Hao hamas chokoraa TU kazi kujificha Kwa raia acha waeendelee kisababisha ndugu zao wauwawe mpaka waishe wawaachie Yahudi ardhi alikili hamna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao hamas chokoraa TU kazi kujificha Kwa raia acha waeendelee kisababisha ndugu zao wauwawe mpaka waishe wawaachie Yahudi ardhi alikili hamna
Ni kweli wahuni wanajificha nyuma ya raia kama Wana nguvu wange Kaa peke Yao kama Ukraine wanavo Fanya sio kujificha kwa akina mamaHawana lolote ila mwaka naa sasa wazayuni wanaruka ruka tu wahuni bado wapiga ndani ya israhell
Kwamba makombora yakipigwa yanachugua tu kuua wamama wazee na watoto ila hayawauwi wanajificha nyuma yao sioNi kweli wahuni wanajificha nyuma ya raia kama Wana nguvu wange Kaa peke Yao kama Ukraine wanavo Fanya sio kujificha kwa akina mama
Yanaua wote si unaona akina sinwar hawapoKwamba makombora yakipigwa yanachugua tu kuua wamama wazee na watoto ila hayawauwi wanajificha nyuma yao sio
Baada ya kutokuwepo ndio mmekomboa mateka au mmeifuta hamas licha ya kwamba Yahya aliuawa akiwa mwenyewe kuonesha ushahidi kwamba hakua nyuma ya kina mama na watoto kama mnavyo danganywa na kudanganya na kudanganyikaYanaua wote si unaona akina sinwar hawapo
Pigen wee ila sisi tunakuja tuu, nani anaikumbuka ile Barca ya zamani hata kama wako 9 uwanjani wao wanakuja tuu, hizbollah ndimo kuwafikisha hapo anachoma bases,baracks,HQ,tanks, military schools ,vituo vya mafuta vya IDF yaaan ilimradi zayuni akose raha ni mchakamchaka wa kujitakia kumshinda muislam tena wa kiarabu sio silaha wajifunze kwa waYemen
Hv kwani israhell hawana air defense maana hizbollah wanapigana popote wanapo jisikiaPigen wee ila sisi tunakuja tuu, nani anaikumbuka ile Barca ya zamani hata kama wako 9 uwanjani wao wanakuja tuu, hizbollah ndimo kuwafikisha hapo anachoma bases,baracks,HQ,tanks, military schools ,vituo vya mafuta vya IDF yaaan ilimradi zayuni akose raha ni mchakamchaka wa kujitakia kumshinda muislam tena wa kiarabu sio silaha wajifunze kwa waYemen
Hakuwa msituni Wala jangwani alikuwa ndani ya nyumba za raia zinazokaliwa na akina mamaBaada ya kutokuwepo ndio mmekomboa mateka au mmeifuta hamas licha ya kwamba Yahya aliuawa akiwa mwenyewe kuonesha ushahidi kwamba hakua nyuma ya kina mama na watoto kama mnavyo danganywa na kudanganya na kudanganyika
Sasa alikua na kina mama mbona alikufa pekeake mateka magaidi wale hawata achwa na Ghaza wataikimbia tuuuuHakuwa msituni Wala jangwani alikuwa ndani ya nyumba za raia zinazokaliwa na akina mama
Hao mateka wanatumika kama chambo wakiendelea kushikiliwa ndo waparestina zaidi wataendelea kutembelewa na Israeli mtoa roho
Baada ya kubonda wazayuni wamerudi kule walipo ambiwa hawata rudi kama bado basi bado hayo mashambulizi hayajawa nanatija yeyote ileHao wavaa Madera wanacho post humu ni targeted, targeted, targeted!
Tunavyoongea hivi Sasa Mji wa Dahyei ambao ni ngome ya Hasbollah umefyekwa, ndani ya saa 24 air strike zaidi 145 zinabonda tu
Source Al Jazeera
View attachment 3154391
Walikufa wengi TU pale sema eye ndo alipewa uzito fuatilia maelezo ya makamanda walioifanya hiyo oparesheniSasa alikua na kina mama mbona alikufa pekeake mateka magaidi wale hawata achwa na Ghaza wataikimbia tuuuu
Nisikilize maelezo na kuangalia video ipi itanipatia majibu sahihi wazayuni washafeli wao wanaua raia wenzao wanawafyeka wao pia hamas hajawahi kusimama na kuomba msaada wa mtu sio kama mzayuni wa chumba zake wakitishia kufunga koki anaanza kubweka bweka hamas wanataka nakuomba msaada wa Allah pekee na dua za waislam na wapenda haqqi duniani koteWalikufa wengi TU pale sema eye ndo alipewa uzito fuatilia maelezo ya makamanda walioifanya hiyo oparesheni
Sasa unaona Hamasi Wana akili wanashikilia mateka miambili huku wao na raia wao wanakufa mamia Kila siku na hakuna wa kuwasaidia?
Sawa naona isiwe shida basi endelea kuamini hamasi na Hezbollah ni majeshi yenye nguvu sana kushinda Israel na Israel haiwawezi huenda itakusaidia 🤣🤣Nisikilize maelezo na kuangalia video ipi itanipatia majibu sahihi wazayuni washafeli wao wanaua raia wenzao wanawafyeka wao pia hamas hajawahi kusimama na kuomba msaada wa mtu sio kama mzayuni wa chumba zake wakitishia kufunga koki anaanza kubweka bweka hamas wanataka nakuomba msaada wa Allah pekee na dua za waislam na wapenda haqqi duniani kote
Niamini nini mie naamini ninacho kiona kijanaSawa naona isiwe shida basi endelea kuamini hamasi na Hezbollah ni majeshi yenye nguvu sana kushinda Israel na Israel haiwawezi huenda itakusaidia 🤣🤣
Sawa Kila la kheri msalimie na alah wako huko aliko ila mwambie myahudi anawamaliza wauminiNiamini nini mie naamini ninacho kiona kijana
Endelea kujiliwaza hv unajua kwanini Israeli anabonda Iraq anabonda Syria anabonda Gaza anabonda Yemen anabonda Lebanoni wapo kimywa Irani anaogapo hata kuinua helicopter kupiga Israeli???Niamini nini mie naamini ninacho kiona kijana