Syria itageuka uwanja wa vita, nchi yao iliyoharibika itaharibika mara 10 ,maana yake kama majeshi yatapigana kutokea Syria wananchi wa Syria ndio wanaenda kufaa, watoto, wanawake, vijana, wazeePicha za satellite zimeonesha msafara wa magari ya kivita ya Iran yakivuka mpaka wa Iraq na Syria, nahisi Syria itakuwa uwanja wa vita.
Kwanza Iran walifikia wapi kwenye ile arrest warrant ya kumkamata Trump iliyotolewa na Mahakama yao?
View attachment 2954611
Maana tunaenda huu mwaka wa 3 na Trump anazidi kudunda tu na hana power ya madaraka tuliyokuwa tukifikiri labda ndio inayompa jeuri ya kufanya asikamatwe.
Au waliamua kumsamehe kimyakimya?
Au ilikuwa ni prank tu ya April fool kama wanavyofanya sasa?
Hivi unaamini kabisa hiki ulichokiandika!?Mwamba anafunga balozi kama tahadhari kubwa lakini pia kama mkakati mahsusi ili atakapotembeza kichapo cha mbwa mawizi majamaa yasipate mahali pa kwenda kwa kuandamana kupeleka malalamiko. Anataka wawalilie hao kina Ayatollah na Magaidi waliohusika kwa kusababisha hilo
Iran ikifanikiwa kuishika milima ya Golan Israel ndio kwaheri kabisa.Syria itageuka uwanja wa vita, nchi yao iliyoharibika itaharibika mara 10 ,maana yake kama majeshi yatapigana kutokea Syria wananchi wa Syria ndio wanaenda kufaa, watoto, wanawake, vijana, wazee
Mkuu, tusubiri muda ndo utasema. Ngoja mtanange uanzeHivi unaamini kabisa hiki ulichokiandika!?
Kuwa Israel ana uwezo wa kumtembezea kichapo cha mbwa mwizi Iran?
Mna vituko sana!!!
PoleIsrael imeanza kuogopa.
Ndio mfahamu Iran sio Syria, Israel hivi sasa wanaishi kama digidigi hofu nchi nzima, hofu balozi zote, hofu viongozi hadi jeshi.
Naam! Mpe pole kwani hajawahi kushuhudia walau picha ya kilichowapata Waarabu walipo kusanyana eti kumkunja Israel.👇👇👇Pole
Toka 1948 hao iran wapo na hawajawahi mtisha Israel.Naam! Mpe pole kwani hajawahi kushuhudia walau picha ya kilichowapata Waarabu walipo kusanyana eti kumkunja Israel.👇👇👇
View attachment 2954724
Haya!
Walokole mna tabu sanaIsrael uishi daima.
Warrant ya kumkamata Putin ni ya tofauti kwasababu ililenga kwa nchi wanachama wa jumuiya ya kimataifa kuwa akifanya ziara kwenye moja ya nchi hizo akamatwe.Kwani ile warrant ya mahakama ya kimataifa kumkamata Putin imefikia wapi?
Maana nasikia Putin anaendelea kutembeza bakora hapo Kyiv kila akijisikia.
Yaani wewe unawajua Israel kuliko Hao Waajemi na hapa unashauri wakajifunze wapi. Ila wabongo ni hatariHao waajemi hawaifahamu Israel wawaulize waarabu lakini safari hii watawafahamu vizuri sana.
Atathubutuu?? Kama hajipendi na ajaribu.Hadi sasa hajalipiza
Sawa mkongwe. Kwahiyo Iran walitakiwa kwenda USA kumkamata Trump ili kuthibitisha kwamba wao sio watu wa mchezo mchezo, sio?Warrant ya kumkamata Putin ni ya tofauti kwasababu ililenga kwa nchi wanachama wa jumuiya ya kimataifa kuwa akifanya ziara kwenye moja ya nchi hizo akamatwe.
Ikumbukwe kuwa baadhi ya nchi zimekuwa na urafiki mkubwa na Russia huku zingine zikijidhuhirisha msimamo wao kwa kutangaza kuisapoti Russia.
Hivyo Putin unaona jinsi alivyo na kinga.
Lakini pia Putin ana power ya madaraka tena kama kiongozi mwenye nguvu kubwa duniani hivyo ni rahisi kufikiria kuwa ana backup ambayo inamfanya iwe ngumu kukamatwa.
Lakini kwa Trump ni tofauti, Trump now is powerless, pamoja na hayo bado Iran imeshindwa kutekeleza agizo lake la kimahakama.
Hiyo tu inatosha kututhibitishia kuwa Iran ni Taifa lenye viongozi wenye mikwara with zero action.
Kwa pointi hiyo sioni mantiki ya kuwachukulia serious kwenye huu mkwara wao wa sasa dhidi ya Israel.
Marekani imeiambia Iran HAITAingilia kati iwapo Iran itaishambulia Israel, ili ipate dhamana Iran haitashambulia mali ya Marekani.Wanafunga ili kuchukua tahadhari dhidi ya magaidi Iran na vibaraka wake.
Netanyahu alinukuu maneno ya kwenye bible kwamba kuna wakati wa vita na wakati wa amani. Sasa hivi Israeli iko vitani
Ni kama marekani inavotaka Putin kukamatwa 50/50 kwa kilumbi tunasema fiftefifte tuKwanza Iran walifikia wapi kwenye ile arrest warrant ya kumkamata Trump iliyotolewa na Mahakama yao?
View attachment 2954611
Maana tunaenda huu mwaka wa 3 na Trump anazidi kudunda tu na hana power ya madaraka tuliyokuwa tukifikiri labda ndio inayompa jeuri ya kufanya asikamatwe.
Au waliamua kumsamehe kimyakimya?
Au ilikuwa ni prank tu ya April fool kama wanavyofanya sasa?