Israel: Netanyahu amfukuza kazi Waziri wa Ulinzi,Yoav Gallant

Israel: Netanyahu amfukuza kazi Waziri wa Ulinzi,Yoav Gallant

Je vijana wa kwenda huko vitani wapo?, tatizo si waziri wa ulinzi.
 
Wote ni washenzi Kamala na Trump lakini siku zote mimi siwezi kumkubali mwanamke apewe majukumu ya nchi bora Trump aingie japo najua atatusagia sana waislam ila tutakomaa nae kiume, wamarekani watakua wajinga kumpa nchi mwanamke
 
Hii taarifa mbona kama ya kichochoroni. Kwenye vyombo vikubwa vya habari vya magharibi hii taarifa haipo au sijaiona kabisa...
Labda ni fake news
 
Wanaukumbi.

Netanyahu kamfukuza kazi waziri wa ulinzi Yoav Gallant kutoka wadhifa wake wameshindwa kuelewana Gallant, kamwambia Netanyahu vita tumeshindwa

Inakisiwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa sasa wa Israel Israel Katz atachukua nafasi yake.
===============
Netanyahu dismissed defense minister Yoav Gallant from his position.

It is being speculated that current Israeli Foreign Minister Israel Katz will replace him.


View: https://x.com/currentreport1/status/1853860552524874235?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

View: https://x.com/aryjeay/status/1853862899527368837?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

🤣🤣Wameanza kufarakana Iran piga majangili hayo
 
⚡️BREAKING: Taarifa Mpya ilifichuliwa kuhusu Netanyahu na Gallant.

Kiebrania Hadashut Bezaman, mojawapo ya akaunti kubwa zaidi za habari za Kiebrania kwenye Telegram, anatoa maoni kuhusu kutimuliwa kwa Yoav Gallant, na kufichua mambo ya kushangaza, huku mivutano ya kisiasa ikianza kuongezeka.

"Waziri Mkuu anapojaribu kuficha uhalifu katika ofisi yake na kutoa zawadi kwa Haredim, anapaswa kuondolewa kabisa. Huu ni usaliti wa askari na wapiganaji, na juu ya yote, usaliti wa watu wa Israeli na usalama wa raia wake.

Netanyahu ni tishio la usalama kwa taifa la Israel. Ondoka, yeye hamjali mtu yeyote!

Netanyahu alimshutumu Gallant kwa kusaidia adui, lakini yeye ndiye anayeficha chini ya udhibiti ni kiasi gani Israeli imedhuriwa na Iran. Jua kwamba Israeli iliathiriwa sana na shambulio la Irani, na ni marufuku kutwiti kuhusu kiwango hicho, ndiyo maana Netanyahu anatetemeka kwa hofu ya Iran.

Netanyahu ni mwongo. Iran ina mabomu ya nyuklia, na ameshindwa katika kila suala la usalama. Wanaogopa uwezo wa nyuklia wa Iran, ndiyo maana hajachukua hatua dhidi ya Iran.

Netanyahu amepoteza maisha ya wapiganaji wa IDF ambao walimwangukia yeye na mkewe kama dikteta. Sasa, watajaribu kumfukuza Mkuu wa Majeshi na mkuu wa Shin Bet.

Umewauza wapiganaji wetu leo kwa nafasi ya Haredim na mke wako!

Je Israel Katz si mwoga aliyerejesha maji na umeme Gaza? Hivi ndivyo serikali iliokolewa tena kutokana na kuanguka, lakini wamevunja usalama na jeshi.

Haredim walimpeleka Gallant nyumbani, na Netanyahu, mwoga, akarudi nyuma.

Gallant alifukuzwa kazi bila uhalali wowote wa kiusalama; vinginevyo, tungekuwa tunashughulikia masuala ya usalama katika ofisi ya Netanyahu.

Subiri tu, na utajionea!

Kwa sababu ya udhibiti na maagizo ya kizuizi, hujui jinsi uchunguzi ulivyo nyeti kwa mtazamo wa usalama.

Hiyo ndiyo sababu ya kufukuzwa kazi.

Ukigundua, utaelewa! Hata walitayarisha nyenzo kwa ajili ya kamati za uchunguzi na kuzivuruga, ikiwa ni pamoja na tuhuma za kuibiwa na kuibiwa hati katika ofisi ya Netanyahu.

Uhai wa kisiasa kabla ya shambulio la Iran.

Na usikilize kwa uangalifu: kombora moja ambalo halijazuiliwa litaua makumi au mamia ya raia.

Nani atakulinda, Katz? Haredim? Wanachama wa serikali ambao hawajatumikia jeshi?"
 
Keep this in mind.

ISRAEL ya JF imeshindwa vita.

HAMAS ya JF ni nouma.

HEZBOLLAH ya JF ni moto wa kuotea mbali.
 
Kwa hiyo Hamas kushindwa hadi kila Mpalestina pale Mashariki ya Kati aliwe kichwa? Mbona ni hatari sana.

Kwa sisi wachambuzi makini, ile wiki moja tu ya mwanzo mtikasi ulipoanza katika harakati za kuwafurusha Hamas Israeli, tulijua ngoma ni nzito kwa Palestina na Hamas wote.

Adui anakutafuta, wewe unajificha? Hapo ni suala la muda tu, mtu analiwa kichwa.
Kwa akili zako kama firigisi kuuawa kwa raia ndio kushinda vita!?
Kama Hamas wanajificha hao wanajeshi elfu sabini wa Israel waliopata ulemavu wa kudumu wakipigana vita walipatikanaje!??
 
Huu mtazamo wa Mungu mkubwa kidogo uikoseshe Pakistan bomu la nyuklia. Wenzao Wahindi walikuwa busy na sayansi na teknolojia, Wapakistani wanafanya research ya majini na sijui nani kupaa mbinguni. Kuja kushtuka wakagundua swala tano na nyuklia ni mbingu na ardhi, wakawezesha wanasayansi halisi.

Israel iko hapo kila mwaka inashinda nyie mnazidi kumtaja Mungu. Israel hapigwi kwa imani, ni silaha, mbinu, tech, washirika na mikakati.
Unajifariji!?
Israel inashinda kila mara inashinda nini!?
Labda iwe inashinda njaa.
 
Nyumba Haipo Sawa
Ndani Kunafuka Moshi
Siasa za Israel ni za ajabu sana nchi ilitakiwa kuwa pamoja wakati huu wa vita ilacha ajabu Kuna wapinzani kama wote kuanzia wanasiasa ngazi zajuu mpaka wananchi wa kawaida hii sio sawa ni hatar sana kwa Usalama wa nchi.
 
Back
Top Bottom