kuna watu akili zenu zinatutia mashaka kwakweliHapo Gaza hawapo Kwa ground,nani kakwambia hawapo ground sema vita ngumu wanapigana na watu wanaotumia watu kama ngao (human shield)
Wazayuni wa jf akili kubwa kama hizi hawana wazayuni kwasasa kila mahala wanachukiwa na wanaishi kwamashaka sana walishauriwa wasiende ufaransa kwenye team yao ya taifa inacheza lini sijui huko Paris ila sirikali ya ufaransa imeamua kutumia pesa za walipa kodi kuwalinda hao wazayuni watadeploy polisi mpaka 40k kuwalinda wazayuni maisha gani haya ila wasichokijua ni kwamba wazayuni watagongwa tu spana hio day hata kama haitakua kama Ile ya Amsterdam ila lazima watagongwa tu dunia nzima inatakiwa iamke kuwagonga spana hawa wazayuni popote pale watakapo one kana wauaji wakubwa hawaInaonesha uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana bwana mdogo....Sasa UN kutokusikilizwa ndo unaona ujanja mkuu....vita inapiganwa kwa namna nyingi sana....zile resolutions zinazopitishwa kule UN ni akiba itakayokuja kuwaumiza hao taifa la Mungu mbeleni.....ukiwa na vitaifa vichache vya Ulaya pamoja na mkubwa mmoja wanakukingia kifua tena ni serikali zao sio wananchi wao in a long run itakula kwako tu....uchumi wako vita ikishaisha utashirikiana na hzo nchi chache zinazokuunga mkono....ukienda kwingine duniani watu watakukataa.....halafu duniani huko maisha ya raia wako yatakuwa matatani maana watu washawaju nyny ni nuksi....interms of propaganda mmeshashindwa maana hata hzo main stream media watu washazishtukia zinawalisha uongo.....in short image ya Hilo taifa imeshachafuka sana.....na bdo kwny battle ground mtaendelea kugongwa na kurudishwa kwny masanduku mpk akili ziwakae sawa....
Naelewa na Israeli na vifaru vyao wapo nyumba kwa nyumba hapo Gaza labda kama umeamua kufumba macho usione, na wanatumia ngao ya watu ndo maana hata kiongozi wa hamasi aliuwawa akiwa ameketi kwenye nyumba ya watuUnaelewa maana kua kwa ground kijana wanatumia ndege za kazi gani hili la human shield mmelikazania kweli kweli ila halina ukweli wowote inamaana mabomu yakipigwa yanachugua kuua raia ila yanawaacha hamas wanaendelea kuwafyeka wazayuni kuna watu akili zenu zinatutia mashaka kwakweli
Sasa kama kufa vitani kawaida kwanini unamuua adui alokuulia mwenzako hakuna ukawaida wa kufia vitani ila kufa vitani ni matokeo ya vitaKufa vitani kawaida hata wasomali wali wahi ua askari wa marekani, naona udini umekulemaza ndugu
Sasa kama kufa vitani kawaida kwanini unamuua adui alokuulia mwenzako hakuna ukawaida wa kufia vitani ila kufa vitani ni matokeo ya
Sasa mbona hao watu wengine hawakufa nae kafa mwenyewe nimekuuliza swali umeshindwa kujibu mabomu hua yanachugua kuua raia na kuacha hamas hivyo vifaru na boldozer kila leo yanaripuliwa huko Ghaza tunayaona na ndio matokeo ya vita ila hamas kujificha kwa raia danganyaneni wenyeweNaelewa na Israeli na vifaru vyao wapo nyumba kwa nyumba hapo Gaza labda kama umeamua kufumba macho usione, na wanatumia ngao ya watu ndo maana hata kiongozi wa hamasi aliuwawa akiwa ameketi kwenye nyumba ya watu
Angalia ulivyo kilaza muislam akifa anapambania haki yake ana malipo makubwa unaona choyo tukipata mabikraAskari shujaa haogopi kifo sema nyie Imani yenu ya uongo maana mnaogopa kwenda kuchukuwa bikira zenu
Hamasi wanamiliki eneo Gani pale Gaza hebu tajaSasa mbona hao watu wengine hawakufa nae kafa mwenyewe nimekuuliza swali umeshindwa kujibu mabomu hua yanachugua kuua raia na kuacha hamas hivyo vifaru na boldozer kila leo yanaripuliwa huko Ghaza tunayaona na ndio matokeo ya vita ila hamas kujificha kwa raia danganyaneni wenyewe
Israhell wanamiliki eneo gani pale Ghaza ungeanza kutaja wewe kwanzaHamasi wanamiliki eneo Gani pale Gaza hebu taja
Ngono ndo agenda kuu mlionayo mnajilipua na mabomu Kila siku na kutuua binadamu wenzenu tunaacha familia zetu kisa uroho wenu kupenda k*ma za pepo yenu ya ngonoAngalia ulivyo kilaza muislam akifa anapambania haki yake ana malipo makubwa unaona choyo tukipata mabikra
Kuna Kijiji chochote hakitawaliwi na Israeli pale Gaza? Israeli ndo wanaamua nani wakuishi Gaza na nani hapaswi kuishi na hata misaada wanaruhusu wao hata Amerika wanaomba ruhusa ya Yahudi ndo wawape mikate wapalestinaIsrahell wanamiliki eneo gani pale Ghaza ungeanza kutaja wewe kwanza