Israel wanaingia Gaza mjini kati usiku wa leo

Israel wanaingia Gaza mjini kati usiku wa leo

Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu. (Quran)
Na huu ndiyo uislamu halisi. Gori lenu ni kuua waio waamini wote.
 
Na huu ndiyo uislamu halisi. Gori lenu ni kuua waio waamini wote.
Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu. Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)
 
Nimaeneo tofauti tofauti na yanatofutiana umbali zaidi ya kilometers 20 kila eneo!!
Kuna sinema nyingi kwenye hii vita.
Kuna deception kubwa mno na watu wengi have fallen pley.
Huyu jamaa hapa leo ni mwandishi wa habari ila juzi tu alikuwa anapumulia mashine na kuna wakati ni mujeda.

Huyu ni JOHN SINNS wa Gaza.
 
Umewahi kulilia Mamilioni wa Waafrika walio uawa wakati wa utumwa, Mwarabu akiwatia minyororo, watoto wanaozaliwa wakitupwa porini, watu wazima wakitupwa porini, wengine baharini pale wanapo onekana kutomaliza safari?

Acha stori za kusadikika, hivi ulikuwepo wakati babu zako wamefungwa minyororo? Ulishuhudia? Tena acha kutuletea hizo stori zenu mnazokaririshwa sijui makanisani au mashuleni!! Hii ni vita tunajionea live, na sio za kuhadithiwa.

Mnawachukia sana waarabu, badilikeni
 
Umewahi kulilia Mamilioni wa Waafrika walio uawa wakati wa utumwa, Mwarabu akiwatia minyororo, watoto wanaozaliwa wakitupwa porini, watu wazima wakitupwa porini, wengine baharini pale wanapo onekana kutomaliza safari?

Kama kuna movie ya hivo vitu nipe niangalie uone kama sitalia. Sasa huko enzi za utumwa nitajua waliteseka namna gani bila kuona?

Mimi hata msiba usio nihusu wakilia na mimi nalia.
 
Kiongozi wa magaidi ni mwenyekiti wenu wa maisha Mbowe na mahakama ilisha lidhibitisha hilo.
Mbowe hajawahi kushika hata panga halafu majinga ya ccm yanataka kumfananisha na magaidi ya Hamas
 
Kumbe wewe Mkenya wala sishangai nyie mna roho mbaya mnoo nilikuwa najuuliza kuna Mtanzania wa hivi kumbe sijui Jaruo au mkikuyu. Endelea kushangilia vifo vya Gaza.
Hv mnapenda kusema WaTanzania eti wanaroho nzuri huu mtazamo daima umenishangaza, hv jamii inayopenda ushirikina inawezaje kuwa na roho nzuri?

Unafiki, uwongo, chuki ya mafanikio ya mtu mwingine, ni heri mtu ambaye ni muwazi na Hana mambo ya chinichini kuliko mtu mwenye mambo ya chinichini na anajifanya mwema...

Ili tutoke hapa tulipo ni muhimu kuanzia Kukubali kuwa "WATANZANIA SIO WATU WEMA KAMA TUNAVYOJILISHA UPEPO KILA SIKU..."

Mkenya atakiwa Bora Kwa sababu kama ni adui anajionesha kama ni mwema anajipambanua, ni juu Yako Sasa...

Ila huku kwingine mtu anakuchekea na kukuonesha anakupenda kumbe Yeye ndio chanzo Cha mabaya na magumu yote unayopitia...
 
Andikeni yote lakini msisahau nini chanzo cha hivi vita. Hao Hamas waachie mateka wote bila masharti ndio waongelee usitishaji wa vita kinyume na hapo wataendelea kupokea kipigo tu.
 
Mbowe hajawahi kushika hata panga halafu majinga ya ccm yanataka kumfananisha na magaidi ya Hamas
Kama ambavyo mbowe aliitwa gaidi kwa sababu ya kupinga masilahi ya ccm, basi tambua ndivyo Hamas inavyo itwa magaidi kwa sababu ya kupinga masilahi ya Marekani na Israel.
 
Hv mnapenda kusema WaTanzania eti wanaroho nzuri huu mtazamo daima umenishangaza, hv jamii inayopenda ushirikina inawezaje kuwa na roho nzuri?

Unafiki, uwongo, chuki ya mafanikio ya mtu mwingine, ni heri mtu ambaye ni muwazi na Hana mambo ya chinichini kuliko mtu mwenye mambo ya chinichini na anajifanya mwema...

Ili tutoke hapa tulipo ni muhimu kuanzia Kukubali kuwa "WATANZANIA SIO WATU WEMA KAMA TUNAVYOJILISHA UPEPO KILA SIKU..."

Mkenya atakiwa Bora Kwa sababu kama ni adui anajionesha kama ni mwema anajipambanua, ni juu Yako Sasa...

Ila huku kwingine mtu anakuchekea na kukuonesha anakupenda kumbe Yeye ndio chanzo Cha mabaya na magumu yote unayopitia...
Ni kweli watz tunacho kiweza ni unafiki tu lakini ni watu tulio jaa chuki za kijinga.
Humu kuna watu wana waita waisilam magaidi na kuwakashifu kwa kila aina ya maneno, lakini unakuta mtu huyo kwenye maisha yake halisi ana ndugu zake kibao tena wengine kutoka tumbo moja ambao ni waisilam, unakuta ana marafiki, majirani kibao waisilam ,unaweza kuta hata kwenye nyumba aliyo panga ni ya muislam, na unaweza kuta hata aliye muajili ni muislam na anavyo ishi nao huwezi dhania kuwa ndo anashinda humu anawakashifu na kuwatukana.
 
Wanaitwa watwana aka vijakazi huko arabuni
Nenda Oman na Saudia uone waarabu weusi wanavyo ishi maisha bora tena ndani ya Oman wako mpaka serikalini na ni viongozi wakubwa.
Hata mfarume wa Oman aliye pita alikuwa ni Chotara wa kiarabu na kiafrika.
Sasa ww nenda Israel uone hao Wayahudi weusi wanavyo ishi wanaishi kwenye makambi kama wakimbizi.
 
Back
Top Bottom