Israel yafaulu kumuua waziri wa uchumi wa HAMAS

Solution ni mbili either waungane wawe nchi moja au wapalestina watawanywe kwenye nchi mbalimbali za kiarabu wakaanze upya maisha.
Yaani nchi ya Palestine isiwepo.
Waarabu waache ubinafsi wawachukue ndugu zao kuliko kuwaacha wauwawe wengi hawana hatia bali ni wahanga tu wa udhalimu.
 
Wapi nimesema "kwa ajili ya Watanzania peke yao"?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Ndiyo, shule mimi na wewe tulienda kusomea ujinga na wewe ulikuwa unapata A ya ujinga [emoji4]
 
Nawashauri Israel wafanye extinction ya wanaume wote Gaza wabakie wanawake ambao wakizaa mtoto wa kume wanam-Kolimba.......tabu imeisha!
 
Utu umeisha watu wanaposhangilia vifo vya wengine kwa misingi ya dini walizoletewa na watesi wao. Smh
kauli hz ilibid mziseme siku yq jmos , hamas alipovamia Israel na kuuq raia wema waliokuwa kwenye starehe zao , ila hapa mnajifanya wanafiki tu baada ya kuona upepo mbaya
 
Solution ni mbili either waungane wawe nchi moja au wapalestina watawanywe kwenye nchi mbalimbali za kiarabu wakaanze upya maisha.
Yaani nchi ya Palestine isiwepo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
HAMAS ni kundi la kigaidi.

Two mistakes wont correct the first mistake

CHildren of Israel and Palestines deserve protection. I believe the huntungdown the terrorists must also abstain the children phenomenum in the warzones.
unajuwa kuwa wapalestina ndo wanawatunza na kuwalisha HAMAS ?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haelew huyo mvaa vibukta na dela juu
 
inabid uelewe kuwa Hamas wanatunzwa na kulishwa kwa kodi za wapalestina yaan kila wafanyacho kimebarikiwa na wapalestina
 
Mwisho wa siku Wapalestina watakuwa wakimbizi kabisa
kama wao walivyowafanyia wenzao kipindi cha vita vya msalaba mwekundu , waliwapa ahadi wayaudi ila hawakuzitimiza ikapelekea wayaudi kupakimbia kwao
 
inabid uelewe kuwa Hamas wanatunzwa na kulishwa kwa kodi za wapalestina yaan kila wafanyacho kimebarikiwa na wapalestina
Mkuu usihamishe mjadala.

Naongelea watoto. Nieleze mchango wao kwenye haya yanayoendelea Gaza
 
Yupo kwa denial so ni lazima awe anarudia rudia tukio liliotokea siku 4 nyuma.Ukimwambia aongelee yanayoendelea sasa hivi utakuwa unamtesa sana.
kbs kizee anamuhahoo ya yanayoendeleaa
 
Yaani mpaka karatasi walizotumia kidraft mipango italipuliwa 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…