Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

Kuna kila dalili WWW3 inakwenda kuanza rasmi........na mwisho wa Israel unakaribia........kumbuka Amerika ameshasema yeye anakaa kando......
Marekani hawezi muacha mtoto wake bila ya support,Marekani alisema tu vile,lakini ki ukweli yeye ndiyo don wa kila kitu pale middle east
 
Shambulio la Leo inathibitisha Israel anauwezo wa kupiga ndani ya Iran bila yeyote kujua anakujaje na bila msaada wa Marekani..Iran imeogopa sana ichi kitendo Cha Leo maana radar zao hazikuona lolote 😂😂 what a strategy
 
Israel shambulio pekee wanaloweza kuwafanyia Iran ni kuvizia mtoto mdogo wa miaka 6 wa Iran alie nje ya nchi wamuue kama wanavyofanya Palestine
 
Marekani wanahangaishwa sana na mtoto wao wa kambo.........

Ningependa mdau mwenye uelewa mpana wa siasa na uchumi wa kimataifa atudadavulie kuwa Marekani anafaidika nini na Israel mpaka kuingia hasara na kuhatarisha usalama wa taifa lake kiasi hicho
Wanao Control Amerika ni jews Mfano kama Rothschild na wengine kwahiyo ni ngumu kutoisaidia Israel hata Rais wa amerika lazima ale kiapo cha kuisaidia Israel.
 
Israel wameanza kupiga Kwanza rada zilizopo Iraq na Syria huku ndege zingine zikipiga site 7 za Iran pia kulikuwa na cyber attack nchini Iran ili iwe rahisi kupiga..inaonekana mawasilianao ya kuchunguza hatari hayakufanya kazi

Israel news channel wanasema target zao zimefanikiwa Kwa 99% na Iran wanasema hakuna kilchofanyika ndani ya nchi Yao.
SAFI KAKA MKUBWAAAA LETA HABARU NJEMA🤣👏👏👏👏

WAVAA MADERA BILA CHUPI
 
Kuna kila dalili WWW3 inakwenda kuanza rasmi........na mwisho wa Israel unakaribia........kumbuka Amerika ameshasema yeye anakaa kando......
Ni lini USA alisema anakaa kando khs Israel mkuu? Kusema kwamba hatahusika na kuipiga Iran ila atailinda Israel ni kujitenga na Israel? (yaani unamwambia mtu kumpiga fulani mimi sitampiga. Ila wewe ukimpiga mimi nitakulinda na akitaka kukurushia ngumi mimi nitazuia ngumi zake).
 
Back
Top Bottom