Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

Mie mnayudi, uelewe, Ayatollaah lazima tumtembeze uchi hadharani
Mnasubiri nini sasa mzee. Tangu miaka ya 1949 mnaongea hivi 🤣 🤣 🤣 Tena inazidi kuwa Stronger and stronger. Israel inaendelea kutengwa amebaki USA pekee

Hii hapa statement ya jana inaonesha Dunia tunakoelekea

1713519728643.png
 
Dunia ina wenyewe!

Na wenyewe ndio wanapamilili hapo Hoimuz.

Akijaribu ndio atachochea moto wa kukiona
Mbona Iran inazamisha mara kwa mara meli za USA na anaishia kubweka tu. Iran iliilipua kambi ya USA huko Iraq nini alifanya? 🤣🤣🤣🤣 Iran siyo watoto wadogo mzee

1713520157779.png
 
Mbona Iran inazamisha mara kwa mara meli za USA na anaishia kubweka tu. Iran iliilipua kambi ya USA huko Iraq nini alifanya? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Iran siyo watoto wadogo mzee

View attachment 2968144
Unataka Iran ikipata kipigo ukutangazie?

Kwa taarifa yako Marekana na Israel huwa wanalipiza ki silent tena huwa wanapiga panapouma zaidi
 
Mbona Iran inazamisha mara kwa mara meli za USA na anaishia kubweka tu. Iran iliilipua kambi ya USA huko Iraq nini alifanya? 🤣🤣🤣🤣 Iran siyo watoto wadogo mzee

View attachment 2968144
Katika hayo mashambulizi ya Iran huko Iraq ni wanajeshi wangapi wa US waliuwawa? Na chanzo Cha Iran kushambulia hizo US bases kilikuwa ni kipi?
 
Umesahau kuwa vita vya panzi ni furaha kwa kunguru.

Mkuu maana ya hiyo methali ni tofauti kabisa na situation iliyopo...

Vita ya panzi furaha kwa kunguru inamaanisha pindi panzi watapopigana na kuuana, basi maiti wa panzi wataokufa ni fursa ya chakula kwa kunguru (kunguru hatakuwa na kazi ya kuwinda panzi aliyehai ambaye kwanza ni msumbufu wa kuruka ruka)...

Kupigana kwa wazungu, waarabu, waburushi, wayahudi hakuna manufaa yeyote kwetu waafrika kutokana na utegemezi wetu mkubwa kwa hizo jamii tajwa...

Methali sahihi hapa ni "Wapiganapo tembo wawili, zinazoumia ni nyasi"

Maana ya methali hii ni ugomvi unaotokea kati ya pande mbili zenye nguvu au mabavu zaweza kuwa nchi au viongozi wakubwa. Wanaopata tabu huwa ni watu wa hali ya chini ambao wanawategemea watu hao kwa mahitaji muhimu kama chakula.
 
Score board inasoma ISR 2:IRN 0
kwanini;
1. Israel ndo alienzisha ugomvi kwa kuua maafisa 7 wa Iran WHILE Iran hajaua mtu yeyote iwe kwa bahati mbaya au kwa makusudi zaidi ya kumchubua mtoto wa miaka 9 tu.
2. Iran katika kumjibu Israel alituma drones 300+ bila kuwa na target yoyote ile ya msingi yaani alirusha randomly itayompata na impate(huu ni ujinga wa hali ya juu kwa jeshi kama Iran),walichofanya ni kuonesha wa silaha nyingi kwenye ghala na wanaeza hata kuzichezea au walimisi kurusha kwa masafa? au show off ?au hawana shabaha? Au hawakuwa na uchungu na makanda wao walokufa? Au ndo kutuma meseji(🤣🤣) WHILE Israel katuma drones katika majimbo 7 muhimu yanahusu nyuklia,na angalau 3 katika jimbo Isfahan ambazo zilitunguliwa vizuri,hapa Israel anatuonesha kuwa hana silaha za kuchezea na anajua point za kutarget💪💪
3. Iran alirusha drones zake kutokea nyumbani kwake WHILE Israel kaenda kuzidondoshea kwenye Anga hilo hilo la Iran,maana yake anga lake ni penetrable au makanda walisinzia kudili na rada🤔🤔
4. Iran alitumia wiki 2 kujibu mashambulizi ya vifo vya makamanda wake While Israel katumia less than a week tu(hiyo inaitwa,I WAS BORN READY)
5 Iran ilivyopiga drones zake ikajitangaza kuwa kafanya umwamba sana na akijibiwa ataongeza kubwa zaidi ya hilo WHILE Israel baada ya shambulio lake kasema shambulio lake ni dhaifu sana🤔🤔,hapa watu waanaamini Israel kaonesha udhaifu sana,la hasha,Israel Inatambua ukubwa wa Iran kwahiyo lazima atumie akili kubwa kumjaza mtu upepo ajichanganye,maana alisema bwana Nyau kuwa watalipa kisasi kwa faida yao.
Conclusion;
Vita ikitokea Iran atapoteza kwa sababu ana silaha za uhakika na watu wa kutosha ila hana Akili (strategies),kumbuka Ndani ya miaka 75 Israel amepigana na kushinda sababu ya akili(hana watu wala silaha nyingi) na support kutoka magharibi
Nawe Nyumbani,Unaitwa Baba.
 
Kama unafikiri huu ndio mwisho wa response ya Israel kwa Islamic Republic huielewi Israel
Serikali ya kislam ya Iran imejaa ma agent wa Israel tegemea matukio mengi hivi karibuni
Iran hana ,maagent wake Israel Israel
 
Moto lazima uwake, mbele ya irani
Acha wazichape tuone nani mshindi. Israel ilikuwa inawaonea Hamas ambao hawana hata kifaru kimoja sasa ngoja wapambane na wanaume wenzao walio kamilika kila idara.
Hii itakuwa ni vita mbaya kwa Israel kwani tayari ilikuwa taabani na Hamas.
Moto utawaka
 
Amepigwa sasa Iran inafikiria kuchukua S 400 za Urusi
😄 Wacha Israel aonyeshe footage za target alizo piga kama alivyo onyesha Iran.

Alicho fanya kuna wapinzani wa Iran ndani ya Iran wamerusha tu drones tu tatu tukapigwa zaidi ya hapo ni uwongo tu.
 
Unataka Iran ikipata kipigo ukutangazie?

Kwa taarifa yako Marekana na Israel huwa wanalipiza ki silent tena huwa wanapiga panapouma zaidi
😄 hamna lolote dogo katumia vibaraka zake ndani ya Iran kujaribu kupiga Air port ya Asfahan vikangushwa.

Israel hana ubavu huo hata TV ya Al Mayadeen inawacheka Israel kuonyesha wazi hana uwezo wa kugusa Iran

Kama walivyo jidhaurisha tv za USA UK kudai Iran kapigwa na Israel hata huko Israel wanawacheka kwa hizo propoganda zao.

Vidrones vidogo vitatu wala havikudhuru kitu vimeangusha tena vimerushiwa ndani ya Iran.


View: https://youtu.be/dy8jfWP1tmE?si=Gz2-d-QMpz2CZ6XP
 
Wakristo wanajipendekeza mno Israel wakati muisrael mwenyewe hawatambui na anasema yule bwana ni RAIA maarufu tu pale ila sio mahisi.
Ukristu hauna makao duniani. Kila nchi ni halali kwake--siyo Israeli wala Uarabuni.
 
Back
Top Bottom