Israel wanaingia Gaza mjini kati usiku wa leo

Israel wanaingia Gaza mjini kati usiku wa leo

Tuloshasema Hatutaki Raia Gaza. Tuna Operesheni maalum ya Kuua Magaidi ya Hamas. Awe mwanamke, Mzee, mtoto madam hakuondoka Gaza huyo ni Gaidi atauawa.
Ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sana
 
Hivi Gaza kuna Gaza Mjini na Gaza vijini.
Angalia hiyo video utatuambia hapo ni Gaza mjini au Gaza Kijijini.
HAMAS VIDEO SHOWING ITS SOLDIERS FIGHTING POINT BLANK RANGE WITH ISRAELI IOF SOLDIERS INSIDE GAZA CITY

Hamas wanapigana point blank na Israel Gaza? Hamas gani? Haya tunayoyaona kila siku ynanaonyesha ukatili wa Israel. Kama Hamas wana hao maaskari wanafanya nini?
Au ndio kama kawaida yao...kuvimbiwa pilau na biriani
 
Kama ambavyo mbowe aliitwa gaidi kwa sababu ya kupinga masilahi ya ccm, basi tambua ndivyo Hamas inavyo itwa magaidi kwa sababu ya kupinga masilahi ya Marekani na Israel.
Yale ni magaidi yaliyojificha kwenye mwamvuli wa kupigania ardhi ya wapalestina.
Hayana tofauti na isis, alshabaab, bokoharam, Islamic jihad nk
 
Free palestine
Wenye chuki ni nyie hapo mnaotetea magaidi

Anae uwa wasio na hatia huyo ni gaidi, kwanini asipambane na hamas wenyewe!! yeye anakimbilia kuuwa watoto ili kukifuta kizazi sio!! Endeleeni kushabikia tu, ipo siku mtaelewa tu
 
Yale ni magaidi yaliyojificha kwenye mwamvuli wa kupigania ardhi ya wapalestina.
Hayana tofauti na isis, alshabaab, bokoharam, Islamic jihad nk
Hata mbowe ni gaidi aliye jificha kwenye mgongo wa kuwapigania wtz kumbe ni mchumia tumbo.
 
Acha stori za kusadikika, hivi ulikuwepo wakati babu zako wamefungwa minyororo? Ulishuhudia? Tena acha kutuletea hizo stori zenu mnazokaririshwa sijui makanisani au mashuleni!! Hii ni vita tunajionea live, na sio za kuhadithiwa.

Mnawachukia sana waarabu, badilikeni
Historia ya utumwa iko well documented vizuri sana, nenda hata hapo Zanzibar uone jengo walilokuwa wakiwekwa wakisubiri kupigwa bei. Tatizo slave master aliwarithisha imani ndio maana leo mmegeuka kuwa mtetezi wao
 
Kama kuna movie ya hivo vitu nipe niangalie uone kama sitalia. Sasa huko enzi za utumwa nitajua waliteseka namna gani bila kuona?

Mimi hata msiba usio nihusu wakilia na mimi nalia.
Movie ya nini, evidence ziko wazi wala huitaji movie. Nenda Museum ukaone, nenda hapo Zanzibar uone walipokuwa wakihifadhiwa kama mbwa wakisubiri mnada
 
Historia ya utumwa iko well documented vizuri sana, nenda hata hapo Zanzibar uone jengo walilokuwa wakiwekwa wakisubiri kupigwa bei. Tatizo slave master aliwarithisha imani ndio maana leo mmegeuka kuwa mtetezi wao

Endelea kukariri tu
 
Baada ya kuigawa Gaza vipande viwili, sasa magaidi yaliachwa kaskazini, Israel wamekua wakiyabamiza bila upinzani wa maana na tayari kuingia mjini kati usiku wa leo.....
=================

Israeli troops could enter Gaza City later today, according to Israeli media, raising the prospect of street fighting with Hamas terrorists hiding in a vast network of tunnels.

Israel Defence Forces spokesman Rear-Admiral Daniel Hagari described the war as reaching a “significant stage”, with Israeli troops also now having reached the coast south of Gaza City.

“Now there exists a south Gaza and a north Gaza,” Hagari said, adding that a route remained open for civilians to flee to the south.
Israeli troops unleashed another overnight bombardment from land, sea and air as Binyamin Netanyahu defied calls for a ceasefire and vowed to continue fighting until hostages held by Hamas are freed.


Explosions lit up the sky above the Palestinian territory from a heavy wave of attacks after local internet and mobile services were completely severed on Sunday.

pic.twitter.com/cY9ncayUJJ

The Lebanese resistance targets the "Israeli Volvo" tanker. Look at it, it is burning with all its passengers!!

This tanker usually carries from 25 to 42 soldiers?

They were all sent to hell if they were inside it!!
Screenshot_20231107-212443.jpg
 
Ua hayo MAGAIDI mwaga sumu ua hamas na washirika wake.


Israel imwage sumu iue Hadi Mendes .

Sitaki kuona hata Mendes mwenye asili ya Gaza
Wanamgambo wa Israel wamechezea kichapo cha mbwa mwizi wakati wamejikusanya kama nyumbu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20231107-160612.jpg
Screenshot_20231107-160750~2.jpg
 
Sasa video fupi itakufundisha nini kuhusu Gaza, hayo magaidi yenu yanaendelea kufutwa na kwa sasa hamna msaada wa kubwa la magaidi ya kidini Iran, wanaliwa na kusakamwa

0c876f8cf42e3e08c85005c0c9326d37.svg
twitter.com/atras10/status…

Hezbollah bombed an Israeli army military site in Al-Bayyad, on the border with Lebanon,

The Islamic Resistance carried out an operation targeting a logistical vehicle belonging to the enemy’s Israeli army at the Al-Bayyad military site on the Lebanese-Palestinian border.”
 
Back
Top Bottom