Israel wanaingia Gaza mjini kati usiku wa leo

Israel wanaingia Gaza mjini kati usiku wa leo

Sijui kama una familia au unaangalia habari kweli unaamini hamna vifo vya watoto Gaza ni propoganda daah! Huo ulioleta ndiyo ushahidi wako .
Hao hamasi wanatumia watu kama ngao na wanajificha kwenye majengo ya kijamii. Niambie Hilo Bomu utakalotuma lichague hamasi halafu Liache raia.
 
Kuna kipindi kimoja kinarushwa na Al jazeera kinaitwa Witness. Nimekiona jana nimeumia sana. Watoto wanateseka sana kwenye hiyo vita. Mungu asaidie haya yaishe.
nawashangaa sana hawa watu wanaoshabikia udhalimu wa israel
 
Na wewe uwe unatumia. akili zako unameza kila propaganda kwa hiyo Hamas uwa wanajificha kwa watoto na wanawake mabomu yakirushwa yanachagua watoto na wanawake wao wanapona? Hivi huko shuke mlikuwa mnaenda kusoma ujinga?
Hamas hawaponi pia. Wewe ndo umesomea ujinga. Wewe utamtambuaje Hamas? Mungu wao amewapa Amri kusafisha Gaza. Wewe Kaa kimya subiri wateule watekeleze Maagizo ya Mungu.
 
Tuloshasema Hatutaki Raia Gaza. Tuna Operesheni maalum ya Kuua Magaidi ya Hamas. Awe mwanamke, Mzee, mtoto madam hakuondoka Gaza huyo ni Gaidi atauawa.
Sasa Hamas sio Jeshi na hawana kambi Wala vituo kusema Israel aende kushambulia kambi zao.

Wao wanajificha mitaani kwenye watu.

Ndio maana Israel alisema raia wote wahamie kusini mwa Gaza Ili Gaza ibaki nyeupe watu wapambane cha kushangaza hao Hamas walikuwa wanaenda kujidanganya Hadi kwenye hiyo misafara ya civilians. Ungekuwa wewe ni Israel ungefanya nini ?
 
Wewe una utoto bado na ushabiki mandazi…

UN Secretary-General Antonio Guterres warns that Israel’s relentless bombardment of the Gaza Strip is turning the enclave into a graveyard of children, adding that no party in a war is above international humanitarian law.
Hivi hizi kauli zake huwa zinasaidia nini sasa kama huwa akiongea hakuna hata anaestuka watu wanaendelea kuvurumisha mabomu tu kama kawaida?
 
Wewe punguania kabisa ushabiki mandazi unajiona Muisrael mweusi wa Rombo.

Msikilize Muisrael halisi nyie bakieni na ushabiki mandazi watoto wanauliwa eti mnashangilia.
JEWISH SON OF A HOLOCAUST SURVIVORS SPEAKS OUT AGAINST THE GENOCIDE IN GAZA

“I’m Jewish, I’m Israeli, my parents were the only survivors of their families from the Holocaust.

I’m not going to support a genocide , am I ?”
Wewe ushaanza kumbagua hata mtanzania mwenzako wa rombo
 
Al Jazeera ni channel inayopigania maslahi ya waislam wala usipate nao shida. Nasubiria kipindi kinachoangazia uhalifu wa Hamas kama kitakuwepo.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Hakika hakiwezi kuwepo na hawatumii kabisa neno ugaidi kwa HAMAS wamekuwa biased hadi wanakera.Ukitaka kuangalia propaganda za Hamas wewe tune to Aljazeera,huwa naangalia hadi nacheka.
 
Magaidi Ni waisrael wanao ua wanawake, vikongwe na watoto. Niambie justification ya kuua watoto, kuwazimia umeme, kuwanyima dawa , chakula na maji.
Hakuna ukatili zaidi ya huo.
Kama hao wanawake wamekubali kuwaficha hao Hamas kwa hiari yao wenyewe na kuwatanguliza watoto wao ulitaka Israel iwafanyeje? Mbona kwa idadi ya waliokufa wanatajwa wanawake na watoto tu,ile number inayobaki ni kina nani?
 
Na wewe uwe unatumia. akili zako unameza kila propaganda kwa hiyo Hamas uwa wanajificha kwa watoto na wanawake mabomu yakirushwa yanachagua watoto na wanawake wao wanapona? Hivi huko shuke mlikuwa mnaenda kusoma ujinga?
Mkuu hebu tuambie kwa hiyo hao 10k+ waliokufa wote ni kina mama na watoto tu?
 
nenda ukamwage sumu wewe unasubiri nini maana wenzio huko wanajuta kuingia vitani
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu. (Quran)
 
Wewe una utoto bado na ushabiki mandazi…

UN Secretary-General Antonio Guterres warns that Israel’s relentless bombardment of the Gaza Strip is turning the enclave into a graveyard of children, adding that no party in a war is above international humanitarian law.
If evil only wore uniform, we could expire it for good. But at last evil is deceptive & deceitful
 
Mkuu hebu tuambie kwa hiyo hao 10k+ waliokufa wote ni kina mama na watoto tu?
Eh kwahiyo wanao takiwa kufa ni wanaume au kila mwanaume aliko gaza basi ni mpiganaji wa Hamas?
 
Hakika hakiwezi kuwepo na hawatumii kabisa neno ugaidi kwa HAMAS wamekuwa biased hadi wanakera.Ukitaka kuangalia propaganda za Hamas wewe tune to Aljazeera,huwa naangalia hadi nacheka.
Vyombo vya habari vingi havitumii neno ugaidi ,hata hivyo vyombo vya habari vya kimagharibi havitumii neno ugaidi kwa sababu sio kazi yao kutafsiri nani ana sitahili kuitwa gaidi.

Alafu kingine Al Jazeera ni shirika kutoka kwenye nchi inayo itambua Hamas kama chama cha kisiasa na sio magaidi hata nchi yako unayo ishi haitambui Hamas kama magaidi bali wanakitambua kama chama cha kisiasa.

Wanao itambua Hamas kama magaidi ni Israel , Marekani na washirika wake kutoka ulaya lakini nchi nyingine zote ikiwemo nchi yako ilatambua Hamas kama chama cha kisiasa ,jaribu kuacha fikra za kitumwa.
 
Back
Top Bottom