Israel: Netanyahu amfukuza kazi Waziri wa Ulinzi,Yoav Gallant

Israel: Netanyahu amfukuza kazi Waziri wa Ulinzi,Yoav Gallant

Hauwezi kuifuta HAMAS ama HEZBOLLAH Kwa kuwaua viongozi... Kumbuka hao viongozi walikuwa watoto.
images (5).jpeg
 
Operation inaendelea.
Kamanda mkuu wa Hezbollah aliyekuwa na ugangwe kafa akipiga drone kwa fimbo🥹

Mkuu wa Hamas kafia nyumba za wageni Iran akizungukwa na ulinzi mkali ila haukumsaidia.
Wiki hii tu wanajeshi wangapi wameshajiua wa Israel? Siku zote mkuu haki haipingiki, na mwenyezi Mungu ni Mkubwa kuliko Chochote.
 
Wanaukumbi.

Netanyahu kamfukuza kazi waziri wa ulinzi Yoav Gallant kutoka wadhifa wake wameshindwa kuelewana Gallant, kamwambia Netanyahu vita tumeshindwa

Inakisiwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa sasa wa Israel Israel Katz atachukua nafasi yake.
===============
Netanyahu dismissed defense minister Yoav Gallant from his position.

It is being speculated that current Israeli Foreign Minister Israel Katz will replace him.


View: https://x.com/currentreport1/status/1853860552524874235?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

View: https://x.com/aryjeay/status/1853862899527368837?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


Hawatatokea kwenye huu Uzi Yoav Gallant, MK254, Mzee Kigogo, Moisemusajiografii wala wale wasayuni nguli wa Chole.
 
Wiki hii tu wanajeshi wangapi wameshajiua wa Israel? Siku zote mkuu haki haipingiki, na mwenyezi Mungu ni Mkubwa kuliko Chochote.
Huu mtazamo wa Mungu mkubwa kidogo uikoseshe Pakistan bomu la nyuklia. Wenzao Wahindi walikuwa busy na sayansi na teknolojia, Wapakistani wanafanya research ya majini na sijui nani kupaa mbinguni. Kuja kushtuka wakagundua swala tano na nyuklia ni mbingu na ardhi, wakawezesha wanasayansi halisi.

Israel iko hapo kila mwaka inashinda nyie mnazidi kumtaja Mungu. Israel hapigwi kwa imani, ni silaha, mbinu, tech, washirika na mikakati.
 
Mungu wa waisraeli ni mkuu (supremacy God ) sio mungu wa waislamu ambaye ni mkubwa ( big,huge, Volume) in high size , ukiwa mkubwa huna la maana ndio maana Mungu wa waislamu anashindwa kila jambo ,Mungu wa waisraeli ni mkuu ana mamlaka na utiisho

USSR
Wewe Mungu wako kafaulu wapi?
 
Mbona mambo mengi sana jamani? Huku hatujamalizana na Baltasar wa Guinea umekuja uchaguzi wa US, hapa tunasubiri UEFA sisi wapenzi wa mpira mara mambo ya Netanyahu na Gallant tena!
Afrika haiboi wala haichosi...wazee wa kupenda chini tuu
 
Yoav Gallant aliwahi kufutwa kazi kama Waziri wa Ulinzi wa Israel na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu mnamo Machi 2023.

Gallant alifutwa baada ya kutoa wito wa kusitisha mabadiliko yaliyopendekezwa kwenye mfumo wa mahakama wa Israel, jambo lililopingwa vikali na umma.

Jambo hili ilisababisha maandamano makubwa nchini kwao, huku wananchi wakieleza wasiwasi kuhusu ushawishi wa serikali kwenye mahakama, wakiona mabadiliko hayo kama tishio kwa demokrasia ya Israel.
 
Wanaukumbi.

Netanyahu kamfukuza kazi waziri wa ulinzi Yoav Gallant kutoka wadhifa wake wameshindwa kuelewana Gallant, kamwambia Netanyahu vita tumeshindwa

Inakisiwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa sasa wa Israel Israel Katz atachukua nafasi yake.
===============
Netanyahu dismissed defense minister Yoav Gallant from his position.

It is being speculated that current Israeli Foreign Minister Israel Katz will replace him.


View: https://x.com/currentreport1/status/1853860552524874235?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

View: https://x.com/aryjeay/status/1853862899527368837?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Washatibuana hawa mazayuni....
 
Hawa mayahud waga ni wajinga kila siku wanaandamana visivyo na faida hakuna maandamano yao yaliyowahi kufanikiwa bibi ashawakamata wao watulie tu, wamwachie kazi Iran

Settlers begin blocking main roads in "Tel Aviv" in protest of Netanyahu firing his minister of war Yoav Gallant.
 
Kwa nyakati hizi za vita amempumzisha kwa maelewano, na si kama vyombo vya habari vinavyokuza jambo kama neno KUMFUKUZA
 
Sina la kusema tena, mkuu. Tukubaliane kutokubaliana. Muda utasema vizuri. Kesho Trump, baada ya ushindi, anatoa maelekezo ya kukamilisha mara moja chokochoko za hapo Mashariki ya Kati.

Jamaa anakuja na kasi ya 6G+
Na akishinda Kamala Harris?
 
Back
Top Bottom