Israel inatumia sayansi na Palestine inatumia imani

Israel inatumia sayansi na Palestine inatumia imani

Kama huna hela omba uchangiwe mkuu siku hizi Hospitali ni Nyingi, maana si kwa kuchangayikiwa huku. Hebu Soma mwenyewe mada ulioanzisha na hiki ulichotype.

Mada inahusu wanasayansi, nikukumbushe tu mada yako maana naona unaingia huku unatoka kule hata hujui una discuss nini.
Sasa nichangiwe hela na masikini kama wewe ...tahira kweli ..... mi nimekwambia angalia matokeo ya vita wewee unaaanza kugoogle kama sio utahira ni nini
 
Ni kweli Iran ni taifa lenye watu wenye akili. Wana Historia ya kuwa moja la Taifa lenye nguvu duniani kwa miaka mingi sana na viongozi hodari kama Cyrus, Darius, Xerxes toka miaka ya 300 BC huko Ni kweli mapinduzi ya 1972 na kuwa hasa misimamo mikali yameirudisha nyuma sana.

Lakini kama watafanikiwa kuwa na strategic alliance na Russia ndani ya miaka kumi, hamsini, 100 ijao naona watakuwa vizuri hasa kama kutakuwa na super power nyingine sawa na USA kama China, India, Russia, Brazil, African Union, EU. Au kama BRICS itapata nguvu kubwa.
Ili iweje? Superpower ibakie Marekani tu wengine wawe mataifa tajiri, vinginevyo mzani wa nguvu/dola utayumba na tutaumia. Imagine Saudi Arabia ndio iwe super power itakuwaji kwa ambao sio waislamu.

Tuliache tu hili kafiri la kimarekani na Liberty yao, kisha tulinde maadili yetu tu kwa ngazi za familia na taasisi. Haya mambo Mungu karuhusu yawe hivi kwa makusudi NAFIKIRI baada ya kuona juhudi za jamii husika na akiwapa wanafanya nini.

CHINA awe super power eeh Mungu tusaidie, juzi juzi tu walikuwa na kasera kao ka "consolidating mosques" ili kupunguza practice za uislamu. Nyuma kidogo kukutwa na biblia ilikuwa msala.

Sisi weusi ndio kabisa tunatengana kuanzia familia na familia, ukoo na ukoo, kabila na kabila kisha dini, sisi ndio tutulie kabisaa wakati mijamaa ina shape dunia kuwa sehemu salama kwa wote.
 
Back
Top Bottom