Israel yafaulu kumuua waziri wa uchumi wa HAMAS

Kina faiza watakuambia myahudi kashashindwa
 
Waarabu wanavizia sherehe ya wayahudi ndio wanzishe ugaidi wao. Na km wanataka vita watoe taarifa sio kuvizia
 
Wa-Tz tukumbuke haya yanayotokea Gaza ni marejeo ya madhambi ya utawala wa makaburu huko Afr. Kusini. Nchi za Magharibi ziliunga mkono ubaguzi na ukandamizaji wa Weusi kama wanavyounga mkono Israel sasa hivi katika ukatili wao kwa Wa-Palestina.
Ukweli ni kuwa mzungu anamchukia Mwafrika kuliko hata Muisrel anavyo mchukia ndugu yake (rejea Abraham/Ibrahim) Mpalestina.
Sichukii Waisrael, lakini Wa-Palestina Wana HAKI ya kuwa na TAIFA lao HURU.
Ebu jikumbushe George Flloyd alivyouwawa na Wazungu kule Marekani.
 
Solution ni tatu either waungane wawe nchi moja au wapalestina watawanywe kwenye nchi mbalimbali za kiarabu wakaanze upya maisha.
Yaani nchi ya Palestine isiwepo.
Waarabu waache ubinafsi wawachukue ndugu zao kuliko kuwaacha wauwawe wengi hawana hatia bali ni wahanga tu wa udhalimu.
Au waachwe wauwane atakaemmaliza mwenzio ndio apewe haki.
Wasomali hawakushaurika waliachwa wakauwana hadi wamechoka kuuwana wamepumzika.
Shetani ndie aletae vita ili kupata damu kwenye vita wanauhakika wa kupata lita nyingi sana za damu tofauti na ajali.
 
Kosa lao ni kuvuzia sherehe na kwenda kuuwa watu wasio na hatia wamelipiziwa wanaomba msaada
 
Kuna watu hawajitambui. Walau Angegusa msoto wa RTS angeelewa unachomwambia kupita pita NS wanajikuta mchezo wanaujua sana.

Wawaulize ndugu zao wanaoenda walau PKO.
RTS ni nini?
 

Sikuelewi kabisa, yaani mpaka sasa haueleweki, ina maana Israel walipaswa wafanye nini baada ya hayo makombora 4,000 ya HAMAS kuelekezwa Israel. Hebu weka nadharia pembeni utazame uhalsia.
 

Naomba upitie huu uzi hapa kisha unipe mrejesho, uusome bila ushabiki wowote ukiwa open minded Pongezi kwa Zakazakazi kuufafanua mgogoro wa Israel na Palestina kwa Facts, Ni muislam lakini kaweka dini kando kuelezea ukweli, someni alichoandika
 
Subiri moto.wa Israel atakaowasha

Israel ndilo taifa pekee duniani lenye uzoefu mkubwa wa vita kuliko taifa lolote duniani

Msije kulia lia humu Israel akianza kulipiza kisasi Na kisasi chake huwa kibaya mno.wamemchokonoa kitakachowakuta kila atakayesikia atasikia kuumwa ugonjwa wa pressure

Wameshaua huyo waziri na makomandoo wa hamas elfu moja mia tano

Wanaua high value targets ndiko huanzia

Sasa hivi mawaziri wa Palestina watakuwa kwenye mashimo ya vyoo wanaogopa kuuawa na Israel anytime.

Kwa kuua huyo waziri jeshi la Israel linawapelekea ujumbe serikali ya Palestina kuwa tutawaua wote tumeanza na huyu

Saa hii wengi wa mawaziri wa Palestina yawezekana kabisa watakuwa watakuwa wanetoka kwenye mashimo ya vyoo walomojificha wamekimbilia Iran baada ya huyo waziri kuuawa wakisubiri vita iishe
 
mnafurahia kupiga ngumi moja huku mnapigwa ngumi 20 , hiyo ni dalili ya ukilaza , raha ngumi uzipige muda wote sio kupigwa muda wote uku unashangilia ngumi uliyopiga jana
Tena moja ni kubwa sana, sisi hata robo ngumintunaidhangilia na ni ushindi mkubwa sana.

Ukimtandika myahudi ujuwe umeitandika NATO nzima, si madogo hayo.
 
Solution ni mbili either waungane wawe nchi moja au wapalestina watawanywe kwenye nchi mbalimbali za kiarabu wakaanze upya maisha.
Yaani nchi ya Palestine isiwepo.

Wapalestina na Waisraeli hawawezi kukaa kwenye nchi moja. Ni kama mafuta na maji.

Hii vita itapiganwa mpaka masihi atakaporudi.
 
Wapalestina na Waisraeli hawawezi kukaa kwenye nchi moja. Ni kama mafuta na maji.

Hii vita itapiganwa mpaka masihi atakaporudi.
Wapalestina wenyewe hawana shida sana tatizo wanatumiwa na nchi za kiarabu zisizowapenda Israel

Wanawatumia kama fimbo ya kupiga Israel na wakipata shida wakitaka kukimbia Palestina kwenda uhamishoni kwenye nchi za kiarabu huwakataa

Wapalestina wametekwa nyara na waaarabu waislamu wa nchi za kiarabu
Serikali yenyewe ya Palestina haina udhibiti kabisa na makundi ya wapiganaji wa Hamas

Serikali ya Palestina ni kiwete ina jeshi la serikali lakini vikosi vya wapiganaji vya magaidi wa Hamas ndio hujiamulia chochote wakati wowote wakiamua kuvamia Israel wanavamia hawahitaji kibali cha waziri mkuu wa serikali ya Palestina wala cha mkuu wa Jeshi wa serikali ya Palestina wanavamia

Serikali ya Palestina yaani haina meno kabisa mbele ya Hamas
 
Huo mbona wapalestina wa sasa hivi wote wamezaliwa wanauona?

Wale uliokuwa unawaona wakiminywa, wakirusha mawe, sasa ndiyo wanarusha misail zao za kutengeza Tabata. Zilizoisimamisha dunia kwa siku nne.

Mambo yanaendelea huko, sikiliza kimbembe cha wiki ijayo.
 
Mazayuni wamejazana airport wanaikimbia nchi, cheza na misaili za tabata?
 
Wachague option zingine hizo
Option ni ya serikali ya majimbo ambako Palestina inakuwa jimbo huru ndani ya Palestina kama ilivyo Marekani, NK

Lakini Palestina hawataki wanataka lazima Palestina iwe nchi na ijitenge na Israel na Israel hawataki wanataka nchi iwe moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…