Israel ni nchi ya Wayahudi - Netanyahu

Ni kweli yuko sawa.
Hivi ili kuepusha haya maafa kila siku kwa nini tu sisi Tanzania tukawagawia Israel mikoa ya nyanda za juu kusini minne waje wahamie huku waanzishe makazi ya kudumu huko? Kule wawaachie waparestina.

Kwanza linchi lenyewe likubwa hata uendeshaji limetushinda. Miaka zaidi ya 50 sasa ni kama bora hata kipindi cha ukoloni kulikuwa na umeme wa kutosha kila palipo na watu. Umasikini ndio kabisa umetamalaki. Hatuna hata dila,tupo tu,hatujui hata tunajikwamuaje na huu Umasikini na haya matatizo ya kila siku.

Kuna faida ya kuwa karibu nao. Watatupa challenge sana kimarndeleo.
(Natania tu japo ndio ukweli).
 
Mandela alimtosa Nyerere? Wacha wewe. Mandela kalamba Nobel, kamaliza apartheid, heshima yake duniani Haina mfano nk, huyo mjinga na mpuuzi kuliko wewe?!

Itakuwa buza ya wapi ndugu?
kitu gan kilibadilika ndan ya SA baada ya Mandela kupewa nchi?
 
hahaaa akili zako bana haziko sawa
 
Acha hizo ndugu. Mtadanganyana hizo huko huko. Mandela alikuwa jembe. Wewe na fake ID kumvaa huyo hujihurumii?
Mandela hajawahi kuwa jembe.
Alisifiwa zaidi na wanyonyaji wa Afrika ikiwamo makaburu.
Sababu alifuata matakwa ya makaburu.
Sifa walizompa ilikuwa ni kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa
 
Kila mdu akipadai kwao miaka 4000 iligopita patakalika kweli Duniani
Wengi kwao hawapajui. maana hakuna hata kitu kimoja cha kihistoria walichoacha babu zao.
Tofauti na wayahudi wanahistoria na eneo lao na ushahidi wanao.
 
Kumbe waarabu wahamiaji ndio walijipachika jina la wapalestina na kudai hiyo ardhi ni yao kumbe waisrael wakomae kabisa hao wapalestina warudi kwenye mataifa ya kiarabu maanake ndiko walikotoka.
 
Yote tisa, nothing justifies kinachoendelea mauaji ya watoto wadogo na kama jana wamepiga hospitali na kuua watu 500
Wameuana wenyewe, kombora lililorushwa na magaidi ya Islamic Jihad.
 
Stori ya upande mmja,tupeni stori ya Wapalestina maana hiyo ya Netanyahu ni ya kujitetea.

Mwenye stori ya upande wa pili nae aiweke ili tulinganishe.

Tujue Mpalestina akitoka wapi maana isijekuwa wakati wa tawala zote hizo za kale na Wapalestina walikuwepo na kutawaliwa pia au isijekuwa ni ugomvi wa watu wa familia Moja.

Kusema Wayahudi walifurushwa na Wapalestina/Waarabu inaleta ukakasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…