Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Wewe una utoto bado na ushabiki mandazi…Nimaeneo tofauti tofauti na yanatofutiana umbali zaidi ya kilometers 20 kila eneo!!
Kuna sinema nyingi kwenye hii vita.
Kuna deception kubwa mno na watu wengi have fallen pley.
Huyu jamaa hapa leo ni mwandishi wa habari ila juzi tu alikuwa anapumulia mashine na kuna wakati ni mujeda.
UN Secretary-General Antonio Guterres warns that Israel’s relentless bombardment of the Gaza Strip is turning the enclave into a graveyard of children, adding that no party in a war is above international humanitarian law.