Israel kutangaza vita na Hezbollah muda wowote kuanzia sasa

Israel kutangaza vita na Hezbollah muda wowote kuanzia sasa

binafsi yangu natamani israel apambanane na makundi ya kigaidi ila asidhuru raia ambao w=hawana hatia kama ambavyo anafnya pale palestina,kama anapigana na hezbollah basi apigane nao sio kuianganmiza lebanon nzima hiyo sio sawa,najua hoja haa itakuwa mbona hezbollah anapiga wanisrael huo pekee hupaswa kuwa utetezi kwa kuwa isreal ni jeshi kamili hivyo wanapswa kujitenga na illegal acts za kivta wasiwe sawa na wanayoyita makundi ya kigaidi
Mkuu sasa kama majitu yanavaa nguo za kiraia utayatofautishaje na askari wa kivita?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa kamili hapo chini:

Mungu ibariki Israel

Shmona, June 4, 2024. (Ayal Margolin/Flash90)
IDF Chief of Staff Lt. Gen. Herzi Halevi said Tuesday that Israel is close to making a decision regarding Hezbollah’s daily attacks on northern Israel amid the Gaza war.

“We are approaching the point where a decision will have to be made, and the IDF is prepared and very ready for this decision,” Halevi said during an assessment with military officials and Fire Commissioner Eyal Caspi, at an army base in Kiryat Shmona.

“We have been attacking for eight months, and Hezbollah is paying a very, very high price. It has increased its strengths in recent days and we are prepared after a very good process of training… to move to an attack in the north,” he said.

“[We have] strong defense, readiness to attack, [and] we are approaching a decision point,” he added.

Halevi and Caspi later met with firefighters who worked to extinguish large blazes in northern Israel over the past two days, some of which were sparked by Hezbollah rocket and drone attacks.

The war cabinet met on Tuesday night to discuss the latest developments along the border with Lebanon amid criticism of the government for failing to bring security to the region after long months of conflict.
Mbona wanapigana kila siku na Hezbollah.

Sema labda atangaze vita na Lebanon.
 
Hivi unaelewa unachokiongea? Hezbu ni hatari zaidi ya Hamas, je! hao IDF wameweza hata kupambana na Hamas wanaotumia silaha dhaifu? Wameshindwa sio! Kuuwa watoto, wamama na wazee kubomoa manyumba ndicho wanachoweza na wamefanikiwa.

Sio chini ya wanajeshi 20,000 wameuawa, sijui kama unafuatilia news, au ndio wale wale bendera fuata upepo?
Taarifa za kupika hizi, askari waliokufa hata 200 hawafiki.
 
Tulia wewe hiyo mikwara mbuzi unakua kama yule waziri wa ulinzi wa israeli akija kwenye TV anakunja uso kama kabanwa na mavi kumbe hamna lolote.
Yule Waziri wa Ulinzi wa Israel akija kwenye TV anakunja uso kuonesha msisitizo ili utekelezaji wa hicho anachokisema ukianza asije mtu akasema sikuambiwa au sikujua. Myahudi siku zote ni mwaminifu kwa ahadi zake. Ngoja wajichanganye kwa Myahudi halafu watajua walikuwa hawajui.
 
Mkuu sasa kama majitu yanavaa nguo za kiraia utayatofautishaje na askari wa kivita?
Mkuu; Sio kuvaa tu nguo za kiraia bali hata kujichanganya na raia, kujificha kwenye nyumba za Raia,nyumba za ibada, Hospitali na mashuleni. Halafu raia wenyewe hathubutu kuwakataa hao magaidi na kuwatoa hadharani ili hao magaidi wapewe haki yao (kipondo).Raia wamekuwa maduanzi wanawakumbatia magaidi. Kumkumbatia gaidi manake unaukumbatia na moto unaompasa huyo gaidi.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa kamili hapo chini:

Mungu ibariki Israel

Shmona, June 4, 2024. (Ayal Margolin/Flash90)
IDF Chief of Staff Lt. Gen. Herzi Halevi said Tuesday that Israel is close to making a decision regarding Hezbollah’s daily attacks on northern Israel amid the Gaza war.

“We are approaching the point where a decision will have to be made, and the IDF is prepared and very ready for this decision,” Halevi said during an assessment with military officials and Fire Commissioner Eyal Caspi, at an army base in Kiryat Shmona.

“We have been attacking for eight months, and Hezbollah is paying a very, very high price. It has increased its strengths in recent days and we are prepared after a very good process of training… to move to an attack in the north,” he said.

“[We have] strong defense, readiness to attack, [and] we are approaching a decision point,” he added.

Halevi and Caspi later met with firefighters who worked to extinguish large blazes in northern Israel over the past two days, some of which were sparked by Hezbollah rocket and drone attacks.

The war cabinet met on Tuesday night to discuss the latest developments along the border with Lebanon amid criticism of the government for failing to bring security to the region after long months of conflict.
hawa wasenge waislam wapo kimya ila Israel akianza jibu utasikia wanaua watoto
 
waende front , hizbollah kama panya road wanaogopa kujiweka hadharani
Hii ndio itakua vita hasa sio ile ya Hamas na IDF kuviana hii vita Hezbollah wanaitamani sana miaka mingi wanaonekana wamejiandaa kwa muda mrefu sana
 
Yule Waziri wa Ulinzi wa Israel akija kwenye TV anakunja uso kuonesha msisitizo ili utekelezaji wa hicho anachokisema ukianza asije mtu akasema sikuambiwa au sikujua. Myahudi siku zote ni mwaminifu kwa ahadi zake. Ngoja wajichanganye kwa Myahudi halafu watajua walikuwa hawajui.
Inaonekana wewe ukiambiwa ule mavi ya muyahudi ni dawa upo tayari
 
Inaonekana wewe ukiambiwa ule mavi ya muyahudi ni dawa upo tayari
Mkuu; Bila shaka NDIYO/YES EXACTLY. Kwani kuna shida gani? Unajisikia vibaya kwa sababu tu eti yameitwa ni mavi ya Myahudi au labda kuna kitu kingine unachokifahamu. Je, Mkuu wewe utakula ya Mwarabu sio? Ila ya Mwarabu hayajasemwa ni dawa.
 
Mkuu; Bila shaka NDIYO/YES EXACTLY. Kwani kuna shida gani? Unajisikia vibaya kwa sababu tu eti yameitwa ni mavi ya Myahudi au labda kuna kitu kingine unachokifahamu. Je, Mkuu wewe utakula ya Mwarabu sio? Ila ya Mwarabu hayajasemwa ni dawa.
Psychopath
 
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa kamili hapo chini:

Mungu ibariki Israel

Shmona, June 4, 2024. (Ayal Margolin/Flash90)
IDF Chief of Staff Lt. Gen. Herzi Halevi said Tuesday that Israel is close to making a decision regarding Hezbollah’s daily attacks on northern Israel amid the Gaza war.

“We are approaching the point where a decision will have to be made, and the IDF is prepared and very ready for this decision,” Halevi said during an assessment with military officials and Fire Commissioner Eyal Caspi, at an army base in Kiryat Shmona.

“We have been attacking for eight months, and Hezbollah is paying a very, very high price. It has increased its strengths in recent days and we are prepared after a very good process of training… to move to an attack in the north,” he said.

“[We have] strong defense, readiness to attack, [and] we are approaching a decision point,” he added.

Halevi and Caspi later met with firefighters who worked to extinguish large blazes in northern Israel over the past two days, some of which were sparked by Hezbollah rocket and drone attacks.

The war cabinet met on Tuesday night to discuss the latest developments along the border with Lebanon amid criticism of the government for failing to bring security to the region after long months of conflict.
Wayahudi watapigwa mande kama mwana mke malaya
 
Kama Israeli ndiye alianza ugaidi, mbona kimataifa ukianzisha migogoro au kuyaunga mkono makundi ya kigaidi zipo sheria za kukuwajibisha? ref. Iran au Iraq.
Ni kitu gani kilikuwa ni kikwazo kwa taifa la Israeli kushtakiwa? Mbona kimataifa jambo hilo linazungumzika? Kwa nini kukimbilia matumizi ya makombora, maroketi, mibunduki n.k. n.k. i.e. kutumia nguvu ili kupata suluhisho?
UN chini ya USA haijawahi kuwa na sheria za usawa hata mara moja.
Kama unabisha fuatilia kesi alizo handle ICC/ICJ na mgogoro wa Palestina-Israel tokea 1947.
 
Quote:
"Mozambique ni vita ya maslahi.
Congo vita haiishi kwa sababu za kimaslahi, hao hao unaowaita wakubwa ndio wachochezi kuharibu amani nchi za watu."
Hii 👆 👆 👆 nimeipenda mno kwa sababu ndo ukweli wenyewe.:HYPERCLAPHD:

Hiyo ya Palestina siiafiki sana kwa sababu Mpalestina hataki kujifunza kwamba kila akitumia nguvu kupambana anapigwa na ardhi inazidi kutwaliwa i.e. inamegwa.

Kumbe angelitafuta njia nyingine mbadala (alternative B) aone kama atafanikiwa au la. Sio kung'ang'ana tu na matumizi ya ngvu ilhali ameshajua fika kwamba huyo anayepambana naye sio size yake.
Nahisi mkuu we ni mgeni kwenye huu mgogoro wa Palestina.
Tokea 1949 kina Yasser Arafat walikua wakihangaika Palestina itambuliwe kama taifa huru ila walikua wakipuuzwa na wakipewa kauli wahamie kwa waarabu wenzao ardhi zipo za kutosha.
Kila njia ya diplomasia Palestina walitumia ila waliishia kunyanyasika na hata baadhi ya viongozi wao wa PLO wenye misimamo mikali waliuliwa kimya kimya.
 
Kwamba Hezbolla itaweza kuhimili mkiki wa mabomu 60 kwa siku za ndege za IDF? au unawatakia matatizo raia wa Lebanoni? Yaani unashangaza sana
Hizbollah ina missile power ya kurusha makombora 3000+ kwa siku.
Je Israel ina uwezo wa kuya intercept makombora yote hayo!?
Mbaya zaidi makombora yenyewe ni GUIDED MISSILES yenye uwezo wa kukwepa interceptors.
Hizbollah wamepewa ADS za kulinda anga.
Uzito wa bomu pa ndege na uzito wa kombora ni tofauti.
 
Hata israel haikushindwa kwanza kusini mwa lebanon kuliharibika sana na hezbollah wengi plus raia waliuawa sana na jeshi la anga
Israel ilishindwa,kama isingeshindwa wasinge withdraw majeshi Bint Jubeir na kuacha hadi vifaru vyao.
Lengo la IDF ilikua ni kuweka buffer zone pale Bint jubeir kama walivyofanya Gollan heights,ila WALISHINDWA maana walikutana na upinzani wa Hizbollah.
Unabomoa majengo halafu unashindwa mission iliyokupeleka!?
 
Back
Top Bottom