bin haroub
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,662
- 812
Ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sanaNyie mumeshikilia hadi Watanganyika, wanahusiana vipi na ujinga wenu, mpigwe hadi mkome....
Vita haina macho hayo ndiyo matokeo yakeKuna kipindi kimoja kinarushwa na Al jazeera kinaitwa Witness. Nimekiona jana nimeumia sana. Watoto wanateseka sana kwenye hiyo vita. Mungu asaidie haya yaishe.
Vita hii inasikitisha sana. Wanaoumia ni watu wasio na hatia ila mimi nawalaumi sana HAMAS maana njia wanayotumia sio sahihi japo ni kweli wanadai haki yao. Ila hawakupaswa kufanya walilofanua tarehe 7 October. Halafu wanakimbia kujificha kwa Raia na kuanza kutafuta huruma kwa Ulimwengu mzima. This is SadKuna kipindi kimoja kinarushwa na Al jazeera kinaitwa Witness. Nimekiona jana nimeumia sana. Watoto wanateseka sana kwenye hiyo vita. Mungu asaidie haya yaishe.
Kumbe wewe Mkenya wala sishangai nyie mna roho mbaya mnoo nilikuwa najuuliza kuna Mtanzania wa hivi kumbe sijui Jaruo au mkikuyu. Endelea kushangilia vifo vya Gaza.
Siku 4 zilizopita IDF walitamka wameshauzingira Gaza kikamilifu.Baadae Hamas wakasema wapo pembezoni sana mpaka nikasema huenda Hamas hawakuona.Leo tena Israel wanasema kama juzi.Maneno ya Hamas yatakuwa yana mashiko zaidi.Baada ya kuigawa Gaza vipande viwili, sasa magaidi yaliachwa kaskazini, Israel wamekua wakiyabamiza bila upinzani wa maana na tayari kuingia mjini kati usiku wa leo.....
=================
Israeli troops could enter Gaza City later today, according to Israeli media, raising the prospect of street fighting with Hamas terrorists hiding in a vast network of tunnels.
Israel Defence Forces spokesman Rear-Admiral Daniel Hagari described the war as reaching a “significant stage”, with Israeli troops also now having reached the coast south of Gaza City.
“Now there exists a south Gaza and a north Gaza,” Hagari said, adding that a route remained open for civilians to flee to the south.
Israeli troops unleashed another overnight bombardment from land, sea and air as Binyamin Netanyahu defied calls for a ceasefire and vowed to continue fighting until hostages held by Hamas are freed.
Explosions lit up the sky above the Palestinian territory from a heavy wave of attacks after local internet and mobile services were completely severed on Sunday.
![]()
International calls for ceasefire in Israel-Gaza war — as it happened
Key moments Gaza’s Rafah crossing reopensIsraeli troops surround Gaza City Jordan drops aid to GazaForeign Office withdraws Lebanon staffwww.thetimes.co.uk
Huyo mwisrael anayewasapoti Hamas hajielewi, bila jeshi imara la Israel hakuna IsraelWewe punguania kabisa ushabiki mandazi unajiona Muisrael mweusi wa Rombo.
Msikilize Muisrael halisi nyie bakieni na ushabiki mandazi watoto wanauliwa eti mnashangilia.
JEWISH SON OF A HOLOCAUST SURVIVORS SPEAKS OUT AGAINST THE GENOCIDE IN GAZA
“I’m Jewish, I’m Israeli, my parents were the only survivors of their families from the Holocaust.
I’m not going to support a genocide , am I ?”
Siku 4 zilizopita IDF walitamka wameshauzingira Gaza kikamilifu.Baadae Hamas wakasema wapo pembezoni sana mpaka nikasema huenda Hamas hawakuona.Leo tena Israel wanasema kama juzi.Maneno ya Hamas yatakuwa yana mashiko zaidi.
Ua hayo MAGAIDI mwaga sumu ua hamas na washirika wake.
Israel imwage sumu iue Hadi Mendes .
Sitaki kuona hata Mendes mwenye asili ya Gaza
Hii vita israel inakutana na resistance kali, sio kirahisi.Hivi Gaza kuna Gaza Mjini na Gaza vijini.
Angalia hiyo video utatuambia hapo ni Gaza mjini au Gaza Kijijini.
HAMAS VIDEO SHOWING ITS SOLDIERS FIGHTING POINT BLANK RANGE WITH ISRAELI IOF SOLDIERS INSIDE GAZA CITY
Majamaa Yana roho ngumu na ya kikatili ajabu, haiwezekani nikiwa kama mzazi napewa onyo kwamba hameni hapo muda sio mrefu tunashambulia kwa mabomu alafu nakomaa hapo hapo kisa tu nimeambiwa na Hamas nisiondoke Kisha yakitokea maafa nabeba vitoto vyangu juu juu kuwaonyesha waandishi wa habari, ni upumbavu kabisa.Hamas wanatumia picha za watoto kutafuta huruma za ulimwengu
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Usiiamini sana AlJazeera Ni wapumbavu sana wana rusha propaganda za Hamas tu.. na kuiponda mno kupitiliza Israel even Mateka hawazungumzii kabisa wao kila siku wanauliwa tu raia watoto Hospital no Mjeshi yeyote aliyekufa upande wa Hamas Jiulize! wao wanasema raia tu ndio wanauliwa hadi leo wanasema lile bomu hospital ya Anglican iliua wagonjwa 500 na hawajawahi kanusha uongo uleKuna kipindi kimoja kinarushwa na Al jazeera kinaitwa Witness. Nimekiona jana nimeumia sana. Watoto wanateseka sana kwenye hiyo vita. Mungu asaidie haya yaishe.
nenda ukamwage sumu wewe unasubiri nini maana wenzio huko wanajuta kuingia vitaniUa hayo MAGAIDI mwaga sumu ua hamas na washirika wake.
Israel imwage sumu iue Hadi Mendes .
Sitaki kuona hata Mendes mwenye asili ya Gaza
Huyu anaeongea apa na kupandikiza chuki ni nani? Na anamtaja na mungu kabisaEnyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu. (Quran)
Allah hajawahi umba ata nzi yeye mwenyewe Aya kibao anamuomba MunguNdio aliemuumba your mother.