Ndicho kinachofuata! Gallant ni muoga sana. Defence Minister linatakiwa liwe jabali lisilocheka na kima wala kutazama usoni.Kipigo kinafuata kwa Iran
Mungu ni mkubwa sana , kwanza gantz kamwambia ukweli akaamua kuachana na upumbavu akajiuzulu
Mungu wa waisraeli ni mkuu (supremacy God ) sio mungu wa waislamu ambaye ni mkubwa ( big,huge, Volume) in high size , ukiwa mkubwa huna la maana ndio maana Mungu wa waislamu anashindwa kila jambo ,Mungu wa waisraeli ni mkuu ana mamlaka na utiishoMungu ni mkubwa sana , kwanza gantz kamwambia ukweli akaamua kuachana na upumbavu akajiuzulu
Sasshivi gallant ambaye alishampinga mara nyingi hadharani na kumuita netanyahu muongo, wote tulijua kama anavizia kumfukuza ,ila haitobadilisha kitu kama netanyahu ni muongo na kafeli tayari ,anatapatapa tu
Mungu yupi?Mungu wa waisraeli ni mkuu (supremacy God ) sio mungu wa waislamu ambaye ni mkubwa ( big,huge, Volume) in high size , ukiwa mkubwa huna la maana ndio maana Mungu wa waislamu anashindwa kila jambo ,Mungu wa waisraeli ni mkuu ana mamlaka na utiisho
USSR
Huyo unaemwita mungu wa israhell alimuua na mungu wakoMungu wa waisraeli ni mkuu (supremacy God ) sio mungu wa waislamu ambaye ni mkubwa ( big,huge, Volume) in high size , ukiwa mkubwa huna la maana ndio maana Mungu wa waislamu anashindwa kila jambo ,Mungu wa waisraeli ni mkuu ana mamlaka na utiisho
USSR
Lakini Gaza ishakuwa magofu kitambo, mkuu.Katika suala ambalo halitakuja kutokea ni israhell kuishinda hamas paka mwanasiasa na awe makini mgambo wake wasije kimbia uwanja wa vita tuuu israhell ukihadithiwa na biibisii au baadhi ya wachafuzi hapa jf unaweza ukakufa
Katika suala ambalo halitakuja kutokea ni israhell kuishinda hamas paka mwanasiasa na awe makini mgambo wake wasije kimbia uwanja wa vita tuuu israhell ukihadithiwa na biibisii au baadhi ya wachafuzi hapa jf unaweza ukakufa
Kwa nyie wakristo mna haki ya kusema hivyo maana kama hadi waliweza kumsulubu mungu wenu yesu, mna kila sababu ya kuwatukuza ,ila mungu wa wauslamu ni mkubwa na wa haki ndio maana unaona pamoja na masilaha na uongo wao wote ila wameshindwa kuvunja imani ya waislamu kwa mungu wao ,na hadi wazungu wengi wanaishia kuupenda na kuukubali uislamu kutokana na imani thabiti ambayo mungu wetu ametupaMungu wa waisraeli ni mkuu (supremacy God ) sio mungu wa waislamu ambaye ni mkubwa ( big,huge, Volume) in high size , ukiwa mkubwa huna la maana ndio maana Mungu wa waislamu anashindwa kila jambo ,Mungu wa waisraeli ni mkuu ana mamlaka na utiisho
USSR