Ashampoo burning
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 593
- 2,219
Ile habari ya kifo cha boss wa hezbolla ni habari mbaya na ya kusikitisha sana ila lazima ifike kipindi waarabu wajue ukweli sasa.
Ni muda sasa wa kuacha kupeleka watoto wa madrassa wajipange kwenye sayansi zaidi maana mbinu zinatumika na israel ni za kisayansi zaidi kutoa kipigo kikali.
Mfano iron dome mfumo ule wa kutungua makombora yasitue kwenye ardhi ya israel ..sio imani ile ni sayansi ya hali juu walitengeneza ule mfumo mwaka 2011.
Haya mfumo wa kutambua wapi hezbola wameweka mi makombora yao wanatumia sayansi kubwa sana hata kombora liwe chumbani wanatumia A.I kutambua kombora umeweka wapi.
Sasa ndugu zetu Waislamu ukiwauliza mambo ya maana utasikia hakuna sayansi yote imeandikwa kwenye quran unawaambia tuonesha wanaanza mohamed aliposema hivi alikuwa ana maanisha hivi ndo sayansi hiyo inshort waarabu uislamu huwa una let down unasababisha lile eneo kuto badilika ki fikra kwa muda wa miaka 1400 bado wanaishi kwa mawazo ya mtu alikufa mwaka 600 na mtume aliset mambo kwenye quran hata vitu vibadilike kuanzia kuvaa kula kufanya sayansi kitamaduni mfano hatak music .... hatak wanawake washirik shughuli mbalimbali hivyo kufanya waislam wengi kuwa na mawazo ya miaka 1400 nyuma wanaishi kwa mawazo ya mtu wa mwaka 600.
Ifike kipindi wajue dunia elimu dunia ni muhimu sana kuliko elimu akhera sasa kichapo kinachoendelea kule ni kukosa elimu stahiki tu la hivyo. Elimu stahiki ni pamoja na kujua muda gani unatakiwa kuattack..mfano kuna kitabu kinaitwa art of war kinatoa ushauri muda gani sahihi wa kupigana na muda gani sahihi kuacha kiliandikwa na sun tzu mchina miaka mingi hiki huwa kinatumika sana wakati wa vita mbali mbali.
Nawashauri kwa miaka 30 wenge fanya juhudi za ku invest zaidi kwenye sayansi pia waachane na mambo ya quran kwanza wajijenge kisayansi na kielimu zaidi pia watafute washiriki wasio waislam ....maana wakiwa waislmu watajazana ujinga tu.
Iran mfano ni nchi yenye watu wenye akili sana dunia na wale sio waarabu lla waliharibikiwa mwaka 1972 baad kuifanya ile nchi ya Kiislamu na kutoa yule mfalme wao ila wale wa persia ni hatari ila uislam una walet down miaka yote sababu uislam una emphasis kwenye elimu akhera zaidi kuliko elimu dunia ndo maana unaona iran toka uislam uingiee toka enzi za persia wameyumba kiakili.
Inshort mimi siwapendi waisrael wanachofanya pale, ila pia nachukia wapalenstine kupigwa sababu tu ujinga na mipango mibovu.
Palestine na waarabu siku wakija kujua kuwa uislam unalet down na kua sayansi na mipango isiyo ya kiimani ni muhimu watafika mbali na kumtoa muisrael pale, ila wakiendele na kila japo sijui allah akbar kujitoa muhanga ni kupoteza muda.
Ni muda sasa wa kuacha kupeleka watoto wa madrassa wajipange kwenye sayansi zaidi maana mbinu zinatumika na israel ni za kisayansi zaidi kutoa kipigo kikali.
Mfano iron dome mfumo ule wa kutungua makombora yasitue kwenye ardhi ya israel ..sio imani ile ni sayansi ya hali juu walitengeneza ule mfumo mwaka 2011.
Haya mfumo wa kutambua wapi hezbola wameweka mi makombora yao wanatumia sayansi kubwa sana hata kombora liwe chumbani wanatumia A.I kutambua kombora umeweka wapi.
Sasa ndugu zetu Waislamu ukiwauliza mambo ya maana utasikia hakuna sayansi yote imeandikwa kwenye quran unawaambia tuonesha wanaanza mohamed aliposema hivi alikuwa ana maanisha hivi ndo sayansi hiyo inshort waarabu uislamu huwa una let down unasababisha lile eneo kuto badilika ki fikra kwa muda wa miaka 1400 bado wanaishi kwa mawazo ya mtu alikufa mwaka 600 na mtume aliset mambo kwenye quran hata vitu vibadilike kuanzia kuvaa kula kufanya sayansi kitamaduni mfano hatak music .... hatak wanawake washirik shughuli mbalimbali hivyo kufanya waislam wengi kuwa na mawazo ya miaka 1400 nyuma wanaishi kwa mawazo ya mtu wa mwaka 600.
Ifike kipindi wajue dunia elimu dunia ni muhimu sana kuliko elimu akhera sasa kichapo kinachoendelea kule ni kukosa elimu stahiki tu la hivyo. Elimu stahiki ni pamoja na kujua muda gani unatakiwa kuattack..mfano kuna kitabu kinaitwa art of war kinatoa ushauri muda gani sahihi wa kupigana na muda gani sahihi kuacha kiliandikwa na sun tzu mchina miaka mingi hiki huwa kinatumika sana wakati wa vita mbali mbali.
Nawashauri kwa miaka 30 wenge fanya juhudi za ku invest zaidi kwenye sayansi pia waachane na mambo ya quran kwanza wajijenge kisayansi na kielimu zaidi pia watafute washiriki wasio waislam ....maana wakiwa waislmu watajazana ujinga tu.
Iran mfano ni nchi yenye watu wenye akili sana dunia na wale sio waarabu lla waliharibikiwa mwaka 1972 baad kuifanya ile nchi ya Kiislamu na kutoa yule mfalme wao ila wale wa persia ni hatari ila uislam una walet down miaka yote sababu uislam una emphasis kwenye elimu akhera zaidi kuliko elimu dunia ndo maana unaona iran toka uislam uingiee toka enzi za persia wameyumba kiakili.
Inshort mimi siwapendi waisrael wanachofanya pale, ila pia nachukia wapalenstine kupigwa sababu tu ujinga na mipango mibovu.
Palestine na waarabu siku wakija kujua kuwa uislam unalet down na kua sayansi na mipango isiyo ya kiimani ni muhimu watafika mbali na kumtoa muisrael pale, ila wakiendele na kila japo sijui allah akbar kujitoa muhanga ni kupoteza muda.