Tuishie kusema hivi katika dunia hii ya utandawazi usijaribu kudanganya utaumbuka vibaya sanaNimeshangaa sana hawa Waisrael ambao hatuishi kuwasema kwa ubaya wamekuwa mstari wa mbele kwenda kuokoa Waarabu wa Uturuki. Pamoja na Ukafir wao.
But nashangaa Iran huyu ambaye nampenda sababu anajaribu sana kumsaidia Mrusi kwenye vita dhidi ya Ukraine. Amenyamaa tu. Saud Arabia, Iraq,Pakistan et al. Mnajisahau wapi ndugu zanguni?
Baniani mbaya kiatu chake dawa.
View attachment 2511836View attachment 2511837
Kwani wewe hujui hawa Waisrael waliopandikizwa na Ulaya na Amerika katika mashariki ya kati asili yao ni Turkey? Wameenda kusaidia ndugu zao. Waturuki sio Waarabu kama watu wengi wafikiriavyo angalia hata muonekano wao 😂Nimeshangaa sana hawa Waisrael ambao hatuishi kuwasema kwa ubaya wamekuwa mstari wa mbele kwenda kuokoa Waarabu wa Uturuki. Pamoja na Ukafir wao.
But nashangaa Iran huyu ambaye nampenda sababu anajaribu sana kumsaidia Mrusi kwenye vita dhidi ya Ukraine. Amenyamaa tu. Saud Arabia, Iraq,Pakistan et al. Mnajisahau wapi ndugu zanguni?
Baniani mbaya kiatu chake dawa.
View attachment 2511836View attachment 2511837
Ww ni mpuuzi.Mimi nipo Urusi, sijaona initiatives zozote za kupeleka msaada Turkey.
Nyinyi wenye dini inayo wapa akili mpaka sasa mmesha peleka msaada gani?WAARABU kinacho wa brain wash ni hayo mafunzo ya Muddy ila ni watu wazuri tu bila ile imani
Vituo vya yatima na kwa mwamposaNyinyi wenye dini inayo wapa akili mpaka sasa mmesha peleka msaada gani?
Sasa mbona hata hao Waarabu wana vituo vya mayatima kibao?Vituo vya yatima na kwa mwamposa
Mpuuzi mwenyewe, kenge wewe.Ww ni mpuuzi.
Umemuumbua kweli kweli, jana niliangalia taarifa kupitia Star TV na BBC dira ya dunia; walionyesha misaada ya Iraq na nchi fulani nimeisahau...View attachment 2511846
Mkuu una jambo lingine? Tena hili ni gazeti la Israel hiyo ni picha za ndege ya israel na Iran zikiwa zimetua sehemu moja zikileta misaada wakiwemo waokoaji. Nchi nyingi zimetuma misaada na waokoaji pia so ni kuamua wataka wewe kusoma na kusambaza taarifa gani
Mbona majini yamekupanda unaandika umetokwa na mapovu? Usiwe unapaniki kwa vitu vidogo binadamu hatukuumbwa hivyo. Usiache mapepo yakupande uwe unatokwa tu povu kila wakati....😂😂🤣🤣🤣Mbweha we! Unaandika andika bila ushahidi bwege we! Hawa ni nani? Bibi zako?
View attachment 2511849
Source? Kijiwe cha bao?Tofauti ni kwamba waarabu hawajitangazi, Ka nchi kadogo tu kama kuwait ambako ni size ya Wilaya ya Tanzania ila kanasaidia Africa kwa Matrilioni, tunauana huku Ma alibino misaada inatoka Kuwait, wametujengenea barabara kibao, Hospitali etc.
Hii link Nchi nyingi za Kiarabu zimepeleka misaada
Gulf countries rush earthquake aid to Turkey, Syria
Countries in the Gulf have announced aid for Turkey and Syria after Monday's devastating earthquakes.www.al-monitor.com
Wananchi tu Wa Saudia wamejichanga wenyewe zaidi ya Bilioni 10 wamepeleka hela zao mfukoni bado Serikali yao ambayo imepeleka kikosi cha Uokozi.
Wsj Hio nayo ni kijiwe?Source? Kijiwe cha bao?
Cc ElungataWameamua kurudi nyumbani kusaidia ....Safi Sana.
#Ashkenazi
Ila kuna parts za iran na turkey kuna waarabu wengi hasa turkey Syria na Iran Iraq pia Eastern Saudi Arabia na Iran pia Bahrain.IRAN na TURKEY sio waarabu
Jengine taifa la ISRAEL linatakiwa lifutwe kabisa kwenye uso wa DUNIA kwamaendeleo na maslahi mapana ya DUNIA
Uwepo wa ISRAEL ni hatari kwa DUNIA kama KANSA kwenye mwili wa mwanaadamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwafrika ni mtu wa ajabu sana. Sasa hapo ukiulizwa sababu kuu ya kukufanya uwachukie Israelites ni nini, utakuta huna sababu za msingi zaidi ya mafundisho ya kijinga ya hizi dini zenu za kijinga kijinga za kukaririshwa na waarabu au wazungu.Kwa hiyo wakipeleka waje wakutangazie ?
Kwanza kabla ya kuhoji misaada ya Waarabu kwanini usihoji waafrika wenzako wamepeleka msaada gani mpaka sasa,au nyinyi waafrika ndo mna haki ya kusaidiwa ila nyinyi hamtakiwi kusaidia wengine?
Hata hivyo ukiangalia kwenye orodha ya nchi zilizo toa masaada Israel imetoa msaada mdogo sana ukilinganisha na wengine, nchi ambazo zimetoa misaada mkubwa mpaka sasa ni Urusi, Ujerumani, na Iran.
Iran unayo isema mpaka sasa imesha peleka kikosi cha uokozi cha wamajeshi miatano nchini Syria na Uturuki, imesha peleka shehena nne za madawa na buranket kwa ajili ya kujikinga na baridi.
Unajua Bwashee Una Madharau Sana Na TurkeyWaarabu hawana teknolojia
We mjinga jua kwamba Israel ni taifa teule la Mungu bila kupepesa macho.Upumbavu mtupu! Mungu bibi yako?]
Wametoa misaada mingi tu kama pesa, madawa, mahema, vyakula, huduma za dharura za kimatibabu na nyinginezo nyingi.Wana nini sasa?
Je wewe kwa Mawazo yako ni Taifa ni lipi?Teule kivip