Israel inatumia sayansi na Palestine inatumia imani

Israel inatumia sayansi na Palestine inatumia imani

Karibu kila nchi Duniani imepiga hatua ukilinganisha na mwaka 1979. Nasema ingekuwa mbali zaidi kiuchumi, kiteknologia, kijeshi na kibiashara labda zaidi ya Turkey.

Turkey baada ya mapinduzi 1923 chini ya Ataturk aliamua ku- modernise na kuifanya nchi iwe secular akajifunza technologia nyingi Ulaya, hasa Ujerumani. Iran ingeweza kufanya hivyo pia.
wewe huelewi labda ingia hata google , turkey ni sunni kwa 99% ni sawa na Qatar, Dubai , saudia na kuwait....Hao sunni ndio waislamu wanaopatikana dunia nzima ila shia ni jamiii ya watu kama iran , yemen na baadhu...Waislamu 90% ni jamii ya sunni ndio wastaarabu maana hata mtume alitokea katika makabila yao , japo kujiita suni sio sahihi ...

Iran alikataa utumwa ndio maana ana vikwazo daima , kwani lazima kuendana na USA? Uchumi wa kupiga ila sio nguvu Turkey hana nguvu ya kufika hata nusu kwa iran sio kwa kusoma wala ushawishi .
 
Madai yako sio kweli kabisa ndugu yangu , nitakujibu kwa fact , ina maana kushindwa huko nyuma 2006 hiyo sayansi ilikuwepo wapi ?

Wewe una elimu gani kwanza maana naoona unaropoka , kapigana Hezbollah basi unashambulia waislamu ..Saudia kainvest pesa nyingi kweny IA na pia Hijjah iliyopita walianza kutumia flying taxi ,mbona hoja yako sioni hapo .


Unasema wanwake hawaruhusiwi kusoma , je unajua kwamba Iran na nchi za kiislamu zina wasomi wanawake wengi kuliko wanaume !?

View attachment 3111334


Wanawake nchi za mashariki ya kati wamesoma sana , katika nchi za kiislamu wamesoma field ya STEM nikiwa na maana science, technology , engineering and mathematics ...Hawasomi sheria za feminist za wazungu 😀 wana sheria zao tofauti na wazungu ndio maana hwahesabu ...Huko canada wanawake ni wasomi wa sheria na mass communication ndio field wanaenda

View attachment 3111336


Unatafuta justification tu useme kuhusu uislamu , hiyo vita sio ya waislamu kwa sababu madhara ya vita ni makubwa sana tofauti na unavyojua ....Umoja wa waislamu wameweka misimamo yao ila sio kuweka vita wanajienga huko Dubai , Qatar , Saudia ....Usitafute visa wapo sunni waliofurahi kufa kwa hao jamaa kwa vile hawapendi vurugu
Wasomi kwenye nini mkuu.
 
Karibu kila nchi Duniani imepiga hatua ukilinganisha na mwaka 1979. Nasema ingekuwa mbali zaidi kiuchumi, kiteknologia, kijeshi na kibiashara labda zaidi ya Turkey.

Turkey baada ya mapinduzi 1923 chini ya Ataturk aliamua ku- modernise na kuifanya nchi iwe secular akajifunza technologia nyingi Ulaya, hasa Ujerumani. Iran ingeweza kufanya hivyo pia.Bil

Karibu kila nchi Duniani imepiga hatua ukilinganisha na mwaka 1979. Nasema ingekuwa mbali zaidi kiuchumi, kiteknologia, kijeshi na kibiashara labda zaidi ya Turkey.

Turkey baada ya mapinduzi 1923 chini ya Ataturk aliamua ku- modernise na kuifanya nchi iwe secular akajifunza technologia nyingi Ulaya, hasa Ujerumani. Iran ingeweza kufanya hivyo p
Iran imeamua kujichagulia mfumo wao unique wa kuendesha taifa na watu wao. Mfumo huo si pendwa kw wamagharibi. Mfumo huo ukibadilishwa tutaiona Iran tegemezi Kwa namna mbalimbali.
Kutoka Iran tegemezi Kwa Kila kitu , shukrani Kwa vikwazo Leo Iran ni miongoni mwa nchi kiongozi katika mas Alla ya kiteknolojia, kisayansi, historia , kijeshi na hata uchumi.
 
Wasomi kwenye nini mkuu.
Hakuna waarabu wanaowafikia Shia kwa kusoma hata siku moja ,STEM yote unayoijua wewe ....Unajua lin kaanza kuwekewa vikwazo?

Nchi kubwa ndio zinawekewa vikwazo turkey ni kadogo sana kwa Iran.
 
Hakuna waarabu wanaowafikia Shia kwa kusoma hata siku moja ,STEM yote unayoijua wewe ....Unajua lin kaanza kuwekewa vikwazo?

Nchi kubwa ndio zinawekewa vikwazo turkey ni kadogo sana kwa Iran.
Mtu yeyote akikutana na jambo gumu akili inakuja mjomba. Ukiona mtu ni mzito ujue hana shida. Waarabu sio kwamba ni wazito ila hawajakutana na changamoto za kuwafanya wafikiri. Muajemi kakutana nazo lazima afikir ili aishi. Hii duniani ni kila ni survive of the fittest mzee
 
Ni kweli Iran ni taifa lenye watu wenye akili. Wana Historia ya kuwa moja la Taifa lenye nguvu duniani kwa miaka mingi sana na viongozi hodari kama Cyrus, Darius, Xerxes toka miaka ya 300 BC huko Ni kweli mapinduzi ya 1972 na kuwa hasa misimamo mikali yameirudisha nyuma sana.

Lakini kama watafanikiwa kuwa na strategic alliance na Russia ndani ya miaka kumi, hamsini, 100 ijao naona watakuwa vizuri hasa kama kutakuwa na super power nyingine sawa na USA kama China, India, Russia, Brazil, African Union, EU. Au kama BRICS itapata nguvu kubwa.
Shida ya waislamu ukiwaambia wanakuwa wakali sana sisi wengine ni wapagani pia mimi ni mwana history mzuri sana ....so si angalii dunia kidini naingalia dunia kama ilivyo na history yake ....uislam ni dini inayorudisha nyuma kiakili mataifa mengi
 
Sayansi imeshinda Elimu ya kesho Ahera imeshindwa vibaya sana.

Pelekeni Watoto Shule za Sayansi na Teknolojia.
 
Madai yako sio kweli kabisa ndugu yangu , nitakujibu kwa fact , ina maana kushindwa huko nyuma 2006 hiyo sayansi ilikuwepo wapi ?

Wewe una elimu gani kwanza maana naoona unaropoka , kapigana Hezbollah basi unashambulia waislamu ..Saudia kainvest pesa nyingi kweny IA na pia Hijjah iliyopita walianza kutumia flying taxi ,mbona hoja yako sioni hapo .


Unasema wanwake hawaruhusiwi kusoma , je unajua kwamba Iran na nchi za kiislamu zina wasomi wanawake wengi kuliko wanaume !?

View attachment 3111334


Wanawake nchi za mashariki ya kati wamesoma sana , katika nchi za kiislamu wamesoma field ya STEM nikiwa na maana science, technology , engineering and mathematics ...Hawasomi sheria za feminist za wazungu 😀 wana sheria zao tofauti na wazungu ndio maana hwahesabu ...Huko canada wanawake ni wasomi wa sheria na mass communication ndio field wanaenda

View attachment 3111336


Unatafuta justification tu useme kuhusu uislamu , hiyo vita sio ya waislamu kwa sababu madhara ya vita ni makubwa sana tofauti na unavyojua ....Umoja wa waislamu wameweka misimamo yao ila sio kuweka vita wanajienga huko Dubai , Qatar , Saudia ....Usitafute visa wapo sunni waliofurahi kufa kwa hao jamaa kwa vile hawapendi vurugu
Wengi hawajui kuwa wanawake wa iran wamesoma na wanaelimu kubwa kuliko nchi nyingi za Africa ikiwemo Tanzania.
 
Karibu kila nchi Duniani imepiga hatua ukilinganisha na mwaka 1979. Nasema ingekuwa mbali zaidi kiuchumi, kiteknologia, kijeshi na kibiashara labda zaidi ya Turkey.

Turkey baada ya mapinduzi 1923 chini ya Ataturk aliamua ku- modernise na kuifanya nchi iwe secular akajifunza technologia nyingi Ulaya, hasa Ujerumani. Iran ingeweza kufanya hivyo pia.

Misri nayo chini ya Nasser 1952 ilifanya mapinduzi na kuanza ku-modernise, kama kujenga bwawa kubwa zaidi la Nishati, kuchukua Suez Canal, kilimo cha kisasa, kujenga viwanda vingi nk akihimiza umoja wa Waarabu na maendeleo ya wote. Hakuwa na misimamo mikali ya kidini kama Muslim Brothrhood au Iran baada ya 1979.
Mkuuu wengi hawajui history mimi baada ya kusoma sana nilijua tatzo la middle east ni uislam kuwa sehemu ya uongo yaani secular state .....Indonesia inaendelea saba u uislam kwao nina secular so atleast wanapata auheni ila siku Indonesia wakisema wawe nchi Kiislamu 100% watapotea kabisa...... koz Uislamu huwa haupendi elimu dunia sans
 
Kwamba Iran ya Leo ni isiyo na maendeleo kuliko Iran ya mwaka wa 1979?
Kachek wa iran wawo wanataka nchi irudi before islamic revolution wanasema uislam unawapotezea muda ndo maana huwa kuna maandamano ya kutaka uongoz wa kiislam utoke
 
Le
Hebu fanya Research zako vizuri
1. Iran chini ya Shah ilipitwa na Tanzania kwenye Idadi ya watu wanaojua kusoma na Kuandika, Mapinduzi ya Sayansi yamefanywa na Ayatollah ndani ya miaka Michache wamepiga Hatua kubwa sana

2. Palestina nickname yao kubwa ni Most educated Refugees, wanaitwa hivyo sio bahati mbaya, they are so smart na Wana wanasayansi wakubwa vibaya mno, Hapo Palestina kuna Chuo kimetoa wanasayansi 7 ambao wapo Top 2% ya wanasayansi ambao wana contribution kubwa zaidi ulimwenguni.


Hata hapo Gaza kuna Wana sayansi wapo 2% japo vita haziishi.

3. Huko Lebanon ndio usiseme wapo everywhere hasa kwenye hizo science.

Issue hapa Hizi Nchi ni Changa zimetoka kutawaliwa miaka kadhaa iliopita, hawana Support ya Kifedha/kiuchumi it will take time.
Lebanon ni Christian country ambayo Waislamu wameivamia kwa kigezo cha ukimbizi.... na soon Lebanon wakristo watakuwa wageni kwenye nchi yao..... soma history ya Lebanon .... na katiba ya Lebanon lazima rais awe mkristo sio ombi ni lazima .....so kina fujo fujo waarabu wamefika Lebanon inaenda kuharibiwa .... na sooon litakuwa taaifa failed state
 
Shida ya waislamu ukiwaambia wanakuwa wakali sana sisi wengine ni wapagani pia mimi ni mwana history mzuri sana ....so si angalii dunia kidini naingalia dunia kama ilivyo na history yake ....uislam ni dini inayorudisha nyuma kiakili mataifa mengi

Nafikiri Shida ni misimamo mikali kwa karne hii ni vigumu sana kufanikiwa hasa hivi karibuni ukija mbadala wa nishati gesi na mafuta.

Kuna nchi moderate za kiislamu zinaenda vizuri kama Malaysia, Indonesia, Oman, Libya wakati wa Gaddafi, Turkey, Morroco, Tunisia, Egypt wakati wa Nasser.
 
Kinachaangusha Waarabu ni umoja. Hawana umoja. Ila wana kila kitu kuishinda Israel kasoro Technology na ushirikiano.

Wakiamua nchi zote za kiarabu wasiuze gesi na mafuta au kufanya biashara yoyote na Israel na washirika wake hata kwa miezi mitatu hadi Palestina wapate haki yao watafanikiwa tena bila kurusha kombola moja.
Mafuta na gesi sio kikwazo sana
 
Mafuta na gesi sio kikwazo sana.
Ni nguvu muhimu, kikwazo kikubwa sana kama wataamua wasiiuzie EU, USA, Israel na au kuamua kutouza kwa dunia nzima hata mwezi mmoja tu mpaka wapate suluhu hapo Mashariki ya kati.
 
Ni kikwazo kikubwa sana kama wataamua wasiiuzie EU, USA, Israel na au kuamua kutouza kwa dunia nzima hata mwezi mmoja tu mpaka wapate suluhu hapo Mashariki ya kati.
Unajua kuwa ni kiasi kidogo sana middle east wanauza hayo mafuta na gesi USA NA EU?
 
Wengi hawajui kuwa wanawake wa iran wamesoma na wanaelimu kubwa kuliko nchi nyingi za Africa ikiwemo Tanzania.
Ni kweli wakiwa nje ya Iran wana mafanikio makubwa kwenye nyanja mbali mbali. Uchumi wa Iran ni mdogo kuliko mataifa madogo kama Israel, Singapore, Taiwan, Norway wakati wana wasomi wengi, maliasili kibao.
 
Back
Top Bottom