Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

Mwisho wa Israel sio Leo wala Kesho bado Sana,hawa unaowaona wanaisaidia Israel wote wametajwa kwenye vitabu vya dini kuwa watasimama kwaajili ya kuitetea Israel na pia upo wakati ambao Israel atapigwa ila sio sasa mzee
Bila shaka we ni Muumini wa Mwamposa otherwise ni mpagani na hujawahi hata isoma biblia unayoisema
 
Habari za muda huu.......

Kumeripotiwa milipuko mikubwa kadhaa ndani ya Iran, Syria na Iraq..........

====

Israeli missiles have reportedly hit the Iranian city of Isfahan​


Israeli missiles have hit a site in Iran, the United States' ABC News has reported, citing a US official, days after Iran launched a drone strike on Israel in response to an attack at the Iranian embassy in Syria.

Iran's Fars news agency said an explosion was heard at an airport in the Iranian city of Isfahan but the cause was not immediately known.

Several Iranian nuclear sites are located in Isfahan province, including Natanz, the centrepiece of Iran's uranium enrichment program.
Several flights were diverted over Iranian airspace, CNN reported.

Over the weekend, Iran launched hundreds of drones and missiles in a retaliatory strike after a suspected Israeli strike on its embassy compound in Syria earlier in April.
Most of the drones and missiles were downed before reaching Israeli territory.

Iran told the United Nations Security Council on Thursday that Israel "must be compelled to stop any further military adventurism against our interests" as the UN secretary-general warned that the Middle East was in a "moment of maximum peril".

Israel had said it was going to retaliate against Iran's 13 April missile and drone attack.

Analysts and observers have been raising concerns about the risks of the Israel-Gaza war spreading into the rest of the region.

Israel's assault on Gaza began after Palestinian Islamist group Hamas attacked Israel on 7 Ocober, killing 1,200, according to Israeli tallies.
Israel's military offensive has killed over 33,000 Palestinians in Gaza, according to the local health ministry.

Iran-backed groups have declared support for Palestinians, launching attacks from Lebanon, Yemen and Iraq.

This is a developing story and this article will be updated.
Follow the latest from SBS News at
, or on the SBS News app available on

or
View attachment 2967853
Israel is bombing Iran, Syria and Iraq at the same time.
Hatari kweli kweli
 
Pro Israel(wagalatia) vs Pro Iran(waajemi) wote wakiwa boko wanarushiana madrones tu.
 
Marekani wanahangaishwa sana na mtoto wao wa kambo.........

Ningependa mdau mwenye uelewa mpana wa siasa na uchumi wa kimataifa atudadavulie kuwa Marekani anafaidika nini na Israel mpaka kuingia hasara na kuhatarisha usalama wa taifa lake kiasi hicho
Mazayuni ndio wameshikilia uchumi wa Marekani , kwa kumiliki makampuni makubwa ya silaha na taasisi za kifedha , ndio maana wanashinikiza na kulobby ili kutibua vita duniani ,maana kwao vita ni faida kubwa ,no matter the consequences
WA
 
Marekani wanahangaishwa sana na mtoto wao wa kambo.........

Ningependa mdau mwenye uelewa mpana wa siasa na uchumi wa kimataifa atudadavulie kuwa Marekani anafaidika nini na Israel mpaka kuingia hasara na kuhatarisha usalama wa taifa lake kiasi hicho
Wamarekani halisi hawapendi vita ,ila hawa uzao wa ibilisi aka modern international jews kwao vita ni faida na ndicho kinachotokea ,kuanzia vita ya Ukraine ,wao ndio beneficiaries ,Kwa kuuza silaha kupitia makampuni yao na kukopesha pesa serikali kwa riba ya juu ili kugharamia vita
 
Hizo silaha zenye thamani hazijafanya maangamizi yeyote hakuna majeruhi wala kilichoharibika.
Na hata vinu vya nuclear walivyolenga kulipua wamevikosa na vipo hapo hapo Isfahan.
Ndio maana umeambiwa level yako ya uelewa wa propaganda za kivita ni ndogo mno, lengo la Israel sio kushambulia vinu vya nuclear bali kutuma ujumbe kuwa vinu hivyo vinafikika iwapo ataamua kuvishambulia, vivyo hivyo lengo la Iran kutuma drones 300 lilikuwa si kushambulia bali onyo
 
Zipo wewe acha ubishi.
BBC wamesema pia Israel alituma drone tatu zikitanguliwa na makombora yanayohesabika.
Kwa akili ya kawaida tu hii inagoma. Yani Israeli atume drone 3 kwenda kushambulia eneo lililo na mifumo advanced ya ulinzi?
 
Iran yupo na sehemu nyingi za kubonyeza.
Akibonyeza hapa 👇 👇 👇 (Strait of Hormuz) Israel atasemaje? Karibia mafuta yote duniani yanapitia hapa

View attachment 2968137
Israel haiuzi mafuta, watakaoumia ni hao wauza mafuta wenzake Kuwait, Qatar, Saudi Arabia, UAE na Oman ambao hawatakubali ujinga wake.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-04-19-15-00-04-618_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-04-19-15-00-04-618_com.twitter.android.jpg
    959.6 KB · Views: 2

Attachments

  • Screenshot_2024-04-19-15-00-04-618_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-04-19-15-00-04-618_com.twitter.android.jpg
    959.6 KB · Views: 2
Back
Top Bottom