Kina faiza watakuambia myahudi kashashindwaHallo Israel ni hatari lile Taifa. Hapo ujue amezingirwa kila kona na sio hao tu Lebanon na Parestina,hapo ujue kuna korea kask kuna Iran pia. Lakini anapiga Lebanon huku anachakaza Hamas. Ni hii kweli itakuwa vita vya muda mrefu. Hawa kenge wamechokoza nyuki. Watapigwa wachakae. Wakawaulize Misri vile vita vya siku 6 viliwafanyeje
Waarabu wanavizia sherehe ya wayahudi ndio wanzishe ugaidi wao. Na km wanataka vita watoe taarifa sio kuviziaHii isitupe kiwewe kwamba kuna sehemu iliyokuwa imechukuliwa na Israeli imekombolewa. Tujikumbushe mwaka 1973 Waarabu waliposhambulia Israeli kwa kustukiza siku ya sikukuu ya Kiyahudi ya Yom Kippur. Misri ilishambulia upande wa Sinai na Syria ikashambulia wakati huohuo upande wa Golan Heights. Katika siku tatu Waarabu walikomboa sehemu kadhaa za ardhi yao zilizokuwa zikikaliwa na Israeli. Israeli ilichukua wiki mbili kujipanga na kujibu mapigo hayo ya kustukiza. Ndani ya wiki mbili wakaziteka upya sehemu zilizokuwa zimekombolewa na wakaenda mbali zaidi na kuteka sehemu mpya nyingine. Furaha ya Waarabu ilidumu chini ya wiki tatu wakaja wakapata kilio kikubwa zaidi. Waarabu hawakuweza kufanya cho chote mpaka Misri ilipokuja kurudishiwa kwa amani sehemu ya Sinai kutokana na mazungumzo ya Camp David kati ya Rais Jimmy Carter wa Marekani, Rais Anwar Sadat wa Misri na Waziri Mkuu Menachem Begin wa Israeli. Masharti ya kurudishiwa Sinai yalikuwa pamoja na Misri kuitambua Israeli kama nchi halali na kuanzisha uhusiano wa kibalozi. Makubaliano hayo yalifanyika Oktoba 1978, miaka mitano baada ya vita vya Yom Kippur vya Oktoba 1973. Sinai aliyorudishiwa Misri ilikuwa kwenye meza ya mazungumzo na si kwa ukombozi wa mtutu wa bunduki.
Hali kadhalika hivi sasa. Tusibweteke kwa mafanikio hayo ya kustukiza ya Oktoba 2023. Hatujui kilio kinachoweza kufuata. Aidha, sijui mwezi Oktoba unaashiria nini kati ya Israeli na Waarabu kwani vitu vingi vinatokea mwezi huo.
Wa-Tz tukumbuke haya yanayotokea Gaza ni marejeo ya madhambi ya utawala wa makaburu huko Afr. Kusini. Nchi za Magharibi ziliunga mkono ubaguzi na ukandamizaji wa Weusi kama wanavyounga mkono Israel sasa hivi katika ukatili wao kwa Wa-Palestina.Huyu kazi yake ilikua kupanga mipango yote ya matumizi ya fedha, yaani zipi zitumike kwenye ugaidi upi na wapi. Poleni kwa msiba wenzetu wa huku uswahilini mnaowaita wale ndugu.
Israel bado haijaanza kulipiza kisasi.
=========
PHOTO: GETTY IMAGES
Rear Admiral Daniel Hagari, spokesman for the Israel Defence Forces (IDF), has announced that the Israeli army has killed Jawad Abu Shamala, Hamas' Minister of Economy.
"Tonight [on the night of 9-10 October – ed.], an IDF aircraft killed Jawad Abu Shamala, the Minister of Economy of the Hamas terrorist organisation.
He was in charge of the organisation's finances and allocated funds to finance and manage terrorism inside and outside the Gaza Strip."
Hagari also stated that "one of the senior members of the political bureau of the Hamas terrorist organisation, who served as the head of the organisation's national relations department," had been killed as well.
pravda.com.ua
Kosa lao ni kuvuzia sherehe na kwenda kuuwa watu wasio na hatia wamelipiziwa wanaomba msaadaWa-Tz tukumbuke haya yanayotokea Gaza ni marejeo ya madhambi ya utawala wa makaburu huko Afr. Kusini. Nchi za Magharibi ziliunga mkono ubaguzi na ukandamizaji wa Weusi kama wanavyounga mkono Israel sasa hivi katika ukatili wao kwa Wa-Palestina.
Ukweli ni kuwa mzungu anamchukia Mwafrika kuliko hata Muisrel anavyo mchukia ndugu yake (rejea Abraham/Ibrahim) Mpalestina.
Sichukii Waisrael, lakini Wa-Palestina Wana HAKI ya kuwa na TAIFA lao HURU.
Ebu jikumbushe George Flloyd alivyouwawa na Wazungu kule Marekani.
RTS ni nini?Kuna watu hawajitambui. Walau Angegusa msoto wa RTS angeelewa unachomwambia kupita pita NS wanajikuta mchezo wanaujua sana.
Wawaulize ndugu zao wanaoenda walau PKO.
Nisikilize vizuri mkuu
Kama unaamini katika kisasi cha jino kwa jino basi mjadala huu una maana
Taifa la Israel lina Haki ya Kujilinda. Mimi na wengine tunaojua Historia tunaamini bila shaka kabisa kuwa waarabu wameikalia ardhi ya Israel isivyo haki lakini je kuua watoto kama HAMAS walivyofanya ndivyo kunaleta haueni?
Mtu mjinga ama mpumbavu asikulazimishe ukahama kutoka kwenye hekima na kufuata mkumbo wa upumbavu wake.
Tuikemee na kuilaani vita (aina yeyote), hata ya maneno bali tuwatafutie suluhu wanaogombana ili kustawisha amani na mshikamano.
Tanzania tuna utamaduni wa utani wa kikabila ambao unafanyika ktk misiba, sherehe na kadhalika. Chanzo cha utani huo ni kufunika machungu ya mauaji ya vita za kikabila zilizopelekea kugharimu maisha ya watu wengi. Waliamua kupatana na kugeuza uchungu kuwa utani.
Ukitumia akili kidogo utaona namna ambayo amani haijawahi kuwa chaguo baya
Wa-Tz tukumbuke haya yanayotokea Gaza ni marejeo ya madhambi ya utawala wa makaburu huko Afr. Kusini. Nchi za Magharibi ziliunga mkono ubaguzi na ukandamizaji wa Weusi kama wanavyounga mkono Israel sasa hivi katika ukatili wao kwa Wa-Palestina.
Ukweli ni kuwa mzungu anamchukia Mwafrika kuliko hata Muisrel anavyo mchukia ndugu yake (rejea Abraham/Ibrahim) Mpalestina.
Sichukii Waisrael, lakini Wa-Palestina Wana HAKI ya kuwa na TAIFA lao HURU.
Ebu jikumbushe George Flloyd alivyouwawa na Wazungu kule Marekani.
Subiri moto.wa Israel atakaowashaKawaida hiyo.
Myahudi kishachezea kichapo ambacho hajawahi kupokea maisha yake yote.
Hata wafanye nini, ushindi bado ni wa Palestina, kwa muda mchache sana wameweza kukishikilia tena kipande cha nchi yao mpaka leo hii. japo kidogo lakini wamekichukuwa tena.
Leo alfajiri wamesukuma moto mwingine kutokea Lebanon.
Tena moja ni kubwa sana, sisi hata robo ngumintunaidhangilia na ni ushindi mkubwa sana.mnafurahia kupiga ngumi moja huku mnapigwa ngumi 20 , hiyo ni dalili ya ukilaza , raha ngumi uzipige muda wote sio kupigwa muda wote uku unashangilia ngumi uliyopiga jana
Solution ni mbili either waungane wawe nchi moja au wapalestina watawanywe kwenye nchi mbalimbali za kiarabu wakaanze upya maisha.
Yaani nchi ya Palestine isiwepo.
Wachague option zingine hizoWapalestina na Waisraeli hawawezi kukaa kwenye nchi moja. Ni kama mafuta na maji.
Hii vita itapiganwa mpaka masihi atakaporudi.
Wapalestina wenyewe hawana shida sana tatizo wanatumiwa na nchi za kiarabu zisizowapenda IsraelWapalestina na Waisraeli hawawezi kukaa kwenye nchi moja. Ni kama mafuta na maji.
Hii vita itapiganwa mpaka masihi atakaporudi.
Huo mbona wapalestina wa sasa hivi wote wamezaliwa wanauona?Subiri moto.wa Israel atakaowasha
Israel ndilo taifa pekee duniani lenye uzoefu mkubwa wa vita kuliko taifa lolote duniani
Msije kulia lia humu Israel akianza kulipiza kisasi Na kisasi chake huwa kibaya mno.wamemchokonoa kitakachowakuta kila atakayesikia atasikia kuumwa ugonjwa wa pressure
Wameshaua huyo waziri na makomandoo wa hamas elfu moja mia tano
Wanaua high value targets ndiko huanzia
Sasa hivi mawaziri wa Palestina watakuwa kwenye mashimo ya vyoo wanaogopa kuuawa na Israel anytime.
Kwa kuua huyo waziri jeshi la Israel linawapelekea ujumbe serikali ya Palestina kuwa tutawaua wote tumeanza na huyu
Saa hii wengi wa mawaziri wa Palestina yawezekana kabisa watakuwa watakuwa wanetoka kwenye mashimo ya vyoo walomojificha wamekimbilia Iran baada ya huyo waziri kuuawa wakisubiri vita iishe
Option ni ya serikali ya majimbo ambako Palestina inakuwa jimbo huru ndani ya Palestina kama ilivyo Marekani, NKWachague option zingine hizo
Wachague option zingine hizo
Hii halitaachwa jiwe juu ya jiweYaani mpaka karatasi walizotumia kidraft mipango italipuliwa 🤣🤣🤣
Asante. Nakubali ugomvi huu ni "complicated" na hasa pale anayejiona ni kiranja wa dunia- USA anapopendelea upande mmoja hata pale maazimio ya UN yanapokanyagwa.Naomba upitie huu uzi hapa kisha unipe mrejesho, uusome bila ushabiki wowote ukiwa open minded Pongezi kwa Zakazakazi kuufafanua mgogoro wa Israel na Palestina kwa Facts, Ni muislam lakini kaweka dini kando kuelezea ukweli, someni alichoandika