FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Mnijuwa sababu ya kufukuzwa galant?
Kamwabia nyau tunappigwa na hakuna njia ya kushinda, vijana wanakwisha na askari wa kukodi wanagoma kuja kupigana, mimi nanyanyua bendera nyeupe.
Nyau kaona hiyo ni aibu kubwa kwake, kamfukuza jamaa, na yeye jhawezi kuwachia ngazi, mashtaka ya ufisadi yanamngoja ayajibu hapo kwao, na mashtaka ya mauwaji ya Kimbari (genocide) yanamngoja The Hague.
Hapo alipo anatamani auliwe.
Kamwabia nyau tunappigwa na hakuna njia ya kushinda, vijana wanakwisha na askari wa kukodi wanagoma kuja kupigana, mimi nanyanyua bendera nyeupe.
Nyau kaona hiyo ni aibu kubwa kwake, kamfukuza jamaa, na yeye jhawezi kuwachia ngazi, mashtaka ya ufisadi yanamngoja ayajibu hapo kwao, na mashtaka ya mauwaji ya Kimbari (genocide) yanamngoja The Hague.
Hapo alipo anatamani auliwe.