Israel kutangaza vita na Hezbollah muda wowote kuanzia sasa

Israel haita hangaika na Hezbollah. Zaidi ita piga na kutilia mbali kizazi cha Lebanon ni watoto magaidi ya baadae na kina mama wanaozaa magaidi. Wasiye anza kulialia eti Israel anaua wazee.magaidi hata Saudi Arabia na Uae hawataki
Muulize Israel 2006 alifanywa nini na Hizbullah.
 
Je, Sasa ameona ni bora atumie njia ya mapambano as a last resort bila kujiridhisha kwamba amejipanga sawasawa? Hebu ona mapungufu ya njia anayotumia ya kupambana:
1. Jeshi la Palestina halina umoja madhubuti wenye nguvu na HAMAS ili kupambana dhidi ya IDF. HAMAS wanajiona wanatosha wenyewe bila ya Jeshi rasmi la Palestina.
2. Kiwango cha Ulinzi (vifaa na idadi ya wapambanaji )na mbinu zinazotumika zinapitwa kwa mbali mno na zile za IDF.
3. Palestina haikujilimbikizia marafiki watakaomuunga mkono kabla hajaanza vita. Ameanza kuwatafuta baada ya vita na ndo mana unawasikia watu wakisema "acheni kulia-lia hapa" kwani hamkujua,mmekurupuka?
 
Mkuu hakuna njia iliyobaki,kabla ya hiyo October 7 Israel walikua wakivunja nyumba za Palestina Ramallah watanue makazi ya walowezi wa kizayuni,na vyombo vya habari vilikua vikiripoti ila hakuna aloyeikemea Israel.
Mwishowe ilibidi watumie nguvu tu.
1)Palestina haina jeshi,ilishakatazwa kuwa na jeshi kamili,ina askari tu wakawaida wanaomlinda kiongozi wa PLO ambaye ndio rais wa Palestina wa mchongo.
2)Rafiki pekee aliye nae ni Iran,Lebanon,Syria,waliobakia waarabu waoga.
Mkuu hayajatukuta sisi ila kwa point waliyofikia hawana budi kupigana.
 
Pole zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…