Israel kutangaza vita na Hezbollah muda wowote kuanzia sasa

Israel kutangaza vita na Hezbollah muda wowote kuanzia sasa

Hii ndio itakua vita hasa sio ile ya Hamas na IDF kuviana hii vita Hezbollah wanaitamani sana miaka mingi wanaonekana wamejiandaa kwa muda mrefu sana
Mkuu; Hilo tusiliombee kwa sababu IDF bila shaka anamjua vizuri sana huyo mpinzani tarajiwa(Hezbollah) kuliko Hezbollah anavyojifahamu yy mwenyewe.
Hiyo haitakuwa ni vita bali ni maangamizi. Nani abaki kusimulia kilichotokea - Hezbollah au IDF ????. Tutasubiri kipenga cha mwisho.
 
Kama Israeli ndiye alianza ugaidi, mbona kimataifa ukianzisha migogoro au kuyaunga mkono makundi ya kigaidi zipo sheria za kukuwajibisha? ref. Iran au Iraq.
Ni kitu gani kilikuwa ni kikwazo kwa taifa la Israeli kushtakiwa? Mbona kimataifa jambo hilo linazungumzika? Kwa nini kukimbilia matumizi ya makombora, maroketi, mibunduki n.k. n.k. i.e. kutumia nguvu ili kupata suluhisho?
Si kila ambacho vyombo vya habari vikubwa vinazungumza ikawa ni kweli, maslahi yapo mbele zaidi. Hata mashirika ya kimataifa yanatumika katika unyonyaji.

Vita inayoendelea middle east ni vita dhidi ya waliokataa unyanyasaji na unyonyaji dhidi ya wezi.

Mozambique ni vita ya maslahi.
Congo vita haiishi kwa sababu za kimaslahi, hao hao unaowaita wakubwa ndio wachochezi kuharibu amani nchi za watu.

Palestine wanapambana dhidi ya weI wa ardhi yao. Full Stop.

Hata kwenye bible zilikuwepo dola kubwa zenye nguvu lakini walikua waovu wakubwa.
 
Kuna nchi moja inataka kuiga Israel bahati mbaya amezunguukwa na wanaojitambua na kila akiingiza watu wanachinjwa myakimyaki mpaka anaogopa
Huyo achana naye - ni mchovu ana fumble tu hajui anachokifanya.
 
Mkuu; Hilo tusiliombee kwa sababu IDF bila shaka anamjua vizuri sana huyo mpinzani tarajiwa(Hezbollah) kuliko Hezbollah anavyojifahamu yy mwenyewe.
Hiyo haitakuwa ni vita bali ni maangamizi. Nani abaki kusimulia kilichotokea - Hezbollah au IDF ????. Tutasubiri kipenga cha mwisho.
Sasa kwa hali ilivyo kaskazini mwa israel, Israel anajipanga jinsi ya kulipiza kisasi kwa akili mno wakati Mkuu wa intelijensia anawajua udhaifu wa vikosi vya miguu, anga vya israel pamoja na mifumo miwili ya ulinzi wa anga
 
Mkuu, Hezbollah kupiga ndani ya Israel sio hoja sana- inawezekeana. Hoja itakuja pale Israel atakapokuwa anaonesha ghadhabu yake dhidi ya Hezbollah.
Kumbuka kama ilivo kwa HAMAS ambao wapo ndani ya nchi ya Palestina; ndivyo itakavyokuwa kwa Hezbollah ambao wapo ndani ya nchi ya Lebanon.
Palestina kama nchi imeharibiwa sana na ndivyo itakuwa kwa Lebanon. Hayo makundi 2 ya kigaidi yamepelekea kutokea kwa uharibifu mkubwa na vifo vingi vya raia ndani ya nchi husika kuyahifadhi makundi hayo. Sijui ni kwa nini na ni kwa maslahi ya nani nchi za Palestina na Lebanon zinayakumbatia makundi hayo ya kigaidi.
Hawafahamu Hezbollah wewe unadhani ni Hamas hao 😂

Soma historia Israel alikimbia mwenyewe ajaribu kuipiga Lebanon huone moto wake.
 
Si kila ambacho vyombo vya habari vikubwa vinazungumza ikawa ni kweli, maslahi yapo mbele zaidi. Hata mashirika ya kimataifa yanatumika katika unyonyaji.

Vita inayoendelea middle east ni vita dhidi ya waliokataa unyanyasaji na unyonyaji dhidi ya wezi.

Mozambique ni vita ya maslahi.
Congo vita haiishi kwa sababu za kimaslahi, hao hao unaowaita wakubwa ndio wachochezi kuharibu amani nchi za watu.

Palestine wanapambana dhidi ya weI wa ardhi yao. Full Stop.

Hata kwenye bible zilikuwepo dola kubwa zenye nguvu lakini walikua waovu wakubwa.
Quote:
"Mozambique ni vita ya maslahi.
Congo vita haiishi kwa sababu za kimaslahi, hao hao unaowaita wakubwa ndio wachochezi kuharibu amani nchi za watu."
Hii 👆 👆 👆 nimeipenda mno kwa sababu ndo ukweli wenyewe.:HYPERCLAPHD:

Hiyo ya Palestina siiafiki sana kwa sababu Mpalestina hataki kujifunza kwamba kila akitumia nguvu kupambana anapigwa na ardhi inazidi kutwaliwa i.e. inamegwa.

Kumbe angelitafuta njia nyingine mbadala (alternative B) aone kama atafanikiwa au la. Sio kung'ang'ana tu na matumizi ya ngvu ilhali ameshajua fika kwamba huyo anayepambana naye sio size yake.
 
Hawafahamu Hezbollah wewe unadhani ni Hamas hao 😂

Soma historia Israel alikimbia mwenyewe ajaribu kuipiga Lebanon huone moto wake.
Haya tusubiri. Ila vita sio nzuri kamwe. Tumwombe sana Mungu atuepushe na hilo.
 
Hezbollah wamerusha missiles kaskazini na kuchoma misitu, watu kadhaa wakiwemo askari wa IDF wamedhurika na moshi hivi juzi.

Hezbollah anaitafuta Israel lakini naona kama Israel wanakuwa wazito.

Israel ikiingia vitani na Hezbollah ni habari nyingine.
Hezbollah wana missiles kufika mahala popote ndani ya Israel, missiles zao ni ngumu kuzuilika na iron dome
Kuzidi zile 300 za Iran?
 
Kwamba Hezbolla itaweza kuhimili mkiki wa mabomu 60 kwa siku za ndege za IDF? au unawatakia matatizo raia wa Lebanoni? Yaani unashangaza sana
Israel imepiga zaidi ya hayo mabomu kwa zaidi ya uzito wa atomic bomb liliopigwa pale Hiroshima kwenye kaeneo kadogo kama Gaza.
Je amewamaliza Hamas?

Toka ww2 Israel imevunja rekodi kwa kutumia uzito mkubwa wa bombs kwenye eneo dogo la Gaza, hadi ICJ kuingilia usifikiri ni mchezo.

Alijitia anawamaliza Hamas, Je wamekwisha, cha ajabu vifaru vyake na IDF soldiers wanauawawa huko Rafah.

Sasa we unazungumzia mabomu 60.

Israel itaweza kuhimili Tel Aviv kushambuliwa kwa mizinga mizito?
 
Mkuu, Hezbollah kupiga ndani ya Israel sio hoja sana- inawezekeana. Hoja itakuja pale Israel atakapokuwa anaonesha ghadhabu yake dhidi ya Hezbollah.

Kumbuka kama ilivo kwa HAMAS ambao wapo ndani ya nchi ya Palestina; ndivyo itakavyokuwa kwa Hezbollah ambao wapo ndani ya nchi ya Lebanon.

Palestina kama nchi imeharibiwa sana na ndivyo itakuwa kwa Lebanon. Hayo makundi 2 ya kigaidi yamepelekea kutokea kwa uharibifu mkubwa na vifo vingi vya raia ndani ya nchi husika kuyahifadhi makundi hayo.

Sijui ni kwa nini na ni kwa maslahi ya nani nchi za Palestina na Lebanon zinayakumbatia makundi hayo ya kigaidi.
Unafikilia Israel anaweza akaingia ndani ya Lebanon na kujimwambafai kama anavyofanya Gaza???
 
Kwamba Hezbolla itaweza kuhimili mkiki wa mabomu 60 kwa siku za ndege za IDF? au unawatakia matatizo raia wa Lebanoni? Yaani unashangaza sana
Unajua Jamaa nao wana kitu gani wameficha mpaka siku ya real battle?? Mi sipebdi vita kabisa maana madhara ni makubwa mnoo maana Hezbuollah wana makombora yasiozuilila na mfumo wa ulinzi wa kisrael na pia uwezo wa israel kijeshi ni mkubwa na hapendi kushindwa hapo ndio shida sasa
 
Unajua Jamaa nao wana kitu gani wameficha mpaka siku ya real battle?? Mi sipebdi vita kabisa maana madhara ni makubwa mnoo maana Hezbuollah wana makombora yasiozuilila na mfumo wa ulinzi wa kisrael na pia uwezo wa israel kijeshi ni mkubwa na hapendi kushindwa hapo ndio shida sasa
Kupigana na hamas tu, Israel inaomba mksada ya siraha na pesa kila siku. Je, akianzisha muziki na hezibollah hli itakuwaje?
 
Back
Top Bottom