bin haroub
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,662
- 812
Wewe endelea tu kutumia zile dawa zako za huo ugonjwa wako wa akili ukiziwacha utarudishwa tena Mirembe pole sanaUngejibu tu Allah hiyo sala aliyotoa Kwanini hajajibiwa mpaka sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe endelea tu kutumia zile dawa zako za huo ugonjwa wako wa akili ukiziwacha utarudishwa tena Mirembe pole sanaUngejibu tu Allah hiyo sala aliyotoa Kwanini hajajibiwa mpaka sasa
Ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sanaTuloshasema Hatutaki Raia Gaza. Tuna Operesheni maalum ya Kuua Magaidi ya Hamas. Awe mwanamke, Mzee, mtoto madam hakuondoka Gaza huyo ni Gaidi atauawa.
Ujinga ni mzigo pole sanaHamas hawaponi pia. Wewe ndo umesomea ujinga. Wewe utamtambuaje Hamas? Mungu wao amewapa Amri kusafisha Gaza. Wewe Kaa kimya subiri wateule watekeleze Maagizo ya Mungu.
Hivi Gaza kuna Gaza Mjini na Gaza vijini.
Angalia hiyo video utatuambia hapo ni Gaza mjini au Gaza Kijijini.
HAMAS VIDEO SHOWING ITS SOLDIERS FIGHTING POINT BLANK RANGE WITH ISRAELI IOF SOLDIERS INSIDE GAZA CITY
Mimi siyo myahudi ila nashangaa mnawatetea wahuni walioomba game la kuzichapa na mayahudi kwa ridhaa yao wenyewe, acha wapigwe waliyataka wenyewe.wewe upo upande wa mayahudi wenzio
Umemsikiliza huyo mwarabu wa UAE ?Hujui kinachoendelea duniani, twendelee kulima viazi
Yale ni magaidi yaliyojificha kwenye mwamvuli wa kupigania ardhi ya wapalestina.Kama ambavyo mbowe aliitwa gaidi kwa sababu ya kupinga masilahi ya ccm, basi tambua ndivyo Hamas inavyo itwa magaidi kwa sababu ya kupinga masilahi ya Marekani na Israel.
Wenye chuki ni nyie hapo mnaotetea magaidiHuyu unaemjibu ana chuki mbaya sana, sijui huwa anajisikiaje kufanya hivyo
Wenye chuki ni nyie hapo mnaotetea magaidi
Hata mbowe ni gaidi aliye jificha kwenye mgongo wa kuwapigania wtz kumbe ni mchumia tumbo.Yale ni magaidi yaliyojificha kwenye mwamvuli wa kupigania ardhi ya wapalestina.
Hayana tofauti na isis, alshabaab, bokoharam, Islamic jihad nk
Historia ya utumwa iko well documented vizuri sana, nenda hata hapo Zanzibar uone jengo walilokuwa wakiwekwa wakisubiri kupigwa bei. Tatizo slave master aliwarithisha imani ndio maana leo mmegeuka kuwa mtetezi waoAcha stori za kusadikika, hivi ulikuwepo wakati babu zako wamefungwa minyororo? Ulishuhudia? Tena acha kutuletea hizo stori zenu mnazokaririshwa sijui makanisani au mashuleni!! Hii ni vita tunajionea live, na sio za kuhadithiwa.
Mnawachukia sana waarabu, badilikeni
Movie ya nini, evidence ziko wazi wala huitaji movie. Nenda Museum ukaone, nenda hapo Zanzibar uone walipokuwa wakihifadhiwa kama mbwa wakisubiri mnadaKama kuna movie ya hivo vitu nipe niangalie uone kama sitalia. Sasa huko enzi za utumwa nitajua waliteseka namna gani bila kuona?
Mimi hata msiba usio nihusu wakilia na mimi nalia.
Historia ya utumwa iko well documented vizuri sana, nenda hata hapo Zanzibar uone jengo walilokuwa wakiwekwa wakisubiri kupigwa bei. Tatizo slave master aliwarithisha imani ndio maana leo mmegeuka kuwa mtetezi wao
Hii vita ina propaganda kubwa.
Kuna watoto na akina mama wanakufa zaidi ya mara 6.
Uwezi elewa maana tayari umemeza imani ya slave master wakoEndelea kukariri tu
pic.twitter.com/cY9ncayUJJBaada ya kuigawa Gaza vipande viwili, sasa magaidi yaliachwa kaskazini, Israel wamekua wakiyabamiza bila upinzani wa maana na tayari kuingia mjini kati usiku wa leo.....
=================
Israeli troops could enter Gaza City later today, according to Israeli media, raising the prospect of street fighting with Hamas terrorists hiding in a vast network of tunnels.
Israel Defence Forces spokesman Rear-Admiral Daniel Hagari described the war as reaching a “significant stage”, with Israeli troops also now having reached the coast south of Gaza City.
“Now there exists a south Gaza and a north Gaza,” Hagari said, adding that a route remained open for civilians to flee to the south.
Israeli troops unleashed another overnight bombardment from land, sea and air as Binyamin Netanyahu defied calls for a ceasefire and vowed to continue fighting until hostages held by Hamas are freed.
Explosions lit up the sky above the Palestinian territory from a heavy wave of attacks after local internet and mobile services were completely severed on Sunday.
![]()
International calls for ceasefire in Israel-Gaza war — as it happened
Key moments Gaza’s Rafah crossing reopensIsraeli troops surround Gaza City Jordan drops aid to GazaForeign Office withdraws Lebanon staffwww.thetimes.co.uk
Wanamgambo wa Israel wamechezea kichapo cha mbwa mwizi wakati wamejikusanya kama nyumbu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ua hayo MAGAIDI mwaga sumu ua hamas na washirika wake.
Israel imwage sumu iue Hadi Mendes .
Sitaki kuona hata Mendes mwenye asili ya Gaza
twitter.com/atras10/status…Sasa video fupi itakufundisha nini kuhusu Gaza, hayo magaidi yenu yanaendelea kufutwa na kwa sasa hamna msaada wa kubwa la magaidi ya kidini Iran, wanaliwa na kusakamwa
![]()