Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Mnasubiri nini sasa mzee. Tangu miaka ya 1949 mnaongea hivi 🤣 🤣 🤣 Tena inazidi kuwa Stronger and stronger. Israel inaendelea kutengwa amebaki USA pekeeMie mnayudi, uelewe, Ayatollaah lazima tumtembeze uchi hadharani
Mbona Iran inazamisha mara kwa mara meli za USA na anaishia kubweka tu. Iran iliilipua kambi ya USA huko Iraq nini alifanya? 🤣🤣🤣🤣 Iran siyo watoto wadogo mzeeDunia ina wenyewe!
Na wenyewe ndio wanapamilili hapo Hoimuz.
Akijaribu ndio atachochea moto wa kukiona
Unataka Iran ikipata kipigo ukutangazie?Mbona Iran inazamisha mara kwa mara meli za USA na anaishia kubweka tu. Iran iliilipua kambi ya USA huko Iraq nini alifanya? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Iran siyo watoto wadogo mzee
View attachment 2968144
Katika hayo mashambulizi ya Iran huko Iraq ni wanajeshi wangapi wa US waliuwawa? Na chanzo Cha Iran kushambulia hizo US bases kilikuwa ni kipi?Mbona Iran inazamisha mara kwa mara meli za USA na anaishia kubweka tu. Iran iliilipua kambi ya USA huko Iraq nini alifanya? 🤣🤣🤣🤣 Iran siyo watoto wadogo mzee
View attachment 2968144
Halafu nashangaa kuna watu wanashangilia uwepo wa hii vita!Kwamba Israel atakoma,mara Iran atanyooshwa.Tunaoumia ni sisi vidagaa huku Afrika.Hii vita ikitokea Lita moja tutanunua 10,000.
Umesahau kuwa vita vya panzi ni furaha kwa kunguru.
Nawe Nyumbani,Unaitwa Baba.Score board inasoma ISR 2:IRN 0
kwanini;
1. Israel ndo alienzisha ugomvi kwa kuua maafisa 7 wa Iran WHILE Iran hajaua mtu yeyote iwe kwa bahati mbaya au kwa makusudi zaidi ya kumchubua mtoto wa miaka 9 tu.
2. Iran katika kumjibu Israel alituma drones 300+ bila kuwa na target yoyote ile ya msingi yaani alirusha randomly itayompata na impate(huu ni ujinga wa hali ya juu kwa jeshi kama Iran),walichofanya ni kuonesha wa silaha nyingi kwenye ghala na wanaeza hata kuzichezea au walimisi kurusha kwa masafa? au show off ?au hawana shabaha? Au hawakuwa na uchungu na makanda wao walokufa? Au ndo kutuma meseji(🤣🤣) WHILE Israel katuma drones katika majimbo 7 muhimu yanahusu nyuklia,na angalau 3 katika jimbo Isfahan ambazo zilitunguliwa vizuri,hapa Israel anatuonesha kuwa hana silaha za kuchezea na anajua point za kutarget💪💪
3. Iran alirusha drones zake kutokea nyumbani kwake WHILE Israel kaenda kuzidondoshea kwenye Anga hilo hilo la Iran,maana yake anga lake ni penetrable au makanda walisinzia kudili na rada🤔🤔
4. Iran alitumia wiki 2 kujibu mashambulizi ya vifo vya makamanda wake While Israel katumia less than a week tu(hiyo inaitwa,I WAS BORN READY)
5 Iran ilivyopiga drones zake ikajitangaza kuwa kafanya umwamba sana na akijibiwa ataongeza kubwa zaidi ya hilo WHILE Israel baada ya shambulio lake kasema shambulio lake ni dhaifu sana🤔🤔,hapa watu waanaamini Israel kaonesha udhaifu sana,la hasha,Israel Inatambua ukubwa wa Iran kwahiyo lazima atumie akili kubwa kumjaza mtu upepo ajichanganye,maana alisema bwana Nyau kuwa watalipa kisasi kwa faida yao.
Conclusion;
Vita ikitokea Iran atapoteza kwa sababu ana silaha za uhakika na watu wa kutosha ila hana Akili (strategies),kumbuka Ndani ya miaka 75 Israel amepigana na kushinda sababu ya akili(hana watu wala silaha nyingi) na support kutoka magharibi
Iran hana ,maagent wake Israel IsraelKama unafikiri huu ndio mwisho wa response ya Israel kwa Islamic Republic huielewi Israel
Serikali ya kislam ya Iran imejaa ma agent wa Israel tegemea matukio mengi hivi karibuni
Moto utawakaAcha wazichape tuone nani mshindi. Israel ilikuwa inawaonea Hamas ambao hawana hata kifaru kimoja sasa ngoja wapambane na wanaume wenzao walio kamilika kila idara.
Hii itakuwa ni vita mbaya kwa Israel kwani tayari ilikuwa taabani na Hamas.
😄 Wacha Israel aonyeshe footage za target alizo piga kama alivyo onyesha Iran.Amepigwa sasa Iran inafikiria kuchukua S 400 za Urusi
Sijui kwanini watu wanaandika hovyohovyo namna hiii, somo la mwandiko bado muhimu sanaKajifunze kwanza kuandika ndipo uje kubishana na mimi. Kubishana na kilaza ni matumizi mabaya ya muda.
Mkuu, vita ni pamoja na propaganda.Hapa ndio huwa mnanichanganyaga watoa ripoti wa iran na Israel...sasa sijui nani mkweli..nani katuma drones na na nani katuma kombora .na kilichozuiliwa ni nini
Nawashauri hao wazungu mngeachana nao tu..maana........
Wakristo wanajipendekeza mno Israel wakati muisrael mwenyewe hawatambui na anasema yule bwana ni RAIA maarufu tu pale ila sio mahisi.
😄 hamna lolote dogo katumia vibaraka zake ndani ya Iran kujaribu kupiga Air port ya Asfahan vikangushwa.Unataka Iran ikipata kipigo ukutangazie?
Kwa taarifa yako Marekana na Israel huwa wanalipiza ki silent tena huwa wanapiga panapouma zaidi
Bendera ya Israeli haina rangi ya damu.
Ukristu hauna makao duniani. Kila nchi ni halali kwake--siyo Israeli wala Uarabuni.Wakristo wanajipendekeza mno Israel wakati muisrael mwenyewe hawatambui na anasema yule bwana ni RAIA maarufu tu pale ila sio mahisi.