America sio Taifa lakuaminika, alisema ata kaa kando kujibu shambulio la Iran ila Iran akiyafukua tena atapeleka meli zake na kutumia military base zake Syria na Jordan kuintafia missile za Iran zisifike IsraelKuna kila dalili WWW3 inakwenda kuanza rasmi........na mwisho wa Israel unakaribia........kumbuka Amerika ameshasema yeye anakaa kando......
Wacha weeeh!Hizo nchi za kiarabu ndo zizue WW III? Vita ya dunia ilikuwa inakadiriwa ingetokea baina ya Russia dhidi ya Ukraine sio hao Iran na Israel, kwa hesabu nyepesi tu, Israel atakuwa na upande wa washirika wenye nguvu sana sababu hata nchi nyingi za kiarabu hazifurahishwi na vitendo vya Iran.
Piga hesabu zako vyema, nambie mshirika gani wa maana atasimama upande wa Iran? Russia ambaye anavuja jasho huko Ukraine? China? Hayupo. Upande wa Israel huko hakushikiki ana watu wengi sana nyuma yake.
Anayo base ndio na USA ni rafiki mkubwa wa Saudi Arabia.Ngoja tusubili. Saudia analindwa na Marekani na ana base pale.
Vituo vyenye iyo mizinga vimechakzwa hatari watashambulia kwa kurusha maweNgoja tuone walichokiandaa Tehran baada ya Israel kujibu mapigo......inaogopesha lakini dunia ndio imefikia hapa
Asilimia kubwa ya wanasayansi waliopo USA ni waisrael na ndio wanaowatetea ndugu zao kwa kutumia technolojia wanazozitengenezea usa πΊπΈMarekani wanahangaishwa sana na mtoto wao wa kambo.........
Ningependa mdau mwenye uelewa mpana wa siasa na uchumi wa kimataifa atudadavulie kuwa Marekani anafaidika nini na Israel mpaka kuingia hasara na kuhatarisha usalama wa taifa lake kiasi hicho
Kaka watu wanataka mabadiliko na maisha mapya.Labda Tu nikuambie.......vita ndio vinamuweka Israel huko tangu alipotangaza taifa lake.......kumekuwepo na majaribio kadhaa ya kuiondoa Israel upande huo lakini imeshindikana.......kwa lugha nyepesi Israel anakaa hapo kwa ngu u za kijeshi na msaada wa mataifa they nguvu duniani.......
Hivyo vita anapigania kila leo na bado anaendelea kuishi....... threat pekee Kwa Israel kwenye ukanda huo ni Iran pekee
Hakuna damage mkuu acha kuongopa.Vituo vyenye iyo mizinga vimechakzwa hatari watashambulia kwa kurusha mawe
Kuna wahindi na wachina kwa wingi wanaofikia idadi ya hao waisrael katika sekta ya sayansi usisahau hilo.Asilimia kubwa ya wanasayansi waliopo USA ni waisrael na ndio wanaowatetea ndugu zao kwa kutumia technolojia wanazozitengenezea usa πΊπΈ
kwani picha na video ya sehemu israel imeshambuliwa uliipata?Jamani mwenye picha au video ya sehemu iliyoshambuliwa na israeli huko Iran iwe ni mtaani au kwenye kambi ya jeshi bado nasubiri mbona kimya sanaa.
Pole sana mkuu nategemea Iran watajibuBreaking News Iran ni salama kabisa hizo ni propoganda za Israel, UK na America
Al Mayadeen TV mpaa mda hu.
Saudia hawezi ruhusu anga lake litumike kumshambulia Iran atakama US ana Military base pale Saudia, kitendo cha kuruhusi basi Iran itajibu ndani mwa Saudia pia.Ngoja tusubili. Saudia analindwa na Marekani na ana base pale.
Hata kusoma kiingereza hajui.Picha au video tafadhali!
Zipo nyingi sana mbona. Hata kule Syria ubalozi wa Iran uliposhambuliwa tulioneshwakwani picha na video ya sehemu israel imeshambuliwa uliipata?
Adui mkubwa wa saudi arabia ni iran mshia kwanini akataeSaudia hawezi ruhusu anga lake litumike kumshambulia Iran atakama US ana Military base pale Saudia, kitendo cha kuruhusi basi Iran itajibu ndani mwa Saudia pia.
Tit for tat ndio neno hapoWin to win situation... Ndo kitu kilichotokea hapo ila Israel akizidi zaidi ya hapo Marekani atakua kando kusoma mchezo