Israel inatumia sayansi na Palestine inatumia imani

Israel inatumia sayansi na Palestine inatumia imani

Le

Lebanon ni Christian country ambayo Waislamu wameivamia kwa kigezo cha ukimbizi.... na soon Lebanon wakristo watakuwa wageni kwenye nchi yao..... soma history ya Lebanon .... na katiba ya Lebanon lazima rais awe mkristo sio ombi ni lazima .....so kina fujo fujo waarabu wamefika Lebanon inaenda kuharibiwa .... na sooon litakuwa taaifa failed state
Hii comment yako inahusiana nini na mada yako? Siku hizi JF imevamiwa na watoto sana

Anyway kuhusu Comment yako huko Lebanon haijalishi ni Mkristo, Uislamu, Shia, Druze, Sunni etc wote linapokuja Suala la Israel wote wanaungana ni kitu kimoja.

Hao wakristo Wa Lebanon/Palestina na wao wanauliwa kama Waisilamu tu, badala ya kuandika uongo humu kwanini Usitafute Ukweli kuhusu hao Wakristo wa Lebanon feeling zao zipoje? Kwanini uwasemee feeling zako wewe na nafsi yako inachotamani kama ndio ukweli?

1. Lebanon ina Raisi Mkristo sababu ya Hezbollah umoja wa wakristo na Hezbollah ndio uliokiingiza Chama cha Maronite Madarakani na Michael Aoun kuwa raisi.

Ushahidi

2. Wakristo wa Huo ukanda wao pia wana makundi yao ambayo anapigana na Israel, si Hamas peke yake ama Hezbollah ndio wanapigana, mfano mzuri wa Kiongozi wa wakristo ambae amewapa shida sana Israel ni George Habash na kundi lake la PFLP
Ushahidi

3. HAMAS ni kundi karibuni ambalo imetengenezwa na Israel ila siku zote huo ukanda Vyama vyao kama PLO cha Yasser Arafat vilikuwa ni mrengo wa Usocialist ni secular na Allies wao wakiwa Watu kama Nyerere, Mandela, Urusi, China, Korea etc

4. Lebanon ilivyo kuna makazi ya Wakristo, Washia, Sunni, Druze etc. Sasa hivi Israel anapigana na Hizbullah ila mabomu yanaenda sehemu kibao which has nothing to do with Hezbollah, so far wakristo kibao wameshafariki ila nyie mpo busy kuwasemea Walebanon badala ya kumuangalia adui yao.

Waacheni wakristo wa Lebanon waseme wenyewe wao ndio wanajua hali zao zipoje, propaganda zenu kawadanganyeni watoto wenu humu kuna watu wazima kibao.
 
Haiwezekani kuishinda kijeshi nchi yenye Nukes kama wewe huna
Samahani kuna mazingira maalumu ya kutumia nyuklia ambayo ukiyaangalia ni kama haiwezekani kwa mazingira ya sasa na yamekaa kivitisho kama Putin anavyofanya!

Swali: Unahisi yeye akitumia nyuklia hawezi kuathirika?? Unahisi ni sababu ipi inayomfanya Putin asite kuipiga nyuklia Ukraine hata kwa bomu dogo tu??
 
Jmaa kachaniwa mkeka huyo , alikuwa anashabikia vita ....Anafikria kwamba waislamu wote pale jamii ya waarabu wanapigana ....Saudia hawezi kupigana hata siku moja ana teknolojia nyingine ila makombora hana mda nao maana hana mpango wa vita .

Akifanya vita basi ule ufalme utapinduliwa .
Saudi Arabia wana akili sana. Wanaelewa hasara za vita
 
Saudi Arabia wana akili sana. Wanaelewa hasara za vita
1000012760.jpg
 
Hawana faida sasa
Boss Iran ni Nchi ya 15 duniani kwa sasa, na ndio nchi kwa miaka 20 iliopita iliopiga hatua kubwa kushinda zote Duniani kisayansi. Iran ndio wamesababisha sasa hivi watu wakifanyiwa operation ya kichwa hawafi wengi, zamani ilikua ukipasuliwa kichwa 50/50 unaweza ukaishi ama ufe na watu wanatia Sign ila sasa hivi unafanyiwa operation ya kichwa kama mguu tu.

Wana wanawake kibao scientist hapo Iran mifereji tu ya maji ina maji masafi kuliko maji yanayotoka Bombani, Anaesimami mambo hayo ya mazingira anaitwa Masoumeh Ebektar ambaye mpaka UN alikuwa named katika watu 7 Duniani ambao policy zao zimebadili Mazingira ya Dunia.

Kuna Minoo Mohraz huyu mwanadada yeye amebase sana kwenye Tiba za Ukimwi na Research zake nyingi ndio leo unasikia sijui mapenzi ya Jinsia moja yana ongeza uathirika etc

Farnazeh Sharifi mdada mwengine ambaye aligundua Kutibu matatizo ya mkojo kwa umeme etc.

So mkuu ni kwamba tu sisi tushazoea media za West ila hao jamaa wapo vizuri haijalishi mwanamme ama mwanamke
 
Boss Iran ni Nchi ya 15 duniani kwa sasa, na ndio nchi kwa miaka 20 iliopita iliopiga hatua kubwa kushinda zote Duniani kisayansi. Iran ndio wamesababisha sasa hivi watu wakifanyiwa operation ya kichwa hawafi wengi, zamani ilikua ukipasuliwa kichwa 50/50 unaweza ukaishi ama ufe na watu wanatia Sign ila sasa hivi unafanyiwa operation ya kichwa kama mguu tu.

Wana wanawake kibao scientist hapo Iran mifereji tu ya maji ina maji masafi kuliko maji yanayotoka Bombani, Anaesimami mambo hayo ya mazingira anaitwa Masoumeh Ebektar ambaye mpaka UN alikuwa named katika watu 7 Duniani ambao policy zao zimebadili Mazingira ya Dunia.

Kuna Minoo Mohraz huyu mwanadada yeye amebase sana kwenye Tiba za Ukimwi na Research zake nyingi ndio leo unasikia sijui mapenzi ya Jinsia moja yana ongeza uathirika etc

Farnazeh Sharifi mdada mwengine ambaye aligundua Kutibu matatizo ya mkojo kwa umeme etc.

So mkuu ni kwamba tu sisi tushazoea media za West ila hao jamaa wapo vizuri haijalishi mwanamme ama mwanamke
Hizi habari huwa tunaongea tukiwa tunakunywa kahawa jioni na kucheza bao.
 
Shida ya waislamu ukiwaambia wanakuwa wakali sana sisi wengine ni wapagani pia mimi ni mwana history mzuri sana ....so si angalii dunia kidini naingalia dunia kama ilivyo na history yake ....uislam ni dini inayorudisha nyuma kiakili mataifa mengi
Huna Evidence mkuu unajisifu mwana historia ila mtupu.

Iran, Malyasia, Indonesia, Saudia, Oman, Kuwait, Qatar, UAE, Bahrain zote zipo kidini zaidi na zina maendeleo vibaya mno,

Libya, Algeria, Morocco, Tunisia, Egpty, Lebanon, Syria, hazina Dini sana na hazifikii hizo Nchi za juu.
 
Hizi habari huwa tunaongea tukiwa tunakunywa kahawa jioni na kucheza bao.
Siongei habari bila evidence, kila kitu kina ushahidi hapo, comment yangu yoyote ukiona jambo unahisi la Uongo uliza ushahidi wake nitakuekea.
 
Iran ndio nchi kwa miaka 20 iliopita iliopiga hatua kubwa kushinda zote Duniani kisayansi.
Tujaribu kuwa wakweli na tupunguze mahaba, tutumie akili na tukubali uhalisia!

Uhalisia: Unaweza kutufahamisha hayo maendeleo ya sayansi na teknolojia kwa miaka kumi iliyopita kwa dunia nzima?? Je, Iran walizizidi nchi nyingine kwa kiwango gani??

Mimi naanza na hii: Unaiona Iran hapo??

Emerging technologies: 10 years of top tech trends and how they've changed the world​


Oct 25, 2021

 
Wakristo wanaishi kwa mawazo ya Yesu au wenyewe wanaishi kwa mawazo ya nani?? Toka aseme atakuja imepita miaka mingapi?? Usipende kukejeli imani za watu.

Acha mahaba, tumia akili yako vizuri, hivi kuna kundi la kigaidi linaweza kulishinda jeshi la nchi yoyote ikiwa nchi hiyo imeamua kutumia rasilimali zote za ndani na nje?? Hapa namaanisha msaada wa ndani na wa nje.

Israel bila msaada wowote anaweza kuishinda Iran kijeshi?? Tumia mfano wa Ukraine kwa Urusi.

Hoja ya akili: Kila jamii ina binaadamu werevu na wajinga.Au unaamini wewe wayahudi wote wana akili kwa asilimia mia moja??

Penda kujifunza na kujielimisha , waarabu waliwahi kuivamia jamii ya kiyahudi na kuitawala, Rumi walifanya hivyo, Ottoman walifanya hivyo.

Kuna kosa la kiufundi walifanya hao Hezbollah na siyo la kisayansi ambalo lilipelekea wayahudi kujipenyeza, hii jamii yoyote inaweza kufanya na siyo wao pekee!

Hoja ya msingi: Ni jamii ya kawaida kama jamii zingine.Fuatilia siasa za dunia hasa za kimkakati ndiyo utajua why mataifa makubwa yanaikumbati hii jamii halafu utaona kama dini au akili zao zinahusika!

Nb: Kama unataka kuelekezana nipo tayari, ila kama kubishana sipo tayari kwani wajinga ndiyo hubishana!
Haijulikani siku wala saa atakayokuja kipi hujaelewa hapo?au alitaja situation?
 
Unajua kuwa ni kiasi kidogo sana middle east wanauza hayo mafuta na gesi USA NA EU?
Vikwazo vitafanya uchumi wa Dunia uporomoke na bei ya mafuta kupanda sana pamoja na bei za vyakula na bidhaa nyingine zote muhimu. Probably kutatokea global inflation, hyperinflation, recession /severe depression.

Masoko ya hisa yatayumba na biashara nyingine nyingi, hivyo ku affect uchumi wa nchi nyingi duniani. Wadau watajaribu kutakua hilo tatizo chap chap kama walivyofanya baada ya Oil embargo of 1973.
 
wewe huelewi labda ingia hata google , turkey ni sunni kwa 99% ni sawa na Qatar, Dubai , saudia na kuwait....Hao sunni ndio waislamu wanaopatikana dunia nzima ila shia ni jamiii ya watu kama iran , yemen na baadhu...Waislamu 90% ni jamii ya sunni ndio wastaarabu maana hata mtume alitokea katika makabila yao , japo kujiita suni sio sahihi ...

Iran alikataa utumwa ndio maana ana vikwazo daima , kwani lazima kuendana na USA? Uchumi wa kupiga ila sio nguvu Turkey hana nguvu ya kufika hata nusu kwa iran sio kwa kusoma wala ushawishi .
Nipe GDP za hizo nchi mbili? Kuna mtu hajui kuhusu Sunni na Shia duniani? 400bn GDP unalinganisha na zaidi ta 1.1 Trillioni USD?

Hata Turkey, Egypt walikataa utumwa ili waliamua kutumia zaidi sera za kiuhalisia, kiuchumi kuliko sera za dini, misimamo mikali kwenye kila kitu.

Misimamo mikali mara nyingi wana ubaguzi wa kila aina hawakubali dini, jamii, maoni mengine.

Mfano ukiwa Sunni nchini, Mkristo, usiye na dini, au Iran itakuwa vigumu kupata madaraka makubwa au kuaminika au kupata haki sawa na wengine. Persia ilikuwa more cosmopolitan. Ndio maana unaona Dubai ni mchanganyiko sasa na imepiga hatua kubwa sana.
 
Siongei habari bila evidence, kila kitu kina ushahidi hapo, comment yangu yoyote ukiona jambo unahisi la Uongo uliza ushahidi wake nitakuekea.
Kesho jioni tukikaa tena kijiweni tutaongea zaidi
 
Samahani kuna mazingira maalumu ya kutumia nyuklia ambayo ukiyaangalia ni kama haiwezekani kwa mazingira ya sasa na yamekaa kivitisho kama Putin anavyofanya!
Ni kweli kuwa kumiliki nuclear kunasaidia zaidi kama deterrent, yaani kuogopesha maadui wasikuchukulie poa, maana ile kitu ni zaidi ya hatari
Swali: Unahisi yeye akitumia nyuklia hawezi kuathirika??
Against Iran hakuna
Unahisi ni sababu ipi inayomfanya Putin asite kuipiga nyuklia Ukraine hata kwa bomu dogo tu??
1). Retaliatory actions kutoka kwa mahasimu wake (wenye nukes) ambao ni pro Ukraine.
2). Hakujakuwa na tishio la kupitiliza dhidi ya Urusi.

Unajua kwa kesi ya Israel pale aina ya watu kama Ayatollah, Hezbollah, nk wanaposema watafuta taifa la Israel kwenye uso wa dunia ndo pale uhalali na ulazima wa kutumia Nukes unapokuja.

Hata kwa Putin, kuliko nchi yake isambaratishwe mazima atatumia nukes chap. Na maadui wake wanajua hilo
 
Hezbollah pia wana wataalam ktk kila sekta na technology za juu pia, ila Israel amepenyeza inteligensia yake sana ndani ya Hezbollah, ndio hapo anapowapata. Unaambiwa zile pagers na walkie-talkie zilizokuwa zinalipuka two weeks ago, tangu zimewekwa order ya kutengenezwa Israel wenyewe ndio walisimamia show. Mpaka sasa kinatafutwa kiwanda kilichotengeneza hakujulikani kilipo.
😂😂 Tukubali tu jamaa wapo mbali kuwazidi mengine ni utetezi tu
 
Tujaribu kuwa wakweli na tupunguze mahaba, tutumie akili na tukubali uhalisia!

Uhalisia: Unaweza kutufahamisha hayo maendeleo ya sayansi na teknolojia kwa miaka kumi iliyopita kwa dunia nzima?? Je, Iran walizizidi nchi nyingine kwa kiwango gani??

Mimi naanza na hii: Unaiona Iran hapo??

Emerging technologies: 10 years of top tech trends and how they've changed the world​


Oct 25, 2021

Hichi ulichoandika hapa sio sayansi mpya per se, bali ni aina za sayansi ambazo makampuni yameamua sasa hivi ndio trend na kutumia,

Unapoongelea maendeleo ya sayansi hupimwa kwa wanasayansi kuandika paper mbalimbali na jinsi gani wanasayansi wengine wametumia hizo paper, jinsi wanasayansi wengi wanavyotumia ndio jinsi paper inavyokua muhimu zaidi.


Miaka ya Karibuni hakuna Nchi ambayo Uwezo wake wa Kisayansi unakua kuliko Iran.

Na hizo Technology ulizo andika hazijagunduliwa na mtu mmoja, unakuta technology moja nimetumia maelfu ya papers toka sehemu mbalimbali Duniani.
 
Huna Evidence mkuu unajisifu mwana historia ila mtupu.

Iran, Malyasia, Indonesia, Saudia, Oman, Kuwait, Qatar, UAE, Bahrain zote zipo kidini zaidi na zina maendeleo vibaya mno,

Libya, Algeria, Morocco, Tunisia, Egpty, Lebanon, Syria, hazina Dini sana na hazifikii hizo Nchi za juu.
Uzuri hujui unachoongea ukiona sehemu yeyote uislam upo fujo ni swala kugusa tu ..... ukiona kuna amani jua hiyo nchi lazima kiongozi anawajua vizuri waislam na tabia zao yaaani lazima uwe na mkono wa chuma la hivyo wanaharibu nchi huku una jiona watataka kuanzisha caliphate kama ilivyoandikwa kwenye quran

Hizo nchi umetaja viongozi wako ngangali ndo maana hakuna shida hata wamarekani wanajua hiloo na dunia nzima ina
Hii comment yako inahusiana nini na mada yako? Siku hizi JF imevamiwa na watoto sana

Anyway kuhusu Comment yako huko Lebanon haijalishi ni Mkristo, Uislamu, Shia, Druze, Sunni etc wote linapokuja Suala la Israel wote wanaungana ni kitu kimoja.

Hao wakristo Wa Lebanon/Palestina na wao wanauliwa kama Waisilamu tu, badala ya kuandika uongo humu kwanini Usitafute Ukweli kuhusu hao Wakristo wa Lebanon feeling zao zipoje? Kwanini uwasemee feeling zako wewe na nafsi yako inachotamani kama ndio ukweli?

1. Lebanon ina Raisi Mkristo sababu ya Hezbollah umoja wa wakristo na Hezbollah ndio uliokiingiza Chama cha Maronite Madarakani na Michael Aoun kuwa raisi.

Ushahidi

2. Wakristo wa Huo ukanda wao pia wana makundi yao ambayo anapigana na Israel, si Hamas peke yake ama Hezbollah ndio wanapigana, mfano mzuri wa Kiongozi wa wakristo ambae amewapa shida sana Israel ni George Habash na kundi lake la PFLP
Ushahidi

3. HAMAS ni kundi karibuni ambalo imetengenezwa na Israel ila siku zote huo ukanda Vyama vyao kama PLO cha Yasser Arafat vilikuwa ni mrengo wa Usocialist ni secular na Allies wao wakiwa Watu kama Nyerere, Mandela, Urusi, China, Korea etc

4. Lebanon ilivyo kuna makazi ya Wakristo, Washia, Sunni, Druze etc. Sasa hivi Israel anapigana na Hizbullah ila mabomu yanaenda sehemu kibao which has nothing to do with Hezbollah, so far wakristo kibao wameshafariki ila nyie mpo busy kuwasemea Walebanon badala ya kumuangalia adui yao.

Waacheni wakristo wa Lebanon waseme wenyewe wao ndio wanajua hali zao zipoje, propaganda zenu kawadanganyeni watoto wenu humu kuna watu wazima kibao.
Vipi kijana ushatoka madrasa kuja kuandika nini hiki .....wakristo wa lebanon wanashangaa wahamiaji ndo waliileta hiyo Hezbollah wao pia hawaitak hezbolla...... sawa ukimaliza kusoma madrassa muwe munasoma hata gumbalu tu sawa
 
Back
Top Bottom